Hiyo ni society yako upande wako. ..Una vitu vianonekana kwa mfano Kenya inaonyesha kabisa kuwa hata wananchi wake wana mentality ya development ila hapa bongo mkuu development ni siasa ya bungeni na kweny vijiwe vya kahawa
Mkuu yaishe maana naona hmna hoja zenye facts ni siasa na dini tu typical tanzaniaView attachment 462424
MIMI NI ISIS
UNARINGANISHA = UNARINGANISHA. .
Naona unajitekenya mwenyewe Mr mjinga. ..maana kimtokacho mtu ndivyo alivyo. ...
GODESS OF MAGIC. ..ISIS GODESS OF 10000 NAMES. ..
Njaa hakuna ila tahadhari ipo kutokana mvua kutopatikana kutakuwa na upungufu wa chakula. Sokoni vyakula kibao tu. We unaijua njaa au unaisikia tu?Wewe ndio naona umeanza siasa, hili la njaa huwa hatulifanyiia siasa au utani. Huwa tunakiri kila tukiwa na tishio na kulishughulikia.
Huko kwenu ndio naona mnatoa matamko tofauti kuhusu tishio la njaa.
Nilikua nafuatilia huu uzi hapa
Swali: Kuna Njaa au Hakuna Njaa Tanzania???.
Upande 01: Kuna Njaa Tanzania.
Upande 02: Hakuna Njaa Tanzania.
Serikali: Hakuna Njaa Tanzania.
Vyama vya Upinzani: Kuna Njaa Tanzania.
Viongozi wa Dini: Kuna Ukame na Njaa Tanzania, tumwombe Mwenyezi Mungu atuepushie mbali na hili.
Baadhi ya Wananchi: Kuna Njaa Tanzania.
Baadhi ya Wananchi: Hakuna Njaa Tanzania.
Wasomi na Wanataaluma kama Ma Dr na Prof. kwenye vyuo vyetu vikubwa wako kimyaaaa. Au wanatengeneza proposal wakafanye research kabisa kama kuna njaa Tanzania ama la!!!!.
Tunakumbuka sijui usemi usemao Mwenye shibe hamjui mwenye njaa????.
Kuna Njaa au Hakuna Njaa Tanzania???.
Facts does not exist. ..change your thoughts. ..create your own facts. .have a nice Sunday my friend. ..M
Mkuu yaishe maana naona hmna hoja zenye facts ni siasa na dini tu typical tanzania
Jibu ni hakuna njaa TanzaniaWewe ndio naona umeanza siasa, hili la njaa huwa hatulifanyiia siasa au utani. Huwa tunakiri kila tukiwa na tishio na kulishughulikia.
Huko kwenu ndio naona mnatoa matamko tofauti kuhusu tishio la njaa.
Nilikua nafuatilia huu uzi hapa
Swali: Kuna Njaa au Hakuna Njaa Tanzania???.
Upande 01: Kuna Njaa Tanzania.
Upande 02: Hakuna Njaa Tanzania.
Serikali: Hakuna Njaa Tanzania.
Vyama vya Upinzani: Kuna Njaa Tanzania.
Viongozi wa Dini: Kuna Ukame na Njaa Tanzania, tumwombe Mwenyezi Mungu atuepushie mbali na hili.
Baadhi ya Wananchi: Kuna Njaa Tanzania.
Baadhi ya Wananchi: Hakuna Njaa Tanzania.
Wasomi na Wanataaluma kama Ma Dr na Prof. kwenye vyuo vyetu vikubwa wako kimyaaaa. Au wanatengeneza proposal wakafanye research kabisa kama kuna njaa Tanzania ama la!!!!.
Tunakumbuka sijui usemi usemao Mwenye shibe hamjui mwenye njaa????.
Kuna Njaa au Hakuna Njaa Tanzania???.
Usisene na hii tuna spin, lakini serikali imeshasema tunazo tani milioni 1.5 za chakula. Njaa huku umekuwa mtaji wa kisiasa, lakini hakuna anaeonyesha njaa uko wapi na nani mwenye shida ya chakula.
Acha ulofa. Apo chadema wameingiaje. Si useme ukweli tu CCM ndyo imeendekeza siasa kila siku kutoa matamko na kuyakanusha wenyeweIt is true, I was in Turkana last two weeks saw the situation is terrible.
Wakenya wasiingize siasa KAMA ZA CHADEMA.
Tulisha mwambia, aache kwanza ataonyeshawa chakula kiko wapi. Mbona bado yupo yupo tuu?Wapo ambao wana nia ya kuacha ubunge mkionyesha ushahidi wa hicho chakula....
Zitto Kabwe
January 17 at 2:22pm ·
Serikali ya CCM ikinionyesha tani 1.5m za chakula kutoka Hifadhi ya Taifa ya Chakula ambazo inataka kusambaza najiuzulu Ubunge mara moja.
Narudia, mpaka Oktoba 2016 kulikuwa na nafaka tani 90,400 tu Hivi kwenye maghala yote ya NFRA.
Tunashukuru kuwa Hivi sasa ajenda ya tishio la njaa inapata majawabu na matamko. Ndio wajibu wa vyama vya siasa. Kuibua masuala muhimu kwa nchi yetu.
Nimesikia Mwenezi wa CCM ameongea na waandishi Leo. Natarajia ndugu Ado Shaibu atamkaribisha mwenzake ulingoni
https://www.facebook.com/
Kuna njaa au kuna ukame, kama ni njaa unaweze wa kununua chakula nje ya nchi. Ukame ni swala jingine kabisa ambalo linatatuliwa na kulinda vyanzo vya maji.Nataman wa malaika wetu angekuwa mwelewa kama huyu presidaa wa jilani,yan anahisi kukili kuwa kuna njaa bonge la aibu kumbe kitu cha kawaida tuu!,tumepoteza mnyama na mifupa yake tumetangaza kila kukicha kwann tusitangaze na hili la njaa ambao linahusu uhai wa raia!
dah mbona ana macho yako hvyo,? Magic zake ni zipi?View attachment 462424
MIMI NI ISIS
UNARINGANISHA = UNARINGANISHA. .
Naona unajitekenya mwenyewe Mr mjinga. ..maana kimtokacho mtu ndivyo alivyo. ...
GODESS OF MAGIC. ..ISIS GODESS OF 10000 NAMES. ..
Google Godess ISIS. .dah mbona ana macho yako hvyo,? Magic zake ni zipi?