Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
- Thread starter
-
- #121
Dah kuna watoto wa hii Hostel ya Qurantine wanapigika jamani hadi huruma. Kama una mdogo wako wa kike yupo chuo make sure unamhudumia
Wakajiuze kwa mwajiriKhaaaaaah hali n mbaya kwa kweli, hivi hawa wanachuo wanaojiuza sasa wanasoma ili iweje? Maan hawan na hawataki bright future lol.
Actually......the oldest craftUsiogope mkuu, biashara ya ukahaba ipo tangu kipindi cha yesu
Umuombee pia aupushwe na vishawishi asiingie majaribuni. Maana mafisi ni mengi na yawinda kwa speed ya 5GNa dogo langu la kike huwa nahikisha kila week namtumia pesa ya maana asifanye huu ujinga
Tobaaaaaaah lolWakajiuze kwa mwajiri
Uwiiiiiiiiiiiiiih kwangu ni noooooooooooh.Kumbe hata nikija na jiwe moja kama lile la Saniniu Laizer bado utasema noooo...
Au utasema nafikiri tuambatane tu kuelekea uendako.
Hapa wanazungumziwa wanachuo wa kike wanaojiuza, sasa wee hiyo mada yako inakujaje? Na hata km ikiwa kweli kadri ya usemavyo but SIJIUZI. tujikite kweny kuwakomboa wasichana wadogo.Mbona wewe unaliwa kiboga?! Hautaki bright future
Poleeeeeeh dea nakuja na joto la asili likupugie, uwiiiiiiiiiihBaridiiii
California love
Hakuna hicho kitu cha kujitongozesha, na hata km n kweli kwann hao wazee wasikatae na kuwapa maonyo juu ya maisha ktk kutimiza future zao, maan n Taifa la kesho, wazee wawe na busara na hofu ya Jah, hizo pesa zao wafanyie kitu kingine sio kuharibu kizazi cha kesho aaaaaaah.Na mabinti wanaojitongozesha kwa vibopa unawashauri nini ?
Sawa! Ila kuliwa kiboga kunachangia sana maambukizi ya magonjwa ya zinaa.Hapa wanazungumziwa wanachuo wa kike wanaojiuza, sasa wee hiyo mada yako inakujaje? Na hata km ikiwa kweli kadri ya usemavyo but SIJIUZI. tujikite kweny kuwakomboa wasichana wadogo.
Karibu tips uwanja wa home, hatuna kumi nimefikaTena wa cheti.
Mbuzi anayejileta kwa muuza supu anakataliwa vipi ?Hakuna hicho kitu cha kujitongozesha, na hata km n kweli kwann hao wazee wasikatae na kuwapa maonyo juu ya maisha ktk kutimiza future zao, maan n Taifa la kesho, wazee wawe na busara na hofu ya Jah, hizo pesa zao wafanyie kitu kingine sio kuharibu kizazi cha kesho aaaaaaah.
Kwahiyo wanaopata maambukizi n hao tu unaowalenga? Maambukizi anapata yeyote yule afanyaye uzinifu usio salama na vitendo hatarishi pasipo kuzingatia kanuni za afya,Sawa! Ila kuliwa kiboga kunachangia sana maambukizi ya magonjwa ya zinaa.
Hii logic ya kusema under age ndio maan hali imekua mbaya kiasi hiki, maana tunaamin mtu akishafika 18yrs bas n mtu mzma, hali ya kuwa uhalisia hauko hivyo, ifike mahali fikra pevu na mitazamo mathubuti iwepo akilini mwetu,Mbuzi anayejileta kwa muuza supu anakataliwa vipi ?
Angekuwa under age hapo sawa
I am not so much into politicsHii logic ya kusema under age ndio maan hali imekua mbaya kiasi hiki, maana tunaamin mtu akishafika 18yrs bas n mtu mzma, hali ya kuwa uhalisia hauko hivyo, ifike mahali fikra pevu na mitazamo mathubuti iwepo akilini mwetu,
Imagine mtoto yuko 19s labda yuko 4m 5 huyu anakwepa vipi mtego wa mtu mwenye 60s tena ana chambo haswaaa kwa namna yeyote hawezi kuruka kihunzi, narudia tena km tatizo n watoto kujirahisisha basi n muda muafaka wa wazee na watu wazima kuwa kidete ktk kuwalinda na kuwasaidia ktk kutimiza future zao na sio kuwaharibu.
ngoja nisabuskraibu kwenye huu uzi
ckuhizi hakuna hata matangazo ya fataki!!!!
Uwiiiiiiiiiiiiiih kwangu ni noooooooooooh.