TLS ni chama cha wanasheria kweli? TLS Wanajua maana ya siasa za biashara

TLS ni chama cha wanasheria kweli? TLS Wanajua maana ya siasa za biashara

Kama mpaka TLS wanaingia king basi kuna tatizo kubwa la elimu nchi hii

Hivi mimi ninapokupa pesa wewe ndie unanipangia masharti au Mimi ndio inabidi nikupangie masharti

Unataka pesa za mkopo Bank halafu wewe unataka kupanga riba

Nasikia kulikuwa na maandamano ya watu kudai riba za mabenki kushuka
Let's be seriously kidogo Jamani. Kwa hiyo anayekuja kuvuna Rasilimali zako ndio anakupangia Masharti tena!!.
 
Uchambuzi wao kuhusu makubaliano ya serikali ya Tanzania na Emiratrs of Dubai unaleta shaka sana

Vipengele vingi TLs wamechambua kama watu wa sekondari na sio professionals wa business law,Nitaongelea makosa kwenye kila article walizochambua

Article 21 ya IGA na uchambuzi wao TLs naunukuu kwa mujibu wa TLS

",Ikitokea kutokuelewana ni vyema mashauriano yakafanyika kwa sheria za Tanzania na sio sheria za kimataifa kwani kuna mkanganyiko kati ya sheria za Tanzania na zile za kimataifa" .Mwisho wa kuwanukuu TLS.

Hata kwa mtoto wa chekechea ukimuuliza,Mtu kaharibu toy lako utaenda kumsemea kwa baba yake au utamsea kwa baba yako?

Ni muwekezaji gani anaweza kubali mashauriano yafanyike kwenye nchi aliyowekeza?.Hakuna muwekezaji mjinga wa kukubali pesa zake zichukuliwe kirahisi rahisi hasa kwenye nchi za Afrika ambazo majaji na mahakimu wanawaogopa wanasiasa

TLs kitendo cha kushauri kesi zifanyike kwa sheria za Tanzania kwenye mikataba ya kinataifa tuna mashaka na aina ya elimu mnayoipata huko law school,Huwa sishangai darasa zima kufeli huko law school kwa staili hii ya uchambuzi

Ulisikia wapi mtu anakuletea dollar zaidi ya mil 50 akataka kesi zisifuate sheria za kimataifa

Rostam Aziz amewekeza Kenya zaidi ya dollar mil 30 kwenye sekta ya gas na nishati lakini kesi zake na kenya kamwe hazifuati sheria za kenya bali sheria za kimataifa,Kumbuka mahakama za Kenya zina uhuru kidogo kuliko mahakama za Tanzania

TLS watambue kwenye biashara za kimataifa zinatumika sheria za kimataifa ,kulazimisha kutumia sheria local ni kufukuza wawekezaji na hakuna muwekezaji mjinga kiasi hicho

JPM alivyoona mambo magumu na Barrick akasaini sheria za haraka haraka kwa kupitia bunge lake lililokuwa linaapisha watu gereji kuwa wawekezaji wote kesi zifanyike Tanzania,Lakini mpaka anaondoka kesi zote zipo kimataifa na wale wote aliokwapua JPM vitu vyao kinguvu Samia anawalipa kutokana na hukumu za kimataifa

#Kataa TLs ,Kataa vibwetere#

Wachambuzi wengi hawajawahi fanya biashara na wala hawajui maana ya sheria za biashara za kimataifa

Angalia Recommendation ya TLs hiyoView attachment 2674685View attachment 2674686
NImekuja mbio ili nione msomi wa sheria kutoka Ntwara anakavyochambua sheria kuliko hao TLS kumbe ni zaidi ya ujinga tu.
 
Hakuna muwekezaji atakubali mgogoro usifuate sheria za kimataifa

Sheria za kimataifa ndio zinatumika

Wabunge ndio wawakilishi wetu na tuliwapigia kura wameshatuwakilisha na wamekubaliana na vipengele vyote

Bunge ndio taswira ya nchi ,kila mkoa umewakilishwa na tayari tuliowachagua wameshapitisha

Yatupasa kuwapongeza wabunge tuliowachagua sio hao TLS

Acha kuogopa waarabu,Bandari yenyewe ilijengwa na waarabu hiyo
Kwani analazimishwa kuwekeza si akawekeze kwao? Nenda ukawekeze Dubai ama Ulaya kama hutatumia sheria zao! Uwe unafikiria nje ya box mkuu!!
 
Uchambuzi wao kuhusu makubaliano ya serikali ya Tanzania na Emiratrs of Dubai unaleta shaka sana

Vipengele vingi TLs wamechambua kama watu wa sekondari na sio professionals wa business law,Nitaongelea makosa kwenye kila article walizochambua

Article 21 ya IGA na uchambuzi wao TLs naunukuu kwa mujibu wa TLS

",Ikitokea kutokuelewana ni vyema mashauriano yakafanyika kwa sheria za Tanzania na sio sheria za kimataifa kwani kuna mkanganyiko kati ya sheria za Tanzania na zile za kimataifa" .Mwisho wa kuwanukuu TLS.

Hata kwa mtoto wa chekechea ukimuuliza,Mtu kaharibu toy lako utaenda kumsemea kwa baba yake au utamsea kwa baba yako?

Ni muwekezaji gani anaweza kubali mashauriano yafanyike kwenye nchi aliyowekeza?.Hakuna muwekezaji mjinga wa kukubali pesa zake zichukuliwe kirahisi rahisi hasa kwenye nchi za Afrika ambazo majaji na mahakimu wanawaogopa wanasiasa

TLs kitendo cha kushauri kesi zifanyike kwa sheria za Tanzania kwenye mikataba ya kinataifa tuna mashaka na aina ya elimu mnayoipata huko law school,Huwa sishangai darasa zima kufeli huko law school kwa staili hii ya uchambuzi

Ulisikia wapi mtu anakuletea dollar zaidi ya mil 50 akataka kesi zisifuate sheria za kimataifa

Rostam Aziz amewekeza Kenya zaidi ya dollar mil 30 kwenye sekta ya gas na nishati lakini kesi zake na kenya kamwe hazifuati sheria za kenya bali sheria za kimataifa,Kumbuka mahakama za Kenya zina uhuru kidogo kuliko mahakama za Tanzania

TLS watambue kwenye biashara za kimataifa zinatumika sheria za kimataifa ,kulazimisha kutumia sheria local ni kufukuza wawekezaji na hakuna muwekezaji mjinga kiasi hicho

JPM alivyoona mambo magumu na Barrick akasaini sheria za haraka haraka kwa kupitia bunge lake lililokuwa linaapisha watu gereji kuwa wawekezaji wote kesi zifanyike Tanzania,Lakini mpaka anaondoka kesi zote zipo kimataifa na wale wote aliokwapua JPM vitu vyao kinguvu Samia anawalipa kutokana na hukumu za kimataifa

#Kataa TLs ,Kataa vibwetere#

Wachambuzi wengi hawajawahi fanya biashara na wala hawajui maana ya sheria za biashara za kimataifa

Angalia Recommendation ya TLs hiyoView attachment 2674685View attachment 2674686
Wewe ndo umechambua km mtoto wa secondary sio wao.
 
Uchambuzi wao kuhusu makubaliano ya serikali ya Tanzania na Emiratrs of Dubai unaleta shaka sana

Vipengele vingi TLs wamechambua kama watu wa sekondari na sio professionals wa business law,Nitaongelea makosa kwenye kila article walizochambua

Article 21 ya IGA na uchambuzi wao TLs naunukuu kwa mujibu wa TLS

",Ikitokea kutokuelewana ni vyema mashauriano yakafanyika kwa sheria za Tanzania na sio sheria za kimataifa kwani kuna mkanganyiko kati ya sheria za Tanzania na zile za kimataifa" .Mwisho wa kuwanukuu TLS.

Hata kwa mtoto wa chekechea ukimuuliza,Mtu kaharibu toy lako utaenda kumsemea kwa baba yake au utamsea kwa baba yako?

Ni muwekezaji gani anaweza kubali mashauriano yafanyike kwenye nchi aliyowekeza?.Hakuna muwekezaji mjinga wa kukubali pesa zake zichukuliwe kirahisi rahisi hasa kwenye nchi za Afrika ambazo majaji na mahakimu wanawaogopa wanasiasa

TLs kitendo cha kushauri kesi zifanyike kwa sheria za Tanzania kwenye mikataba ya kinataifa tuna mashaka na aina ya elimu mnayoipata huko law school,Huwa sishangai darasa zima kufeli huko law school kwa staili hii ya uchambuzi

Ulisikia wapi mtu anakuletea dollar zaidi ya mil 50 akataka kesi zisifuate sheria za kimataifa

Rostam Aziz amewekeza Kenya zaidi ya dollar mil 30 kwenye sekta ya gas na nishati lakini kesi zake na kenya kamwe hazifuati sheria za kenya bali sheria za kimataifa,Kumbuka mahakama za Kenya zina uhuru kidogo kuliko mahakama za Tanzania

TLS watambue kwenye biashara za kimataifa zinatumika sheria za kimataifa ,kulazimisha kutumia sheria local ni kufukuza wawekezaji na hakuna muwekezaji mjinga kiasi hicho

JPM alivyoona mambo magumu na Barrick akasaini sheria za haraka haraka kwa kupitia bunge lake lililokuwa linaapisha watu gereji kuwa wawekezaji wote kesi zifanyike Tanzania,Lakini mpaka anaondoka kesi zote zipo kimataifa na wale wote aliokwapua JPM vitu vyao kinguvu Samia anawalipa kutokana na hukumu za kimataifa

#Kataa TLs ,Kataa vibwetere#

Wachambuzi wengi hawajawahi fanya biashara na wala hawajui maana ya sheria za biashara za kimataifa

Angalia Recommendation ya TLs hiyoView attachment 2674685View attachment 2674686
Huo ni mtazamo wako. Muhimu hatutaki Bandari yetu kuuzwa
 
Uchambuzi wao kuhusu makubaliano ya serikali ya Tanzania na Emiratrs of Dubai unaleta shaka sana

Vipengele vingi TLs wamechambua kama watu wa sekondari na sio professionals wa business law,Nitaongelea makosa kwenye kila article walizochambua

Article 21 ya IGA na uchambuzi wao TLs naunukuu kwa mujibu wa TLS

",Ikitokea kutokuelewana ni vyema mashauriano yakafanyika kwa sheria za Tanzania na sio sheria za kimataifa kwani kuna mkanganyiko kati ya sheria za Tanzania na zile za kimataifa" .Mwisho wa kuwanukuu TLS.

Hata kwa mtoto wa chekechea ukimuuliza,Mtu kaharibu toy lako utaenda kumsemea kwa baba yake au utamsea kwa baba yako?

Ni muwekezaji gani anaweza kubali mashauriano yafanyike kwenye nchi aliyowekeza?.Hakuna muwekezaji mjinga wa kukubali pesa zake zichukuliwe kirahisi rahisi hasa kwenye nchi za Afrika ambazo majaji na mahakimu wanawaogopa wanasiasa

TLs kitendo cha kushauri kesi zifanyike kwa sheria za Tanzania kwenye mikataba ya kinataifa tuna mashaka na aina ya elimu mnayoipata huko law school,Huwa sishangai darasa zima kufeli huko law school kwa staili hii ya uchambuzi

Ulisikia wapi mtu anakuletea dollar zaidi ya mil 50 akataka kesi zisifuate sheria za kimataifa

Rostam Aziz amewekeza Kenya zaidi ya dollar mil 30 kwenye sekta ya gas na nishati lakini kesi zake na kenya kamwe hazifuati sheria za kenya bali sheria za kimataifa,Kumbuka mahakama za Kenya zina uhuru kidogo kuliko mahakama za Tanzania

TLS watambue kwenye biashara za kimataifa zinatumika sheria za kimataifa ,kulazimisha kutumia sheria local ni kufukuza wawekezaji na hakuna muwekezaji mjinga kiasi hicho

JPM alivyoona mambo magumu na Barrick akasaini sheria za haraka haraka kwa kupitia bunge lake lililokuwa linaapisha watu gereji kuwa wawekezaji wote kesi zifanyike Tanzania,Lakini mpaka anaondoka kesi zote zipo kimataifa na wale wote aliokwapua JPM vitu vyao kinguvu Samia anawalipa kutokana na hukumu za kimataifa

#Kataa TLs ,Kataa vibwetere#

Wachambuzi wengi hawajawahi fanya biashara na wala hawajui maana ya sheria za biashara za kimataifa

Angalia Recommendation ya TLs hiyoView attachment 2674685View attachment 2674686
Wewe kweli hamnazo!!
 
Uchambuzi wao kuhusu makubaliano ya serikali ya Tanzania na Emiratrs of Dubai unaleta shaka sana

Vipengele vingi TLs wamechambua kama watu wa sekondari na sio professionals wa business law,Nitaongelea makosa kwenye kila article walizochambua

Article 21 ya IGA na uchambuzi wao TLs naunukuu kwa mujibu wa TLS

",Ikitokea kutokuelewana ni vyema mashauriano yakafanyika kwa sheria za Tanzania na sio sheria za kimataifa kwani kuna mkanganyiko kati ya sheria za Tanzania na zile za kimataifa" .Mwisho wa kuwanukuu TLS.

Hata kwa mtoto wa chekechea ukimuuliza,Mtu kaharibu toy lako utaenda kumsemea kwa baba yake au utamsea kwa baba yako?

Ni muwekezaji gani anaweza kubali mashauriano yafanyike kwenye nchi aliyowekeza?.Hakuna muwekezaji mjinga wa kukubali pesa zake zichukuliwe kirahisi rahisi hasa kwenye nchi za Afrika ambazo majaji na mahakimu wanawaogopa wanasiasa

TLs kitendo cha kushauri kesi zifanyike kwa sheria za Tanzania kwenye mikataba ya kinataifa tuna mashaka na aina ya elimu mnayoipata huko law school,Huwa sishangai darasa zima kufeli huko law school kwa staili hii ya uchambuzi

Ulisikia wapi mtu anakuletea dollar zaidi ya mil 50 akataka kesi zisifuate sheria za kimataifa

Rostam Aziz amewekeza Kenya zaidi ya dollar mil 30 kwenye sekta ya gas na nishati lakini kesi zake na kenya kamwe hazifuati sheria za kenya bali sheria za kimataifa,Kumbuka mahakama za Kenya zina uhuru kidogo kuliko mahakama za Tanzania

TLS watambue kwenye biashara za kimataifa zinatumika sheria za kimataifa ,kulazimisha kutumia sheria local ni kufukuza wawekezaji na hakuna muwekezaji mjinga kiasi hicho

JPM alivyoona mambo magumu na Barrick akasaini sheria za haraka haraka kwa kupitia bunge lake lililokuwa linaapisha watu gereji kuwa wawekezaji wote kesi zifanyike Tanzania,Lakini mpaka anaondoka kesi zote zipo kimataifa na wale wote aliokwapua JPM vitu vyao kinguvu Samia anawalipa kutokana na hukumu za kimataifa

#Kataa TLs ,Kataa vibwetere#

Wachambuzi wengi hawajawahi fanya biashara na wala hawajui maana ya sheria za biashara za kimataifa

Angalia Recommendation ya TLs hiyoView attachment 2674685View attachment 2674686
Utaambulia matusi Tu humu
 
Let's be seriously kidogo Jamani. Kwa hiyo anayekuja kuvuna Rasilimali zako ndio anakupangia Masharti tena!!.
Yes, hao wajinga ndivyo walivyofanya kwenye ule mkataba wa hovyo wa bandari.

Iko hivi, mbali na kuwajuza waarabu juu ya fursa zote za kiuchumi zitakazojitokeza, mwarabu akitaka eneo lolote kwenye ardhi ya Tanganyika, serikali yetu ndio itahusika kuingia gharama zote, kuwatengenezea mazingira waarabu, ili wao wakija wakute kila kitu kipo tayari.
 
Uchambuzi wao kuhusu makubaliano ya serikali ya Tanzania na Emiratrs of Dubai unaleta shaka sana

Vipengele vingi TLs wamechambua kama watu wa sekondari na sio professionals wa business law,Nitaongelea makosa kwenye kila article walizochambua

Article 21 ya IGA na uchambuzi wao TLs naunukuu kwa mujibu wa TLS

",Ikitokea kutokuelewana ni vyema mashauriano yakafanyika kwa sheria za Tanzania na sio sheria za kimataifa kwani kuna mkanganyiko kati ya sheria za Tanzania na zile za kimataifa" .Mwisho wa kuwanukuu TLS.

Hata kwa mtoto wa chekechea ukimuuliza,Mtu kaharibu toy lako utaenda kumsemea kwa baba yake au utamsea kwa baba yako?

Ni muwekezaji gani anaweza kubali mashauriano yafanyike kwenye nchi aliyowekeza?.Hakuna muwekezaji mjinga wa kukubali pesa zake zichukuliwe kirahisi rahisi hasa kwenye nchi za Afrika ambazo majaji na mahakimu wanawaogopa wanasiasa

TLs kitendo cha kushauri kesi zifanyike kwa sheria za Tanzania kwenye mikataba ya kinataifa tuna mashaka na aina ya elimu mnayoipata huko law school,Huwa sishangai darasa zima kufeli huko law school kwa staili hii ya uchambuzi

Ulisikia wapi mtu anakuletea dollar zaidi ya mil 50 akataka kesi zisifuate sheria za kimataifa

Rostam Aziz amewekeza Kenya zaidi ya dollar mil 30 kwenye sekta ya gas na nishati lakini kesi zake na kenya kamwe hazifuati sheria za kenya bali sheria za kimataifa,Kumbuka mahakama za Kenya zina uhuru kidogo kuliko mahakama za Tanzania

TLS watambue kwenye biashara za kimataifa zinatumika sheria za kimataifa ,kulazimisha kutumia sheria local ni kufukuza wawekezaji na hakuna muwekezaji mjinga kiasi hicho

JPM alivyoona mambo magumu na Barrick akasaini sheria za haraka haraka kwa kupitia bunge lake lililokuwa linaapisha watu gereji kuwa wawekezaji wote kesi zifanyike Tanzania,Lakini mpaka anaondoka kesi zote zipo kimataifa na wale wote aliokwapua JPM vitu vyao kinguvu Samia anawalipa kutokana na hukumu za kimataifa

#Kataa TLs ,Kataa vibwetere#

Wachambuzi wengi hawajawahi fanya biashara na wala hawajui maana ya sheria za biashara za kimataifa

Angalia Recommendation ya TLs hiyoView attachment 2674685View attachment 2674686
Lice at his finest!!
 
Kama mpaka TLS wanaingia king basi kuna tatizo kubwa la elimu nchi hii

Hivi mimi ninapokupa pesa wewe ndie unanipangia masharti au Mimi ndio inabidi nikupangie masharti

Unataka pesa za mkopo Bank halafu wewe unataka kupanga riba

Nasikia kulikuwa na maandamano ya watu kudai riba za mabenki kushuka

..kuna makubaliano kati ya Tanzania na Dubai.

..kwa msingi huo kila upande unatoa mapendekezo / masharti na kama kuna kukubaliana hatua inayofuata ni kutia saini.

..suala hili sio sawa na kwenda kuchukua mkopo benki.

..Dubai wana pesa, Tanzania ina bandari. Kwa msingi huo kila upande lazima utoe masharti yake. Sio sahihi kusema Dubai ndio watupe masharti, na Tanzania tuitikie "amina" kwa kila wanalotaka.
 
Hakuna muwekezaji atakubali mgogoro usifuate sheria za kimataifa

Sheria za kimataifa ndio zinatumika

Wabunge ndio wawakilishi wetu na tuliwapigia kura wameshatuwakilisha na wamekubaliana na vipengele vyote

Bunge ndio taswira ya nchi ,kila mkoa umewakilishwa na tayari tuliowachagua wameshapitisha

Yatupasa kuwapongeza wabunge tuliowachagua sio hao TLS

Acha kuogopa waarabu,Bandari yenyewe ilijengwa na waarabu hiyo
Nimekwishakueleza hapo juu, wewe huna akili za kujadili jambo lolote la maana na mimi, unanipotezea muda wangu.
 
..kuna makubaliano kati ya Tanzania na Dubai.

..kwa msingi huo kila upande unatoa mapendekezo / masharti na kama kuna kukubaliana hatua inayofuata ni kutia saini.

..suala hili sio sawa na kwenda kuchukua mkopo benki.

..Dubai wana pesa, Tanzania ina bandari. Kwa msingi huo kila upande lazima utoe masharti yake. Sio sahihi kusema Dubai ndio watupe masharti, na Tanzania tuitikie "amina" kwa kila wanalotaka.
Nami nilikuwa na mfano mwingine kwa huyo uliyemjibu vizuri.

Anakwenda kupanga nyumba.
Kunakuwepo na makubaliano ya upangaji (mkataba)

Mpangaji analipa kodi ya pango kama mkataba ulivyoelekeza.

Kwa msingi wa aliyoyasema huyo jamaa; kwa vile mpangaji anampa mwenye nyumba pesa ya pango, basi huyo mpangaji ataamua kufanya inavyompendeza yeye bila kujali makubaliano na mwenye nyumba!
Hili lilitokea wapi?

Kwa ujumla, hayo "Makubaliano" kati ya Tanzania na Dubai ni ya kushangaza sana!
 
Uchambuzi wao kuhusu makubaliano ya serikali ya Tanzania na Emiratrs of Dubai unaleta shaka sana

Vipengele vingi TLs wamechambua kama watu wa sekondari na sio professionals wa business law,Nitaongelea makosa kwenye kila article walizochambua

Article 21 ya IGA na uchambuzi wao TLs naunukuu kwa mujibu wa TLS

",Ikitokea kutokuelewana ni vyema mashauriano yakafanyika kwa sheria za Tanzania na sio sheria za kimataifa kwani kuna mkanganyiko kati ya sheria za Tanzania na zile za kimataifa" .Mwisho wa kuwanukuu TLS.

Hata kwa mtoto wa chekechea ukimuuliza,Mtu kaharibu toy lako utaenda kumsemea kwa baba yake au utamsea kwa baba yako?

Ni muwekezaji gani anaweza kubali mashauriano yafanyike kwenye nchi aliyowekeza?.Hakuna muwekezaji mjinga wa kukubali pesa zake zichukuliwe kirahisi rahisi hasa kwenye nchi za Afrika ambazo majaji na mahakimu wanawaogopa wanasiasa

TLs kitendo cha kushauri kesi zifanyike kwa sheria za Tanzania kwenye mikataba ya kinataifa tuna mashaka na aina ya elimu mnayoipata huko law school,Huwa sishangai darasa zima kufeli huko law school kwa staili hii ya uchambuzi

Ulisikia wapi mtu anakuletea dollar zaidi ya mil 50 akataka kesi zisifuate sheria za kimataifa

Rostam Aziz amewekeza Kenya zaidi ya dollar mil 30 kwenye sekta ya gas na nishati lakini kesi zake na kenya kamwe hazifuati sheria za kenya bali sheria za kimataifa,Kumbuka mahakama za Kenya zina uhuru kidogo kuliko mahakama za Tanzania

TLS watambue kwenye biashara za kimataifa zinatumika sheria za kimataifa ,kulazimisha kutumia sheria local ni kufukuza wawekezaji na hakuna muwekezaji mjinga kiasi hicho

JPM alivyoona mambo magumu na Barrick akasaini sheria za haraka haraka kwa kupitia bunge lake lililokuwa linaapisha watu gereji kuwa wawekezaji wote kesi zifanyike Tanzania,Lakini mpaka anaondoka kesi zote zipo kimataifa na wale wote aliokwapua JPM vitu vyao kinguvu Samia anawalipa kutokana na hukumu za kimataifa

#Kataa TLs ,Kataa vibwetere#

Wachambuzi wengi hawajawahi fanya biashara na wala hawajui maana ya sheria za biashara za kimataifa

Angalia Recommendation ya TLs hiyoView attachment 2674685View attachment 2674686
Umekula ugali dagaa?
 
Back
Top Bottom