Tetesi: Tishio la kumuondoa Mufti BAKWATA

Tetesi: Tishio la kumuondoa Mufti BAKWATA

They are all the same, if you ask me. Mufti Hemed bin Jumaa, Mufti Issa Shabani Simba, Mufti Abubakar Zuberi, wote hawa toka siku wanatangazwa hakuna anaejua qualifications zao kuongoza BAKWATA.

Wana experience gani, wameongoza nini, wamefanya nini with their lives to deserve, much less qualify, kuwa ma Mufti? Mufti Zuberi according to Kinondoni insiders was a neither-here-nor-there muslim old guard at the head office, did nothing.

Tafuta news archives kwenye magazeti baada ya kifo cha Simba. Walipomu introduce Alhaji Zuberi, hakuna hata sehemu moja wanasema who the hell he was. Katokea ghafla out of the woodwork akawa Mufti. Unakuwaje Mufti wetu hatujui hata dini umefundishwa na nani?
Are you serious!!? Sasa wanaomchagua una maana walikua hawalijui hili? Hakuna vigezo vya mtu anayepaswa kuwepo kwenye hiyo nafasi? Hakuna kamati unayohakiki kama wajazaji wa form wana hivyo vigezo tajwa?
 
Mimi siipendi bakwata haswaa lakini siwezi beba dhimma kubwa ya kumsingia sheikh kuwa amezini binaadamu bhana ,tena isitoshe maiti
Tuambie wewe, ukwelu ni upi? au umeshazoea matango ya vijiweni basi kila unachokisikia unajua ni cha kijiwe!! Tafuta ukweli acha kuiharibu akili yako kwa sababu tu eti sheikh sijui nini. Kuwa na akili huru usiifunge funge kama vitumbua ndani ya karatasi
 
Are you serious!!? Sasa wanaomchagua una maana walikua hawalijui hili? Hakuna vigezo vya mtu anayepaswa kuwepo kwenye hiyo nafasi? Hakuna kamati unayohakiki kama wajazaji wa form wana hivyo vigezo tajwa?

Vigezo tajwa vimetajwa wapi?

Mufti hawaongozi watu wachache waliomchagua, anatuongoza sote, sisi tungetaka kujua viongozi hawa wanachaguliwa kwa vigezo gani.

Hivi vitu lazima viwe transparent, haiweki kuwa siri ya kikundi kinachomchagua Mufti. Kikundi kinaweza kumchagua mwenzao, mtu wao, kulinda maslahi yao. Tunataka kujua sifa zake. Usinambie wao wanajua, wao walipitia fomu zake. Wao kina nani? Fomu gani Mzee Zuberi alijaza kuomba u-Mufti?

Mimi nilidhani unanikosoa utaonyesha vigezo au sifa za Mufti za kuchaguliwa kuongoza Bakwata. Nchi nzima, sio hapa JF, nchi nzima hakuna anaeweza kusimama akasema Mufti Zuberi hajaibukia misituni, wasifu wake ni huu na ule.

Mufti Zubery amefundishwa dini na nani, wapi, lini kwa mfano? Tuanzie hapo.
 
Vigezo tajwa vimetajwa wapi?

Mufti hawaongozi watu wachache waliomchagua, anatuongoza sote, sisi tungetaka kujua viongozi hawa wanachaguliwa kwa vigezo gani.

Hivi vitu lazima viwe transparent, haiweki kuwa siri ya kikundi kinachomchagua Mufti. Kikundi kinaweza kumchagua mwenzao, mtu wao, kulinda maslahi yao. Tunataka kujua sifa zake. Usinambie wao wanajua, wao walipitia fomu zake. Wao kina nani? Fomu gani Mzee Zuberi alijaza kuomba u-Mufti?

Mimi nilidhani unanikosoa utaonyesha vigezo au sifa za Mufti za kuchaguliwa kuongoza Bakwata. Nchi nzima, sio hapa JF, nchi nzima hakuna anaeweza kusimama akasema Mufti Zuberi hajaibukia misituni, wasifu wake ni huu na ule.

Mufti Zubery amefundishwa dini na nani, wapi, lini? Tuanzie hapo.
Mimi sijakukosoa ila nimeshangazwa na kuhitaji ufafanuzi kutoka kwako.
 
Shetani anafanya kazi sana Kila nyumba ya ibada anataka aibomoe. Sijui tunakoelekea ni wapi. Mungu aturehem sana
 
Nilikuwa napenda sana kusikiliza hotuba na mawaidha yake. Alikuwa na busara na hekma sana yule Mzee.
Mufti wa sasa ndiye alikuwa msaidizi wake mkuu. Na kiukweli huyu mufti ni mcha mungu sana
 
Huyu Mzee ana-commnd respect ya hali ya juu mno ndani ya Jumuia ya Kiislamu na hata nje pia, ikiwemo serikali pamoja na vyombo vyake vyote. Wakati wa mchakato wa uchaguzi, wagombea walijitoa ili kumuachia nafasi hiyo abaki peke yake. Nashauri kama kuna chochote muwe mnakijadili ndani kwanza kabla hamjakileta huku nje kwenye mitandao ya jamii. Watu wanamuheshimu na kumpenda mno huyu mzee na wasingependa kusikia habari ambazo pengine ni tetesi tu juu yake.
Unajua kwanini?au nkupe majibu

Ova
 
Mimi sijakukosoa ila nimeshangazwa na kuhitaji ufafanuzi kutoka kwako.

Who knows?

There is no ufafanuzi.

Hakuna anaejua professional background ya huyu Alhaji, na hayo mambo ndo yanayochangia kuweka mtu anaekuja kuwa dangerously incompetent. Alipokufa Mufti Simba this man just popped out of the woodwork and took over. Sasa humtoi hapo bila Bakwata kupasuka, na nchi kitikisika.
 
Are you serious!!? Sasa wanaomchagua una maana walikua hawalijui hili? Hakuna vigezo vya mtu anayepaswa kuwepo kwenye hiyo nafasi? Hakuna kamati unayohakiki kama wajazaji wa form wana hivyo vigezo tajwa?
maswal hayo yote utajiuliza lakin majibu take hutayapata kwa msaada jaribu kufuatilia kuundwa kwa chombo hcho na ni nan alihihusisha moja kwa moja kuteua viongoz hao na kamwe haitatokea mufti aliekubarka na waislaam kuongoza chombo hcho hao wote n mash.....
 
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] Let me pass away!!
 
Muogope mungu sana,
Unamsingizia maiti huogopi wewe,
Kosa kumsingizia alokuwa hai, jee huyu alokuwa maiti jee?

Vipi utamuomba msamahan wakati hayupo tena, usiwe unafanya mambo kwa kufurahisha nafsi au kwa ajili ya chuki ni hatari zaidi.

Na hatari zaidi ya kuwa ulipomsingizia ni pahali patakatifu ambapo waislam wote wanakutana kutimiza nguzo ya tano pamoja na kumuomba allaah awasamehe madhambi yao.

Leo unakuja kusema ya kuwa mufti kazini! Hata angekuwa si mufti, mtu yoyote yule hauwezi kumsemea kosa hilo.

Jee wajua ya kuwa katika uislam kumsingizia mtu zinaa, adhabu yake ni kupigwa fimbo thamanini?

Laiti hukumu ya allaah ingekuwa inatumika basi wewe sasa hivi ni kuhukumiwa fimbo hizo, na bora zaidi kupata hiyo hukumu kuliko adhabu ambayo allaah atakutia katika maisha yako yote ya hapa duniani na kaburini na mpaka kukufuliwa.

Kwa hili huna msamaha mpaka umuombe mwenyewe samahani, sasa sijui umejitayarisha vipi kusimama mbele ya allaah na kumpa hoja ya kuwa kwa nini ulisema hivi, na pia sijui ulomsingizia hata hiyo siku ya siku atakuwa mwenye kukusamehe.

Note:
Mufti simba simjui namsikia tuu, ila nimesema haya kwa yoyote yule anaemsingizia mtu uongo, uwe wowote ule, ajitayarishe makaazi yake motoni
Sasa kama humjui ulijuaje kuwa anasingiziwa?
 
ndg usikufulishe watu namna hyo, no kwel kuwa ni watu ambao Hawako kwenye misimamo ya sawasawa lakin CIO kuwakufulisha wot kwan wengne hajui nn kinaendelea huko

Muislamu wakweli hawezi kulitumikia kanisa. Bakwata ni balozi wa ccm na kanisa ndani ya jamii ya kiislamu. Kumbuka kwamaba nyerere ndie alieiunda bakwata. Sasa jiulize alikua na lengo gani juu ya iilo.

Kiongozi mkubwa unamkuta yumo ndani yakanisa alafu ndo shekhe ati uyo.
 
Muislamu wakweli hawezi kulitumikia kanisa. Bakwata ni balozi wa ccm na kanisa ndani ya jamii ya kiislamu. Kumbuka kwamaba nyerere ndie alieiunda bakwata. Sasa jiulize alikua na lengo gani juu ya iilo.

Kiongozi mkubwa unamkuta yumo ndani yakanisa alafu ndo shekhe ati uyo.
hlo nalifaham MKUU ila wale wanalolifaham hill miongon mwa viongoz wa bakwata watahukumiwa na gukumu hyo lakin maskin kuna watu wanafuata tu mkumbo hawalijui hill kuwakufulisha Vila kuwatabaibishia ukwel tunaingia kwenye makosa mkuu
 
hlo nalifaham MKUU ila wale wanalolifaham hill miongon mwa viongoz wa bakwata watahukumiwa na gukumu hyo lakin maskin kuna watu wanafuata tu mkumbo hawalijui hill kuwakufulisha Vila kuwatabaibishia ukwel tunaingia kwenye makosa mkuu

Kuwa mpaka leo bado umeshindwa kuwafaham bakwata na umeshindwa kuwafaham ccm, na ukawa ni muislamu basi lazima utakua una matatizo ya akili kidogo.
Inasikitisha sana kuona waislamu wanaishabikia ccm. Kujifahamu nakutojitambia ni tatizo kubwa linayoikabili jamii yetu ya kiislamu
 
Hali si shwari ndani ya Baraza Kuu la Waislamu (BAKWATA) na sasa kundi la viongozi ndani ya baraza hilo wanakula njama za kumuondoa kiongozi wao makini Mufti Zubeir.

Hali hiyo inakuja huku zaidi ya miezi miwili Bakwata haina ofisi na zaidi ya wafanyakazi 50 wa Bakwata Makao Makuu hawajalipwa mishahara yao kwa zaidi miezi kumi na moja(11).

Kadhalika zaidi ya walimu kumi na tano wa shule ya Bondeni Arusha hajalipwa mishahara yao, na huku Baraza lote la Masheikh la mkoa wa Katavi na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bakwata Mkoa wa Katavi kujiuzulu kutokana na kutokuwa na IMANI na mufti zuberi.

Tayari zipo taarifa sasa za kuandaliwa mpango wa kuondolewa madarakani mufti kutokana kile kinachodaiwa kwamba ni kushindwa kuongoza Bakwata na ubadhirifu mkubwa wa mali za Bakwata uliofanywa na mufti na ndugu zake wa karibu.

Wajumbe kadhaa wa Baraza la masheikh Taifa wanajiandaa kutumia katiba ya Bakwata kumuengua mufti katika nafasi yake ya umufti kabla ya mwisho wa mwaka huu.

Wakati wajumbe wengine kumi wa halmashauri kuu ya Bakwata Taifa wakijiandaa kuwasilisha hoja ya kutokuwa na Imani na mufti katika kikao kijacho ili kutoa nafasi ya mufti kujiuzulu kabla hawajatoa taarifa za siri za ubadhilifu mkuu wanaoujua wajumbe hao dhidi ya mufti.

Wakati huo huo viongozi wa Bakwata toka mikoa mitano, wanajiandalia kujiuzulu kutokana na kuchoshwa kwao na vitendo vya mufti Zuberi. Vitendo hivyo ikiwa ni pamoja na mufti Zuberi kuingiza Bakwata kwa miaka miwili sasa bila muelekeo wowote, huku vitendo vya ubadhirifu, ubinafsishaji wa mali za bakwata na ubabaishaji kushika kasi na ndugu wa mufti kupewa kipaumbele bila kuzingatia katiba ya Bakwata.


Updates:

Masheikh watatu ambao ni wajumbe wa baraza la ulamaa taifa Bakwata,wakishirikiana na sheikh mkuu wa dar es salaam,sheikh mkuu wa tabora,pamoja na kiongozi mwandamizi wa zamani wa Bakwata ndio wanasuka mpango wa kumuondoa mufti wa Tanzania Abubakar Zuberi.

Mpango huo ulioandali kwa umakini mkubwa,huenda ukamfanya mufti Zuberi kuwa ni mufti wa kwanza kuenguliwa katika historia ya bakwata na kupelekea mufti kwa mara ya kwanza kutoka Rufiji.

Mpango ambao ulikuwa utekelezwe wakati Mufti Zuberi akiwa yupo Morocco,ambao kwa sasa utatekelezwa wakati wowote.

Nitaendelea kuwapa update!!!
Huu ni upotoshaji BAKWATA Makao makuu kama ina hali mbaya nisawa lkn hili ni anguko la kiuchumi la kila secta leo hii kuna malalamiko kila upande ukiangalia leo hii shule zinafungwa Baadhi ya Bank ziko hoi unataka kutoa milioni 5 unapigishwa foleni taasisi zakutoa mikopo kama zimefulia moja makao makuu yapo Arusha hivyo hili nilazima liwahusu nawao wapo Tanzania

Kuhusu shule za Bondeni na huko Katavi Bakwata makao makuu hawahusiki

Kuhusu matatizo binafsi ya Masheikh Bakwata haihusiki kama kuna mtu kaiba au kafanya ufuska hilo ni lakwake yeye kama kaiba Bakwata basi taratibu zifatwe

Yapo mambo ya msingi ya kuituhumu Bakwata kama baraza la waisilamu kwa uongozi wao na mahala walivyo tufikisha sasa lkn haya ni yakipuuzi na yamelenga kututoa kwenye lengo hili waisilamu tusikubali tunaambiwa Sheikh alifanya zinaa mwenyewe ameshakufa inatusaidia nini sisi hata kama nikweli
 
Back
Top Bottom