Tishio la kigaidi Nchini: Wageni wote walioingia tangu juzi na jana wachunguzwe!

Tishio la kigaidi Nchini: Wageni wote walioingia tangu juzi na jana wachunguzwe!

Ni rai kwa wanausalama na kwa wapenda Amani wote!

Tumekuwa na Amani na utulivu kwa muda kitambo sasa licha ya mazuwio ya kisiasa, lakini nchi yetu imekuwa na Amani na shwari

Hivi majuzi mpendwa wetu na jemedari wa nchi yetu mh Rais Samia aliondoa zuio la kufanya mikutano ya kisiasa na ili amani izidi kutamalaki!

Baada ya ondoleo hilo la kisiasa, limefanya kutoa mwanya na kuvutia watu mbalimbali kutokea sehemu mbalimbali za nchi yetu na nje ya nchi yetu!

Wengine ambao hawakuwa na mpango wa kurudi wamerudi nchini! Shaka yetu na maswali yetu! Kwa nini tupokee wageni na wakati huohuo tayari nchi iwe kwenye tishio la kiusalama?

Staki kuhusanisha matishio haya ya kiusalama na wageni wetu kutokea nchi za nje, lakini je, sio sehemu sahihi ya sisi kuanzia?

Kuja tu kwa wageni na tayari nchi inakuwa kwenye matishio ya kigaidi? Kuna nini?
Mwaka juzi walito tahadhali kama hivi.
 
Mtoa mada anataka Lissu achunguzwe..
Ningeambiwa nitoke tafsiri ya alichoandika wa sentensi moja, maneno mawili tu, ningekuja hivi: Lissu achunguzwe.
Huo ni ujuha. Mtoa mada ana vinasaba na shetani.
 
Ni rai kwa wanausalama na kwa wapenda Amani wote!

Tumekuwa na Amani na utulivu kwa muda kitambo sasa licha ya mazuwio ya kisiasa, lakini nchi yetu imekuwa na Amani na shwari

Hivi majuzi mpendwa wetu na jemedari wa nchi yetu mh Rais Samia aliondoa zuio la kufanya mikutano ya kisiasa na ili amani izidi kutamalaki!

Baada ya ondoleo hilo la kisiasa, limefanya kutoa mwanya na kuvutia watu mbalimbali kutokea sehemu mbalimbali za nchi yetu na nje ya nchi yetu!

Wengine ambao hawakuwa na mpango wa kurudi wamerudi nchini! Shaka yetu na maswali yetu! Kwa nini tupokee wageni na wakati huohuo tayari nchi iwe kwenye tishio la kiusalama?

Staki kuhusanisha matishio haya ya kiusalama na wageni wetu kutokea nchi za nje, lakini je, sio sehemu sahihi ya sisi kuanzia?

Kuja tu kwa wageni na tayari nchi inakuwa kwenye matishio ya kigaidi? Kuna nini?

Tahadhari hii ni Akiba pia ya badaye kwa serikali iliyopo, maana kuna watu likiwatokea, hawachewi kuhusianisha tukio hilo na mkono wa serikali


wao huamini kila likimtokea mtu wao, wao hudai wamefanyiwa kwa maagizo ya serikali, ni bora wachunguzwe na kwa sasa mikusanyiko ipigwe stop kwanza
Wanaofanyaga matukio ya kigaidi mara nyingi unakuta ni mtu ambae ameshakaa nchini muda mrefu na ameshasoma mazingira, anajua udhaifu wa usalama eneo la tukio na najua namna ya kuchomoka asikamatwe

Mgeni aliekuja juzi ni ngumu kufanya tukio, na maajabu anaefanya tukio anaweza kuwa hata mwenyeji ambae si rahisi kumtambua
 
Wewe kweli K.
Kiongozi, haya mandishi huwa hayafutiki eti! Utakuta hapo na wewe eti ni mlokole na kila siku ni kanisani, au kila adhana upo msikitini, halafu unajiita umeokoka au wewe ni shekhe, haya matusi yanakuthibitisha jinsi ulivyo wa shetani
 
Ningeambiwa nitoke tafsiri ya alichoandika wa sentensi moja, maneno mawili tu, ningekuja hivi: Lissu achunguzwe.
Huo ni ujuha. Mtoa mada ana vinasaba na shetani.
Tafsiri yako ibaki kuwa ya kwako mkuu!

Halafu, shetani hajawahi kujua kuandika aisee, ni kivipi uite watu mashetani mkuu, kwa kosa lipi aisee
 
Ni rai kwa wanausalama na kwa wapenda Amani wote!

Tumekuwa na Amani na utulivu kwa muda kitambo sasa licha ya mazuwio ya kisiasa, lakini nchi yetu imekuwa na Amani na shwari

Hivi majuzi mpendwa wetu na jemedari wa nchi yetu mh Rais Samia aliondoa zuio la kufanya mikutano ya kisiasa na ili amani izidi kutamalaki!

Baada ya ondoleo hilo la kisiasa, limefanya kutoa mwanya na kuvutia watu mbalimbali kutokea sehemu mbalimbali za nchi yetu na nje ya nchi yetu!

Wengine ambao hawakuwa na mpango wa kurudi wamerudi nchini! Shaka yetu na maswali yetu! Kwa nini tupokee wageni na wakati huohuo tayari nchi iwe kwenye tishio la kiusalama?

Staki kuhusanisha matishio haya ya kiusalama na wageni wetu kutokea nchi za nje, lakini je, sio sehemu sahihi ya sisi kuanzia?

Kuja tu kwa wageni na tayari nchi inakuwa kwenye matishio ya kigaidi? Kuna nini?

Tahadhari hii ni Akiba pia ya badaye kwa serikali iliyopo, maana kuna watu likiwatokea, hawachewi kuhusianisha tukio hilo na mkono wa serikali


wao huamini kila likimtokea mtu wao, wao hudai wamefanyiwa kwa maagizo ya serikali, ni bora wachunguzwe na kwa sasa mikusanyiko ipigwe stop kwanza
Kwani Jerry Muro hujakabidhi tu ofisi huko Ikungi?
 
Ni rai kwa wanausalama na kwa wapenda Amani wote!

Tumekuwa na Amani na utulivu kwa muda kitambo sasa licha ya mazuwio ya kisiasa, lakini nchi yetu imekuwa na Amani na shwari

Hivi majuzi mpendwa wetu na jemedari wa nchi yetu mh Rais Samia aliondoa zuio la kufanya mikutano ya kisiasa na ili amani izidi kutamalaki!

Baada ya ondoleo hilo la kisiasa, limefanya kutoa mwanya na kuvutia watu mbalimbali kutokea sehemu mbalimbali za nchi yetu na nje ya nchi yetu!

Wengine ambao hawakuwa na mpango wa kurudi wamerudi nchini! Shaka yetu na maswali yetu! Kwa nini tupokee wageni na wakati huohuo tayari nchi iwe kwenye tishio la kiusalama?

Staki kuhusanisha matishio haya ya kiusalama na wageni wetu kutokea nchi za nje, lakini je, sio sehemu sahihi ya sisi kuanzia?

Kuja tu kwa wageni na tayari nchi inakuwa kwenye matishio ya kigaidi? Kuna nini?

Tahadhari hii ni Akiba pia ya badaye kwa serikali iliyopo, maana kuna watu likiwatokea, hawachewi kuhusianisha tukio hilo na mkono wa serikali


wao huamini kila likimtokea mtu wao, wao hudai wamefanyiwa kwa maagizo ya serikali, ni bora wachunguzwe na kwa sasa mikusanyiko ipigwe stop kwanza
Mmeanza kupanga mipango yenu hatari!
Kwa nini hamridhiki na kipato mpatacho mnawaza tamaa ya madaraka hata kwa damu za watu?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom