Tips lounge na dada zetu wa vyuo

Khaaaaaah hali n mbaya kwa kweli, hivi hawa wanachuo wanaojiuza sasa wanasoma ili iweje? Maan hawan na hawataki bright future lol.
Kumbuka kila mmoja ana namna yake ya kuifikia bright future.

Mwingine bright future yake ni kupata danga mbunge, mwingine ni kuwa na iPhone 11 Pro max
 
Kumbuka kila mmoja ana namna yake ya kuifikia bright future.

Mwingine bright future yake ni kupata danga mbunge, mwingine ni kuwa na iPhone 11 Pro max
Hapana hicho kitu n suggests za hao sponsor, sidhan km kuna mtu yupo tayari kupoteza future yake, hawa wazee waache kuwarubuni teenager kwa kutumia pesa zao. Aaaah
 
Hapana hicho kitu n suggests za hao sponsor, sidhan km kuna mtu yupo tayari kupoteza future yake, hawa wazee waache kuwarubuni teenager kwa kutumia pesa zao. Aaaah
Hivi binti wa miaka 20+ anarubuniwa vipi ?

Huko ni kukwepa uwajibikaji wa kulinda maisha yako binafsi.
 
Hivi binti wa miaka 20+ anarubuniwa vipi ?

Huko ni kukwepa uwajibikaji wa kulinda maisha yako binafsi.
Hivi mzee wa 60s anavomfata binti wa 20s unadhan n nn? Na hapo anakuwa tayari anacho chambo ambayo anajua wazi lazima mtoto atakubali hata awe na msimamo vipi, ndio maana nmesema hivi hao wazee wawe na busara na hofu ya Jah kwa kutowafata hawa watoto afu tuone hali itakuaje.
 
Sema nini, chuo kuna warembo raisi MNO.
Bahati nzuri mimi sio shabiki wa uzi wa kula kimasihara.

Kisha kuna hawa naishi nao, huwa nawafungulia geti wakitoka kwenye club zao hasa Ijumaa na Jumapili. Wana kipaji sijui hawalewi, saa 11 alfajiri wanaletwa na Huber tax hapo wametoka kukesha kisha saa 2 asubuhi wako venue wanafundishwa. Majuzi nikasikia mmoja anamuuliza mwenzie sindano, nikajua wajinga hawa wanatumia birth control na hawatumii kinga sometimes.
 
Na mabinti wanaojitongozesha kwa vibopa unawashauri nini ?
 
Dah kuna watoto wa hii Hostel ya Qurantine wanapigika jamani hadi huruma. Kama una mdogo wako wa kike yupo chuo make sure unamhudumia
 

Kumbe hata nikija na jiwe moja kama lile la Saniniu Laizer bado utasema noooo...

Au utasema nafikiri tuambatane tu kuelekea uendako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…