Uchaguzi 2020 TLP yatangaza kuungana na CCM. Yamteua Rais Magufuli kuwa mgombea Urais Oktoba 2020

Uchaguzi 2020 TLP yatangaza kuungana na CCM. Yamteua Rais Magufuli kuwa mgombea Urais Oktoba 2020

hivi wanachama wa TLP wanazidi 100 Tanzania nzima?
 
Kama wenyekiti tu wa mtaa uko kwake walimnyima waje wampe udiwani au ubunge kwa lipi hapa dingi anajitekenya mwenyewe anacheka mwenyewe
 
TLP KUUNGANA NA CCM

Halmashauri Kuu ya Chama cha TLP imesisitiza kuwa chama hicho hakitasimamisha mgombea wa nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, badala yake chama hicho kitamuunga Mkono Mgombea wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli pindi atakapopitishwa na Chama Chake.

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama hicho Augustino Lyatonga Mrema amesema maamuzi ya halmashauri kuu ya TLP yanafuatia chama hicho kuridhishwa na mwenendo wa utawala wa Serikali ya awamu ya Tano.


Maamuzi ya TLP kumuunga mkono JPM kwenye uchaguzi wa 2020 inaweza kuwa na faida kubwa kwa TLP yenyewe kuliko hata CCM.

Sidhani na siamini kama CCM inahitaji kura chache za wanachama wa TLP, bali ninachodhani TLP wanahitaji nguvu na anagalau majimbo mawili matatu kwa nguvu ya CCM.

Hii ndio siasa bwana, ukikaza mashindano mwenzio anajenga muungano anakupiga bao.

Kama naona 2020 kwa mara nyingine TLP chama kilichokuwa mfu kinapata angalau kata na majimbo mawili.

Ukiona huna nguvu wewe ungana na mwenye nguvu baadae utapata nguvu.

UKAWA kuna tamaa kubwa muungano wao ni wa Kinafiki

Sina chama najaribu kuchambua muelekeo tu, usinicopy vibaya.

Hawa TLP ni ccm B, wamekuwa wakiunga mkono urais wa ccm tokea JK hajawa rais niliwahi kwenda mikutano yao ya kampeni wakisema waziwazi kura zipigiwe upande wa CCM.
 
TLP KUUNGANA NA CCM

Halmashauri Kuu ya Chama cha TLP imesisitiza kuwa chama hicho hakitasimamisha mgombea wa nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, badala yake chama hicho kitamuunga Mkono Mgombea wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli pindi atakapopitishwa na Chama Chake.

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama hicho Augustino Lyatonga Mrema amesema maamuzi ya halmashauri kuu ya TLP yanafuatia chama hicho kuridhishwa na mwenendo wa utawala wa Serikali ya awamu ya Tano.


Maamuzi ya TLP kumuunga mkono JPM kwenye uchaguzi wa 2020 inaweza kuwa na faida kubwa kwa TLP yenyewe kuliko hata CCM.

Sidhani na siamini kama CCM inahitaji kura chache za wanachama wa TLP, bali ninachodhani TLP wanahitaji nguvu na anagalau majimbo mawili matatu kwa nguvu ya CCM.

Hii ndio siasa bwana, ukikaza mashindano mwenzio anajenga muungano anakupiga bao.

Kama naona 2020 kwa mara nyingine TLP chama kilichokuwa mfu kinapata angalau kata na majimbo mawili.

Ukiona huna nguvu wewe ungana na mwenye nguvu baadae utapata nguvu.

UKAWA kuna tamaa kubwa muungano wao ni wa Kinafiki

Sina chama najaribu kuchambua muelekeo tu, usinicopy vibaya.
anajifia huyo
 
TLP KUUNGANA NA CCM

Halmashauri Kuu ya Chama cha TLP imesisitiza kuwa chama hicho hakitasimamisha mgombea wa nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, badala yake chama hicho kitamuunga Mkono Mgombea wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli pindi atakapopitishwa na Chama Chake.

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama hicho Augustino Lyatonga Mrema amesema maamuzi ya halmashauri kuu ya TLP yanafuatia chama hicho kuridhishwa na mwenendo wa utawala wa Serikali ya awamu ya Tano.


Maamuzi ya TLP kumuunga mkono JPM kwenye uchaguzi wa 2020 inaweza kuwa na faida kubwa kwa TLP yenyewe kuliko hata CCM.

Sidhani na siamini kama CCM inahitaji kura chache za wanachama wa TLP, bali ninachodhani TLP wanahitaji nguvu na anagalau majimbo mawili matatu kwa nguvu ya CCM.

Hii ndio siasa bwana, ukikaza mashindano mwenzio anajenga muungano anakupiga bao.

Kama naona 2020 kwa mara nyingine TLP chama kilichokuwa mfu kinapata angalau kata na majimbo mawili.

Ukiona huna nguvu wewe ungana na mwenye nguvu baadae utapata nguvu.

UKAWA kuna tamaa kubwa muungano wao ni wa Kinafiki

Sina chama najaribu kuchambua muelekeo tu, usinicopy vibaya.
KIDUMU CHAMA CHA.MAPINDUZII
 
TLP kimekuwa chama cha kwanza kabisa kuteua mgombea wake wa urais atakeyeshiriki Uchaguzi Mkuu 2020 kupitia CCM! Maajabu duniani hayaishi.
 
TLP KUUNGANA NA CCM

Halmashauri Kuu ya Chama cha TLP imesisitiza kuwa chama hicho hakitasimamisha mgombea wa nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, badala yake chama hicho kitamuunga Mkono Mgombea wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli pindi atakapopitishwa na Chama Chake.

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama hicho Augustino Lyatonga Mrema amesema maamuzi ya halmashauri kuu ya TLP yanafuatia chama hicho kuridhishwa na mwenendo wa utawala wa Serikali ya awamu ya Tano.


Maamuzi ya TLP kumuunga mkono JPM kwenye uchaguzi wa 2020 inaweza kuwa na faida kubwa kwa TLP yenyewe kuliko hata CCM.

Sidhani na siamini kama CCM inahitaji kura chache za wanachama wa TLP, bali ninachodhani TLP wanahitaji nguvu na anagalau majimbo mawili matatu kwa nguvu ya CCM.

Hii ndio siasa bwana, ukikaza mashindano mwenzio anajenga muungano anakupiga bao.

Kama naona 2020 kwa mara nyingine TLP chama kilichokuwa mfu kinapata angalau kata na majimbo mawili.

Ukiona huna nguvu wewe ungana na mwenye nguvu baadae utapata nguvu.

UKAWA kuna tamaa kubwa muungano wao ni wa Kinafiki

Sina chama najaribu kuchambua muelekeo tu, usinicopy vibaya.
Muungano wa kisiasa huwa ni wa kinafikia, duniani kote
 
TLP KUUNGANA NA CCM

Halmashauri Kuu ya Chama cha TLP imesisitiza kuwa chama hicho hakitasimamisha mgombea wa nafasi ya Urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, badala yake chama hicho kitamuunga Mkono Mgombea wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli pindi atakapopitishwa na Chama Chake.

Mwenyekiti wa Taifa wa Chama hicho Augustino Lyatonga Mrema amesema maamuzi ya halmashauri kuu ya TLP yanafuatia chama hicho kuridhishwa na mwenendo wa utawala wa Serikali ya awamu ya Tano.


Maamuzi ya TLP kumuunga mkono JPM kwenye uchaguzi wa 2020 inaweza kuwa na faida kubwa kwa TLP yenyewe kuliko hata CCM.

Sidhani na siamini kama CCM inahitaji kura chache za wanachama wa TLP, bali ninachodhani TLP wanahitaji nguvu na anagalau majimbo mawili matatu kwa nguvu ya CCM.

Hii ndio siasa bwana, ukikaza mashindano mwenzio anajenga muungano anakupiga bao.

Kama naona 2020 kwa mara nyingine TLP chama kilichokuwa mfu kinapata angalau kata na majimbo mawili.

Ukiona huna nguvu wewe ungana na mwenye nguvu baadae utapata nguvu.

UKAWA kuna tamaa kubwa muungano wao ni wa Kinafiki

Sina chama najaribu kuchambua muelekeo tu, usinicopy vibaya.

Sijaelewa, yaani CCM wawaachie majimbo TLP kwa sababu wamemteua anaetarajia kuwa mgombea wa CCM kuwa Mgombea wao? CCM hii hii ya Lumumba ama nyengine?
 
Back
Top Bottom