Tishio la kigaidi Nchini: Wageni wote walioingia tangu juzi na jana wachunguzwe!

Tishio la kigaidi Nchini: Wageni wote walioingia tangu juzi na jana wachunguzwe!

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Ni rai kwa wanausalama na kwa wapenda Amani wote!

Tumekuwa na Amani na utulivu kwa muda kitambo sasa licha ya mazuwio ya kisiasa, lakini nchi yetu imekuwa na Amani na shwari

Hivi majuzi mpendwa wetu na jemedari wa nchi yetu mh Rais Samia aliondoa zuio la kufanya mikutano ya kisiasa na ili amani izidi kutamalaki!

Baada ya ondoleo hilo la kisiasa, limefanya kutoa mwanya na kuvutia watu mbalimbali kutokea sehemu mbalimbali za nchi yetu na nje ya nchi yetu!

Wengine ambao hawakuwa na mpango wa kurudi wamerudi nchini! Shaka yetu na maswali yetu! Kwa nini tupokee wageni na wakati huohuo tayari nchi iwe kwenye tishio la kiusalama?

Staki kuhusanisha matishio haya ya kiusalama na wageni wetu kutokea nchi za nje, lakini je, sio sehemu sahihi ya sisi kuanzia?

Kuja tu kwa wageni na tayari nchi inakuwa kwenye matishio ya kigaidi? Kuna nini?

Tahadhari hii ni Akiba pia ya badaye kwa serikali iliyopo, maana kuna watu likiwatokea, hawachewi kuhusianisha tukio hilo na mkono wa serikali


wao huamini kila likimtokea mtu wao, wao hudai wamefanyiwa kwa maagizo ya serikali, ni bora wachunguzwe na kwa sasa mikusanyiko ipigwe stop kwanza
 
Mataga aka magamba alitaka kuhusianisha hiyo kitu ya security alert ya US Embassy na ujio wa mwamba mkataa kufa Lissu, ameandika kwa makasiriko sana kiasi kwamba hajaficha hisia zake za kimagambamagamba, Pole yake sana hajui kama zama za jiwe ziliisha na watu wanataka kujadili mambo kwa hoja na sio ubabe na kufunga wengine midomo.
 
Ni rai kwa wanausalama na kwa wapenda Amani wote!

Tumekuwa na Amani na utulivu kwa muda kitambo sasa licha ya mazuwio ya kisiasa, lakini nchi yetu imekuwa na Amani na shwari

Hivi majuzi mpendwa wetu na jemedari wa nchi yetu mh Rais Samia aliondoa zuio la kufanya mikutano ya kisiasa na ili amani izidi kutamalaki!

Baada ya ondoleo hilo la kisiasa, limefanya kutoa mwanya na kuvutia watu mbalimbali kutokea sehemu mbalimbali za nchi yetu na nje ya nchi yetu!

Wengine ambao hawakuwa na mpango wa kurudi wamerudi nchini! Shaka yetu na maswali yetu! Kwa nini tupokee wageni na wakati huohuo tayari nchi iwe kwenye tishio la kiusalama?

Staki kuhusanisha matishio haya ya kiusalama na wageni wetu kutokea nchi za nje, lakini je, sio sehemu sahihi ya sisi kuanzia?

Kuja tu kwa wageni na tayari nchi inakuwa kwenye matishio ya kigaidi? Kuna nini?
Daah aliyeelewa huu Uzi anisaidie
Huyu ni chawa wa mama. Kwahyo we endelea na shughuli zako tu
 
Ni rai kwa wanausalama na kwa wapenda Amani wote!

Tumekuwa na Amani na utulivu kwa muda kitambo sasa licha ya mazuwio ya kisiasa, lakini nchi yetu imekuwa na Amani na shwari

Hivi majuzi mpendwa wetu na jemedari wa nchi yetu mh Rais Samia aliondoa zuio la kufanya mikutano ya kisiasa na ili amani izidi kutamalaki!

Baada ya ondoleo hilo la kisiasa, limefanya kutoa mwanya na kuvutia watu mbalimbali kutokea sehemu mbalimbali za nchi yetu na nje ya nchi yetu!

Wengine ambao hawakuwa na mpango wa kurudi wamerudi nchini! Shaka yetu na maswali yetu! Kwa nini tupokee wageni na wakati huohuo tayari nchi iwe kwenye tishio la kiusalama?

Staki kuhusanisha matishio haya ya kiusalama na wageni wetu kutokea nchi za nje, lakini je, sio sehemu sahihi ya sisi kuanzia?

Kuja tu kwa wageni na tayari nchi inakuwa kwenye matishio ya kigaidi? Kuna nini?
Siyo kuwa walioingia au kurejea dar Jana na juzi wawe makini kwani wahuni si watu wazuri?
 
Back
Top Bottom