Uchaguzi 2020 TLP yatangaza kuungana na CCM. Yamteua Rais Magufuli kuwa mgombea Urais Oktoba 2020

Uchaguzi 2020 TLP yatangaza kuungana na CCM. Yamteua Rais Magufuli kuwa mgombea Urais Oktoba 2020

Luqman mohamedy

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2016
Posts
899
Reaction score
1,231
TLP KUUNGANA NA CCM

Halmashauri Kuu ya Chama cha TLP imesisitiza kuwa chama hicho hakitasimamisha mgombea wa nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, badala yake chama hicho kitamuunga Mkono Mgombea wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli pindi atakapopitishwa na Chama Chake.

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama hicho Augustino Lyatonga Mrema amesema maamuzi ya halmashauri kuu ya TLP yanafuatia chama hicho kuridhishwa na mwenendo wa utawala wa Serikali ya awamu ya Tano.


















MAONI YANGU

Maamuzi ya TLP kumuunga mkono JPM kwenye uchaguzi wa 2020 inaweza kuwa na faida kubwa kwa TLP yenyewe kuliko hata CCM.

Sidhani na siamini kama CCM inahitaji kura chache za wanachama wa TLP, bali ninachodhani TLP wanahitaji nguvu na anagalau majimbo mawili matatu kwa nguvu ya CCM.

Hii ndio siasa bwana, ukikaza mashindano mwenzio anajenga muungano anakupiga bao.

Kama naona 2020 kwa mara nyingine TLP chama kilichokuwa mfu kinapata angalau kata na majimbo mawili.

Ukiona huna nguvu wewe ungana na mwenye nguvu baadae utapata nguvu.

UKAWA kuna tamaa kubwa muungano wao ni wa Kinafiki

Sina chama najaribu kuchambua muelekeo tu, usinicopy vibaya.
 
Mrema anajaribu kupanda mgongoni kwa CCM ili apenye uhakiki wa vyama utakaofanyika, mtihani mwingine kwa Chadema unakuja na jana msajili aliwachunia kwa makusudi kama ikulu.
 
Munanunaaa
Screenshot_20200311-132838.jpeg


Don't make a promise you can't fulfill...
 
TLP KUUNGANA NA CCM

Halmashauri Kuu ya Chama cha TLP imesisitiza kuwa chama hicho hakitasimamisha mgombea wa nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, badala yake chama hicho kitamuunga Mkono Mgombea wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli pindi atakapopitishwa na Chama Chake.

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama hicho Augustino Lyatonga Mrema amesema maamuzi ya halmashauri kuu ya TLP yanafuatia chama hicho kuridhishwa na mwenendo wa utawala wa Serikali ya awamu ya Tano.


Maamuzi ya TLP kumuunga mkono JPM kwenye uchaguzi wa 2020 inaweza kuwa na faida kubwa kwa TLP yenyewe kuliko hata CCM.

Sidhani na siamini kama CCM inahitaji kura chache za wanachama wa TLP, bali ninachodhani TLP wanahitaji nguvu na anagalau majimbo mawili matatu kwa nguvu ya CCM.

Hii ndio siasa bwana, ukikaza mashindano mwenzio anajenga muungano anakupiga bao.

Kama naona 2020 kwa mara nyingine TLP chama kilichokuwa mfu kinapata angalau kata na majimbo mawili.

Ukiona huna nguvu wewe ungana na mwenye nguvu baadae utapata nguvu.

UKAWA kuna tamaa kubwa muungano wao ni wa Kinafiki

Sina chama najaribu kuchambua muelekeo tu, usinicopy vibaya.
Wamechagua fungu jema!
 
TLP KUUNGANA NA CCM

Halmashauri Kuu ya Chama cha TLP imesisitiza kuwa chama hicho hakitasimamisha mgombea wa nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, badala yake chama hicho kitamuunga Mkono Mgombea wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli pindi atakapopitishwa na Chama Chake.

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama hicho Augustino Lyatonga Mrema amesema maamuzi ya halmashauri kuu ya TLP yanafuatia chama hicho kuridhishwa na mwenendo wa utawala wa Serikali ya awamu ya Tano.


Maamuzi ya TLP kumuunga mkono JPM kwenye uchaguzi wa 2020 inaweza kuwa na faida kubwa kwa TLP yenyewe kuliko hata CCM.

Sidhani na siamini kama CCM inahitaji kura chache za wanachama wa TLP, bali ninachodhani TLP wanahitaji nguvu na anagalau majimbo mawili matatu kwa nguvu ya CCM.

Hii ndio siasa bwana, ukikaza mashindano mwenzio anajenga muungano anakupiga bao.

Kama naona 2020 kwa mara nyingine TLP chama kilichokuwa mfu kinapata angalau kata na majimbo mawili.

Ukiona huna nguvu wewe ungana na mwenye nguvu baadae utapata nguvu.

UKAWA kuna tamaa kubwa muungano wao ni wa Kinafiki

Sina chama najaribu kuchambua muelekeo tu, usinicopy vibaya.
Hii ni vema ikaunganishwa na uzi mwingine nilioweka hapa kitambo .

Halafu utambue kwamba Magufuli si mgombea urais wa ccm , hajapitishwa na kikao chochote cha ccm , na kuna tetesi kwamba hatopitishwa na ccm
 
T
TLP KUUNGANA NA CCM

Halmashauri Kuu ya Chama cha TLP imesisitiza kuwa chama hicho hakitasimamisha mgombea wa nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, badala yake chama hicho kitamuunga Mkono Mgombea wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli pindi atakapopitishwa na Chama Chake.

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama hicho Augustino Lyatonga Mrema amesema maamuzi ya halmashauri kuu ya TLP yanafuatia chama hicho kuridhishwa na mwenendo wa utawala wa Serikali ya awamu ya Tano.


Maamuzi ya TLP kumuunga mkono JPM kwenye uchaguzi wa 2020 inaweza kuwa na faida kubwa kwa TLP yenyewe kuliko hata CCM.

Sidhani na siamini kama CCM inahitaji kura chache za wanachama wa TLP, bali ninachodhani TLP wanahitaji nguvu na anagalau majimbo mawili matatu kwa nguvu ya CCM.

Hii ndio siasa bwana, ukikaza mashindano mwenzio anajenga muungano anakupiga bao.

Kama naona 2020 kwa mara nyingine TLP chama kilichokuwa mfu kinapata angalau kata na majimbo mawili.

Ukiona huna nguvu wewe ungana na mwenye nguvu baadae utapata nguvu.

UKAWA kuna tamaa kubwa muungano wao ni wa Kinafiki

Sina chama najaribu kuchambua muelekeo tu, usinicopy vibaya.
TLP kweli ina wanachama kweli? Chama maiti na mwenyekiti maiti!
 
TLP KUUNGANA NA CCM

Halmashauri Kuu ya Chama cha TLP imesisitiza kuwa chama hicho hakitasimamisha mgombea wa nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, badala yake chama hicho kitamuunga Mkono Mgombea wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli pindi atakapopitishwa na Chama Chake.

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama hicho Augustino Lyatonga Mrema amesema maamuzi ya halmashauri kuu ya TLP yanafuatia chama hicho kuridhishwa na mwenendo wa utawala wa Serikali ya awamu ya Tano.


Maamuzi ya TLP kumuunga mkono JPM kwenye uchaguzi wa 2020 inaweza kuwa na faida kubwa kwa TLP yenyewe kuliko hata CCM.

Sidhani na siamini kama CCM inahitaji kura chache za wanachama wa TLP, bali ninachodhani TLP wanahitaji nguvu na anagalau majimbo mawili matatu kwa nguvu ya CCM.

Hii ndio siasa bwana, ukikaza mashindano mwenzio anajenga muungano anakupiga bao.

Kama naona 2020 kwa mara nyingine TLP chama kilichokuwa mfu kinapata angalau kata na majimbo mawili.

Ukiona huna nguvu wewe ungana na mwenye nguvu baadae utapata nguvu.

UKAWA kuna tamaa kubwa muungano wao ni wa Kinafiki

Sina chama najaribu kuchambua muelekeo tu, usinicopy vibaya.
Kwani TLP ni chama cha siasa?
 
Back
Top Bottom