Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Kuanzia aprii 1, 2021 Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania(TIRA) imewatangazia wamiliki wa vyombo vya moto kuwa ulipiaji wa bima hautakuwa na utoaji wa stika za kubandika kama ilivyokuwa
Badala ya Stika za kubandika mteja atapewa namba ya kielekroniki ya stika. Hatua hii imefikiwa kutokana na kuendelea kwa uboreshaji wa mfumo wa kutunza kumbukumbu za bima za vyombo vya moto
Wameema wanafanya hivyo ili kupata huduma kwa haraka na kudhibiti upotevu wa mapato pamoja na uhalifu unaoweza kufanywa. Watoa huduma wa bima wametakiwa kuwaelimisha wateja wao
Mteja akikata bima atapewa Namba ya Stika ya kielekroniki, risiti ya malipo, hati ya bima na mkataba wa bima
Badala ya Stika za kubandika mteja atapewa namba ya kielekroniki ya stika. Hatua hii imefikiwa kutokana na kuendelea kwa uboreshaji wa mfumo wa kutunza kumbukumbu za bima za vyombo vya moto
Wameema wanafanya hivyo ili kupata huduma kwa haraka na kudhibiti upotevu wa mapato pamoja na uhalifu unaoweza kufanywa. Watoa huduma wa bima wametakiwa kuwaelimisha wateja wao
Mteja akikata bima atapewa Namba ya Stika ya kielekroniki, risiti ya malipo, hati ya bima na mkataba wa bima