TLS isajiliwe kama chama cha siasa tujue moja

TLS isajiliwe kama chama cha siasa tujue moja

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.

Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.

Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.

Uongozi ni hekima, busara, hoja.
 
Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.

Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.

Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.

Uongozi ni hekima, busara, hoja
Kwani tatizo nini mbona unatoa povu kama umesukutua omo bila kueleza chochote au tayari wadudu wameshafika utosini maana CD4 zikishuka sana ngoma lazima igote kichwani.
 
Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.

Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.

Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.

Uongozi ni hekima, busara, hoja
Huwez tenganisha Siasa na Maisha, Kila kitu hapa Duniani kimeunganishwa na Siasa.
 
Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.

Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.

Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.

Uongozi ni hekima, busara, hoja
watu wa ccm ni wajinga sana. kwao wao mawazo mbadala ni uhaini. mbona bungeni kuna chama kimoja cha siasa lakini watu wanakunywa maji ya tape. huku wengine hapo lumumba na serikalini wakikwapua manoti bila kuanywa lolote. aliyekuambia chama cha wanataaluma kazi yake ni kuimba mapambio ni nani?
hata vyama vilivysajiliwa pia mnaviita majina mabaya kwa ujuha wenu sembuse hicho?
 
TLS ijikite kwenye sheria tu. Kulingana na ni Nani raisi wa TLS, chombo hicho kimekuwa wakati mwingine kikitumika kisiasa ama kama chawa wa CCM au kama chama cha upinzani. Hiyo siyo vizuri.
 
Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.

Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.

Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.

Uongozi ni hekima, busara, hoja.
Kumbe upo kwenye kampeni chafu?
 
Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.

Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.

Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.

Uongozi ni hekima, busara, hoja.
Heshima ya hiki chama imeshuka kutokana na nguvu kubwa kutoka nje kuingilia uendeshaji wa hiki chama.
 
Mwabukusi mbona atakaa chini vizuri tu, akija kivita, atakutana na vita, akija ki-proffessional atapokelewa hivyo.

Rais wa T.L.S anayetukana kila mtu hatabaki salama kwa kuwa hana immunity, atakuwa anapishana na milango ya segerea na ukonga mpaka kipindi chake kiishe
 
Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.

Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.

Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.

Uongozi ni hekima, busara, hoja.
Dogo punguza hasira kunywa maji kwanza

Huenda serikali kuingilia vyama ndo kumepelekea hii Hali unnayosema
 
Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.

Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.

Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.

Uongozi ni hekima, busara, hoja.
Usiyempenda kaja. Ifuteni TLS si mna mamlaka yote nyie. 😂️😂️😂️😂️
 
Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.

Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.

Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.

Uongozi ni hekima, busara, hoja.
Habari mbaya kwako, baada ya tls 2025 tunaenda kujitoa ccm
 
Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.

Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.

Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.

Uongozi ni hekima, busara, hoja.
Vipi mkuu frustrations za nini na chama cha wenyewe? Wewe ni profession wa chama gani? Si ubadili cha profession yako kuwa cha siasa?
 
Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.

Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.

Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.

Uongozi ni hekima, busara, hoja.

Wale hamna kitu. Wanaitwa TLS uchaguzi. Yaani kipindi cha uchaguzi wao ndiyo utawasikia, lakini baada ya hapo, hutawasikia sehemu yoyote.
 
Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.

Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.

Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.

Uongozi ni hekima, busara, hoja.
A crap from mind crippled creature. Mleta mada ni wa kuonewa huruma, yumkini ni wale wenye ulemavu wa akili ambao hawajafikia tu ile hatua ya kutembea uchi au kubeba makopo.

Waache wanasheria wafanye uchaguzi wao. Wao ni watu wenye akili timamu, siyo kama wewe.
 
Back
Top Bottom