Los técnicos
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 3,012
- 2,637
Naweza nisiwe huru, lakini siwezi kuwa mtumwa wa uwendawazimu unao kuendesha
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naweza nisiwe huru, lakini siwezi kuwa mtumwa wa uwendawazimu unao kuendesha
Kuwa Mzalendo ni kusimama na Taifa sio mtu. Thamani ya Taifa ni kubwa zaidi kuliko chochote. Mnafundishwa hayo lakini cha ajabu mnaangalia tu Taifa linavyoenda kuharibika. Majuto ni mjukuuKUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Unakerwa sana na maridhiano ya mbowe kuliko kutekwa kwa wanaharakatiDuh...!,
P
Badala ya kumpeleka tume ya sayansi na techologia ili aendeleze ubunifu una mpleka mahabusu???Alidesign program ambayo ni unlawfully kisha nafikir akapata pesa kupitia hiyo program.
Sasa ukute hiyo program ni nothing less ila ni kablog tu huyu si mwandishi sasa akipost mamb yake humu watu wakiview anapata pesa basi, hakun kesi hayo cha msingi nikuprove hiyo blog au program pengin ni lawful ndio maan nasem kesi hapi ni cyber lakin kwavile alipata pesa kupitia hiy program then inakuw uhujumu uchumi et
Absolutely disgrace kwasababu kwa miaka yeto minne umeonea watu lkni hujawez kuwadhibiti na hutaweza kamwe
Hasa huyuAmini nakwambia Kuna watu siku roho zao zinatolewa watapata tabu mnooo..... Yaani mtoa roho ni anakwatukwatua tu mpaka afe kashateseka mnooo.... Wakiwemo hawa mbwa wanaojiona miungu mtu hapa chini ya jua
Sent using Jamii Forums mobile app
Pata picha kama kila mtu angenyamaza...maisha yako na familia yako yangekua jinsi yalivyo....
Kwahio Mungu yeye hua anawatumaWasaliti hata kwenye bibilia wamesema ni hatari sana hivyo hata Mungu hawapendi
Kwani ukihojiwa lazima ushitakiwa na kosa hilo hilo?
[/QUOTE
Si lazima ila Watanzania na dunia inapata picha fulani ambayo si nzuri kwa vyombo vyetu vya dola. Sheria inasema kabla ya kumkamata mhaligu lazima umwambie kosa lake, huoni hapo wanaenda tofauti?
Hata haya yana mwisho pia
Afisa wa LHRC, Tito Magoti pamoja na mwenzake (kama wanavyoonekana pichani) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mchana huu
Hata hivyo bado haijafahamika wamefikishwa Mahakamani hapo kwa tuhuma gani
Tito Magoti pamoja na wenzake walitoweka siku 4 zilizopita kabla ya Polisi kujitokeza na kueleza kuwa waliwakamata na kuwashikilia.
====
UPDATE:
View attachment 1302260
View attachment 1302258View attachment 1302259
Magoti apandishwa kizimbani kwa Uhujumu Uchumi
Mfanyakazi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti amefikishwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashtaka matatu ikiwemo la kutakatsha pesa shilingi Milioni 17.
Katika shitaka hilo Magoti amejumuishwa na wenzake Mtaalam wa Masuala Mtandao wa LHRC Theodory Giyan, ambao wote mnamo February Mosi na Disemba 17 wanatajwa kumiliki Program za Kompyuta na baadaye kujipatika Milioni 17 ambazo si zao.
Shtaka linamkabili na Magoti na Giyani ni kuwa sehemu ya Mtandao wa kiuhalifu, pamoja na kumiliki Mtandao wa Kompyuta uliotengenzwa kwa ajili ya kufanya uhalifu.
Hakimu anayesimamia Kesi ya Magoti na Wenzake ni Janeth Mtega ambapo kesi hiyo sasa imesogezwa mbele hadi January 7, 2020 huku washtakiwa hao wakirejeshwa rumande kutokana na aina ya makosa wanayoshtakiwa kukosa dhamana.
Magoti alikamatwa Ijumaa la Disemba 20, akiwa maeneo ya Mwenge jijini Dar es salaam huku siku chache baadaye Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam akithibitisha kuwa Jeshi hilo kumshikilia Tito Magoti lakini bila kueleza sababu yake.
Bado hayajapita mwanangu titoYatapita...
Yatapita haya...
Now they beat us by Ml cases...
Yatapita amini
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiwe ilichukua muda gani.?