Tito Magoti na Theodory Giyan wafikishwa Mahakamani, wafunguliwa mashtaka 3 yakiwemo ya Uhujumu Uchumi na Utakatishaji Fedha

KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Kuwa Mzalendo ni kusimama na Taifa sio mtu. Thamani ya Taifa ni kubwa zaidi kuliko chochote. Mnafundishwa hayo lakini cha ajabu mnaangalia tu Taifa linavyoenda kuharibika. Majuto ni mjukuu
 
Badala ya kumpeleka tume ya sayansi na techologia ili aendeleze ubunifu una mpleka mahabusu???
 
 
Hata haya yana mwisho pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…