TLS isajiliwe kama chama cha siasa tujue moja

TLS isajiliwe kama chama cha siasa tujue moja

Wewe umesomea sheria au unga unga unga na mwana?
 
Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.

Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.

Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.

Uongozi ni hekima, busara, hoja.
Naona unaumia kusikia Mwabukusi anaweza kushinda. Pole sana.
 
Kwani tatizo nini mbona unatoa povu kama umesukutua omo bila kueleza chochote au tayari wadudu wameshafika utosini maana CD4 zikishuka sana ngoma lazima igote kichwani.
Usitukane wakunga
 
Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.

Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.

Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.

Uongozi ni hekima, busara, hoja.
Kwahyo Tatzo ni mwabukusi na Sio TLS
 
Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.

Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.

Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.

Uongozi ni hekima, busara, hoja.
Wote Wana vyama vyao
 
A crap from mind crippled creature. Mleta mada ni wa kuonewa huruma, yumkini ni wale wenye ulemavu wa akili ambao hawajafikia tu ilr hatua ya kutemvea uchi au kubeba makopo.

Waache wanasheria wafanye uchaguzi wao. Wao ni watu wenye akili timamu, siyo kama wewe.
Sijajua kwann kamtaja Mwabukusi tu wa CCM hajamwona? Wale wengine je? Na hata hivyo sijawahi kusikia kama Mwabukusi ni mwanachama wa Chadema ila anaunga juhudi za Chadema za kutetea raslimali
 
Mwabukusi mbona atakaa chini vizuri tu, akija kivita, atakutana na vita, akija ki-proffessional atapokelewa hivyo.

Rais wa T.L.S anayetukana kila mtu hatabaki salama kwa kuwa hana immunity, atakuwa anapishana na milango ya segerea na ukonga mpaka kipindi chake kiishe
Oops kumbe mnafanya mfanyayo kwa sababu mna immunity?
 
Watanzania wengi sio wazalendo wanawapinga wale wanaotetea mali za Umma kuibwa na hii inatokana na wengi wao kuishi kwa kutegemea mali za kuibwa kutoka kwa Wananchi..
 
A crap from mind crippled creature. Mleta mada ni wa kuonewa huruma, yumkini ni wale wenye ulemavu wa akili ambao hawajafikia tu ilr hatua ya kutemvea uchi au kubeba makopo.

Waache wanasheria wafanye uchaguzi wao. Wao ni watu wenye akili timamu, siyo kama wewe.
Mkuu siku hizi kubeba makopo sio dalili za ukichaa ,hiyo ni kazi halali ya wenye uthubutu!
 
Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.

Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.

Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.

Uongozi ni hekima, busara, hoja.
Hivi hawa wao huwa wanafanya uchaguzi kila mwaka? Kwa nini?
 
Mwabukusi mbona atakaa chini vizuri tu, akija kivita, atakutana na vita, akija ki-proffessional atapokelewa hivyo.

Rais wa T.L.S anayetukana kila mtu hatabaki salama kwa kuwa hana immunity, atakuwa anapishana na milango ya segerea na ukonga mpaka kipindi chake kiishe

..mnataka Raisi wa TLS anayepakatwa kama mtoto mdogo na serikali.

..TLS iko hivyo ilivyo kutokana na watawala wa hovyo-hovyo wa nchi yetu.
 
Kwani majukumu ya tls ni nini?Je mwabukusi ni member tls?

Majukumu ya TLS ni
To represent, protect and assist members of the legal profession in Tanzania as regards to conditions of practice and otherwise; To protect and assist the public in Tanzania in all matters touching, ancillary or incidental to the law.

Mwabukusi ni Member wa TLS mwenye haki na Vigezo vya kuwa KIONGOZI.So Shida iko wapi?
 
Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.

Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.

Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.

Uongozi ni hekima, busara, hoja.
Wewe ni mwanasheria? Wewe ni mwanachama wa TLS? Kama majibu ni ndiyo basi Tieloesi haina maana tena kwa mstakabali wa taifa na wanachama wake.
 
... kwamba kuna baadhi ya binadamu wenye roho mbaya...
Umepiga hapo. 🥁🎺
 
Back
Top Bottom