TLS Chama cha Mawakili Tanganyika rasmi kimetekwa nyara na Mhimili wa Serikali Kuu

Kwahiyo alioa mchaga baada ya kuwa rais wa TLS au alioa mchaga ili awe rais wa TLS?
JF imekosa GT's imeingiliwa na wabakaji hoja.
 
Kwahiyo alioa mchaga baada ya kuwa rais wa TLS au alioa mchaga ili awe rais wa TLS?
JF imekosa GT's imeingiliwa na wabakaji hoja.
Kuwa na mke mchagga ndiyo sababu kubwa iliyopelekea yeye kupigiwa kampeni na chaggadema yote awe mwenyekiti wa TLS.

Maslahi mbele
 
Hujanielewa. Rudia kusoma nilichoandika.
Mataifa yote ambayo yalikuja kupata matatizo makubwa ya vita,mgawanyiko katika Taifa na kadhalika yalilea ujinga kama unavyofanya hapa.

Juzi juzi amehamasisha ufisadi katika Serikali yake then wajinga ambao ndiyo wengi katika Taifa hili wakaibuka na kumtetea pia.Nakuhakikishia kuwa hakuna hata chembe ya ujinga ambaya itaacha kulipwa kwa gharama kubwa.Hiyo ni universe law wala siyo maoni yangu.Endelea kushupaza Shingo.
 
Mnashtuka leo hata Lisu hakugundua kumweka kada halikuwa jambo zuri. Wanasheria mmezimwa jumla poleni.
 
Watu kama wewe huwa mnanyamaza kimyaa mnapopewa nafasi kubwa serikalini. Huku kuongeaongea mara nyingi ni dalili za kuwa na uhitaji wa nafasi au teuzi.
 
Kuwa na mke mchagga ndiyo sababu kubwa iliyopelekea yeye kupigiwa kampeni na chaggadema yote awe mwenyekiti wa TLS.

Maslahi mbele
Mbona mkewe ninaye mfahamu si mchaga, acheni vitu vya kuokoteza majalalani.
 
TLS ni chama cha kitaaluma sio cha cha kisiasa au cha kufanyia harakati kupinga serikali ilioko madarakana. Hao kina lissu na fatma karume ndio walijaribu kukiteka kiwe cha wapinzani ila wakafeli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…