TLS Kuwa chama kipya cha siasa chini ya Mwabukusi

TLS Kuwa chama kipya cha siasa chini ya Mwabukusi

TheMaster

Member
Joined
Aug 10, 2023
Posts
36
Reaction score
68
Habari wanajukwaa,

Binafsi nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Raisi wa TLS na Mwanasheria mbobezi kwa jina maarufu la
Adv. Boniface Mwabukusi.

Kihistoria Mwambukusi inasemekana aliwahi kuwa mwanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi lakini kwa kauli yake alikiri kuwa alijivua uanachama NCCR baada ya kuona mambo hayaeleweki kwa upande wake.

Jina la Mwabukusi liliibuka zaidi kipindi cha sakata la Mkataba wa Bandari na DP WORLD akijinasibu kuwa yeye ni Mwanaharakati na mtetezi wa Rasilimali za Tanganyika.

Huwenda kupaa kwa jina la Mwabukusi kipindi cha sakata la bandari ndio chachu ya Mwanasheria huyu kujikita zaidi kunako siasa na hata kijitweza katika kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya Urais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) na kushinda. Hongera kwake

Nikifatilia hotuba pamoja na kauli za kiongozi huyu mpya wa TLS napata wasiwasi kwamba huwenda TLS imebadilisha hadidu za rejea na kuwa ni chama cha siasa tena chenye lengo mama la kuiondosha CCM madarakani kupitia mgongo wa sheria.

Mwambukusi amekuwa akitoa kauli zenye kudhihirisha kejeli kwa serikali na CCM, dharau na hata vitisho kwa watawala na kuonesha kuwa TLS itasimama kidete ikiwezekana kutoa msaada wa kisheria kwa wote wanaohisi kuonewa na watala.

Soma Pia: Tushangilie ushindi wa TLS lakini tusitegemee mabadiliko TLS kupitia Mwambukusi; huyu ni mwanasystem kindakindaki

Mwabukusi alifikia hatua ya kutishia kuwa kama Rais wa TLS anaweza kuanzisha mgomo na maandamano endapo Serikali haitatii matakwa ya TLS.

Nadhani TLS ni jumuiya ya mawakili Tanzania na ni kama Jumuiya zingine mfano chama cha walimu Tanzania (CWT) au chama cha madaktari Tanzania (MAT) na wala sio Muhimili wa kuweza kuiwajibisha serikali au kushawishi wananchi kufanya chochote dhidi ya kitu chochote kwasababu TLS ina wajibu kwa mawakili ndani ya jumuiya yao na sio nje ya wanajumuiya wake.

Je, Mwabukusi anaeipeleka TLS kuwa chama cha Siasa?
 
Habari wanajukwaa,

Binafsi nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Raisi wa TLS na Mwanasheria mbobezi kwa jila maarufu la MWAMBUKUSI.
Kihistoria Mwambukusi inasemekana aliwahi kuwa mwanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi lakini kwa kauli yake alikiri kuwa alijivua uanachama NCCR baada ya kuona mambo hayaeleweki kwa upande wake.

Jina la mwambukusi liliibuka zaidi kipindi cha sakata la Mkataba wa Bandari na DP WORLD akijinasibu kuwa yeye ni Mwanaharakati na mtetezi wa Rasilimali za Tanganyika.
Huwenda kupaa kwa jina la mwambukisi kipindi cha sakata la bandari ndio chachu ya Mwanasheria huyu kujikita zaidi kunako siasa na hata kijitweza ktk kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya Urais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) na kushinda. Hongera kwake

Nikifatilia hotuba pamoja na kauli za kiongozi huyu mpya wa TLS napata wasiwasi kwamba huwenda TLS imebadilisha hadidu za rejea na kuwa ni chama cha siasa tena chenye lengo mama la kuiondosha CCM madarakani kupitia mgongo wa sheria.
Mwambukusi amekuwa akitoa kauli zenye kudhihirisha kejeli kwa serikali na CCM, dharau na hata vitisho kwa watawala na kuonesha kuwa TLS itasimama kidete ikiwezekana kutoa msaada wa kisheria kwa wote wanaohisi kuonewa na watala.
Mwambukusi alifikia hatua ya kutishia kuwa kama Rais wa TLS anaweza kuanzisha mgomo na maandamano endapo Serikali haitatii matakwa ya TLS.

Nadhani TLS ni jumuiya ya mawakili Tanzania na ni kama Jumuiya zingine mfano chama cha walimu Tanzania (CWT) au chama cha madaktari Tanzania (MAT) na wala sio Muhimili wa kuweza kuiwajibisha serikali au kushawishi wananchi kufanya chochote dhidi ya kitu chochote kwasababu TLS ina wajibu kwa mawakili ndani ya jumuiya yao na sio nje ya wanajumuiya wake.
Je mwambukusi anaeipeleka TLS kuwa chama cha Siasa???
Unaielewa vizuri katiba yake?
 
Habari wanajukwaa,

Binafsi nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Raisi wa TLS na Mwanasheria mbobezi kwa jila maarufu la MWAMBUKUSI.
Kihistoria Mwambukusi inasemekana aliwahi kuwa mwanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi lakini kwa kauli yake alikiri kuwa alijivua uanachama NCCR baada ya kuona mambo hayaeleweki kwa upande wake.

Jina la mwambukusi liliibuka zaidi kipindi cha sakata la Mkataba wa Bandari na DP WORLD akijinasibu kuwa yeye ni Mwanaharakati na mtetezi wa Rasilimali za Tanganyika.
Huwenda kupaa kwa jina la mwambukisi kipindi cha sakata la bandari ndio chachu ya Mwanasheria huyu kujikita zaidi kunako siasa na hata kijitweza ktk kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya Urais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) na kushinda. Hongera kwake

Nikifatilia hotuba pamoja na kauli za kiongozi huyu mpya wa TLS napata wasiwasi kwamba huwenda TLS imebadilisha hadidu za rejea na kuwa ni chama cha siasa tena chenye lengo mama la kuiondosha CCM madarakani kupitia mgongo wa sheria.
Mwambukusi amekuwa akitoa kauli zenye kudhihirisha kejeli kwa serikali na CCM, dharau na hata vitisho kwa watawala na kuonesha kuwa TLS itasimama kidete ikiwezekana kutoa msaada wa kisheria kwa wote wanaohisi kuonewa na watala.
Mwambukusi alifikia hatua ya kutishia kuwa kama Rais wa TLS anaweza kuanzisha mgomo na maandamano endapo Serikali haitatii matakwa ya TLS.

Nadhani TLS ni jumuiya ya mawakili Tanzania na ni kama Jumuiya zingine mfano chama cha walimu Tanzania (CWT) au chama cha madaktari Tanzania (MAT) na wala sio Muhimili wa kuweza kuiwajibisha serikali au kushawishi wananchi kufanya chochote dhidi ya kitu chochote kwasababu TLS ina wajibu kwa mawakili ndani ya jumuiya yao na sio nje ya wanajumuiya wake.
Je mwambukusi anaeipeleka TLS kuwa chama cha Siasa???
Umesahau juhudi kubwa iliyofanywa kuwazuia Tundu Lissu na Fatma Karume kuwa ma Rais wa TLS ingawa wawili waliofata walikuwa chawa wa Fisiemu
We vumilia tuu siku hizi ni miaka mitatu anakuwa Rais,utateseka sana 😩
 
Habari wanajukwaa,

Binafsi nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Raisi wa TLS na Mwanasheria mbobezi kwa jila maarufu la MWAMBUKUSI.
Kihistoria Mwambukusi inasemekana aliwahi kuwa mwanachama wa chama cha NCCR-Mageuzi lakini kwa kauli yake alikiri kuwa alijivua uanachama NCCR baada ya kuona mambo hayaeleweki kwa upande wake.

Jina la mwambukusi liliibuka zaidi kipindi cha sakata la Mkataba wa Bandari na DP WORLD akijinasibu kuwa yeye ni Mwanaharakati na mtetezi wa Rasilimali za Tanganyika.
Huwenda kupaa kwa jina la mwambukisi kipindi cha sakata la bandari ndio chachu ya Mwanasheria huyu kujikita zaidi kunako siasa na hata kijitweza ktk kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya Urais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) na kushinda. Hongera kwake

Nikifatilia hotuba pamoja na kauli za kiongozi huyu mpya wa TLS napata wasiwasi kwamba huwenda TLS imebadilisha hadidu za rejea na kuwa ni chama cha siasa tena chenye lengo mama la kuiondosha CCM madarakani kupitia mgongo wa sheria.
Mwambukusi amekuwa akitoa kauli zenye kudhihirisha kejeli kwa serikali na CCM, dharau na hata vitisho kwa watawala na kuonesha kuwa TLS itasimama kidete ikiwezekana kutoa msaada wa kisheria kwa wote wanaohisi kuonewa na watala.
Mwambukusi alifikia hatua ya kutishia kuwa kama Rais wa TLS anaweza kuanzisha mgomo na maandamano endapo Serikali haitatii matakwa ya TLS.

Nadhani TLS ni jumuiya ya mawakili Tanzania na ni kama Jumuiya zingine mfano chama cha walimu Tanzania (CWT) au chama cha madaktari Tanzania (MAT) na wala sio Muhimili wa kuweza kuiwajibisha serikali au kushawishi wananchi kufanya chochote dhidi ya kitu chochote kwasababu TLS ina wajibu kwa mawakili ndani ya jumuiya yao na sio nje ya wanajumuiya wake.
Je mwambukusi anaeipeleka TLS kuwa chama cha Siasa???
actually,
ukimtazama vizuri na hata mienendo yake ni kama anabadilika na ameslow down kwa kiasi kikubwa kumbwekabweka na kubwatukabwatuka, na bilashaka yoyote ile ni dhahiri ameshaingia vizuri sana mwenyewe kwenye mfumo. Mwabukusi amechange mno..

na huenda walau anatamani kuacha historia walau, akumbukwe kwa machache lakini sio kama ilivyokua watangulizi wake Fatma na Lisu ambao walitamani TLS kua chama kikuu cha upinzani dhidi ya serikali na wakashindwa kabisa kuacha alama Njema TLS zaidi ya ubishi na kiburi tu..

Nadhani vielement vya uanaharakati vimepungua na kwakweli hata amepunguza makelele ya siasa tangu awe boss wa TLS 🐒
 
actually,
ukimtazama vizuri na hata mienendo yake ni kama anabadilika na ameslow down kwa kiasi kikubwa kumbwekabweka na kubwatukabwatuka, na bilashaka yoyote ile ni dhahiri ameshaingia vizuri sana mwenyewe kwenye mfumo. Mwabukusi amechange mno..

na huenda walau anatamani kuacha historia walau, akumbukwe kwa machache lakini sio kama ilivyokua watangulizi wake Fatma na Lisu ambao walitamani TLS kua chama kikuu cha upinzani dhidi ya serikali na wakashindwa kabisa kuacha alama Njema TLS zaidi ya ubishi na kiburi tu..

Nadhani vielement vya uanaharakati vimepungua na kwakweli hata amepunguza makelele ya siasa tangu awe boss wa TLS 🐒
List ya watu wasiojulikana itajulikana London hivi punde mmejiandaaje nyie teka teka??
 
List ya watu wasiojulikana itajulikana London hivi punde mmejiandaaje nyie teka teka??
actually chairman na genge lake la kazi, wanaweweseka kumzuia kiongozi mwenzao asiendelee na hiyo kesi na its too late dah..

INASIKITISHA sana, inatia uchungu sana 🐒
 
Na uchaguzi baada ya miaka mitatu,kwa MUDA mfupi section 4 inafanya kazi
 
Lakini Mwabukusi kwa sasa kashaingia kwenye mfumo. Hana harakati za kipumbavu alizokuwa nazo kabla. Akiendelea hivi atakuwa rais bora wa TLS. Cha muhimu ajiandae kutukanwa na nyumbu za ufipa.
 
Back
Top Bottom