Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona unaumia kusikia Mwabukusi anaweza kushinda. Pole sana.Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.
Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.
Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.
Uongozi ni hekima, busara, hoja.
Usitukane wakungaKwani tatizo nini mbona unatoa povu kama umesukutua omo bila kueleza chochote au tayari wadudu wameshafika utosini maana CD4 zikishuka sana ngoma lazima igote kichwani.
Kwahyo Tatzo ni mwabukusi na Sio TLSHakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.
Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.
Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.
Uongozi ni hekima, busara, hoja.
Wote Wana vyama vyaoHakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.
Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.
Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.
Uongozi ni hekima, busara, hoja.
Sijajua kwann kamtaja Mwabukusi tu wa CCM hajamwona? Wale wengine je? Na hata hivyo sijawahi kusikia kama Mwabukusi ni mwanachama wa Chadema ila anaunga juhudi za Chadema za kutetea raslimaliA crap from mind crippled creature. Mleta mada ni wa kuonewa huruma, yumkini ni wale wenye ulemavu wa akili ambao hawajafikia tu ilr hatua ya kutemvea uchi au kubeba makopo.
Waache wanasheria wafanye uchaguzi wao. Wao ni watu wenye akili timamu, siyo kama wewe.
Oops kumbe mnafanya mfanyayo kwa sababu mna immunity?Mwabukusi mbona atakaa chini vizuri tu, akija kivita, atakutana na vita, akija ki-proffessional atapokelewa hivyo.
Rais wa T.L.S anayetukana kila mtu hatabaki salama kwa kuwa hana immunity, atakuwa anapishana na milango ya segerea na ukonga mpaka kipindi chake kiishe
Mkuu siku hizi kubeba makopo sio dalili za ukichaa ,hiyo ni kazi halali ya wenye uthubutu!A crap from mind crippled creature. Mleta mada ni wa kuonewa huruma, yumkini ni wale wenye ulemavu wa akili ambao hawajafikia tu ilr hatua ya kutemvea uchi au kubeba makopo.
Waache wanasheria wafanye uchaguzi wao. Wao ni watu wenye akili timamu, siyo kama wewe.
Hivi hawa wao huwa wanafanya uchaguzi kila mwaka? Kwa nini?Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.
Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.
Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.
Uongozi ni hekima, busara, hoja.
Mwabukusi mbona atakaa chini vizuri tu, akija kivita, atakutana na vita, akija ki-proffessional atapokelewa hivyo.
Rais wa T.L.S anayetukana kila mtu hatabaki salama kwa kuwa hana immunity, atakuwa anapishana na milango ya segerea na ukonga mpaka kipindi chake kiishe
Ukimaanisha?Usitukane wakunga
Wewe ni mwanasheria? Wewe ni mwanachama wa TLS? Kama majibu ni ndiyo basi Tieloesi haina maana tena kwa mstakabali wa taifa na wanachama wake.Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii.
Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma.
Mwabukusi ni nani? Ameshindwa Lissu, ameshindwa msomi Nshalla ndio aje aweze huyo msanii.
Uongozi ni hekima, busara, hoja.