Let's be seriously kidogo Jamani. Kwa hiyo anayekuja kuvuna Rasilimali zako ndio anakupangia Masharti tena!!.Kama mpaka TLS wanaingia king basi kuna tatizo kubwa la elimu nchi hii
Hivi mimi ninapokupa pesa wewe ndie unanipangia masharti au Mimi ndio inabidi nikupangie masharti
Unataka pesa za mkopo Bank halafu wewe unataka kupanga riba
Nasikia kulikuwa na maandamano ya watu kudai riba za mabenki kushuka
NImekuja mbio ili nione msomi wa sheria kutoka Ntwara anakavyochambua sheria kuliko hao TLS kumbe ni zaidi ya ujinga tu.Uchambuzi wao kuhusu makubaliano ya serikali ya Tanzania na Emiratrs of Dubai unaleta shaka sana
Vipengele vingi TLs wamechambua kama watu wa sekondari na sio professionals wa business law,Nitaongelea makosa kwenye kila article walizochambua
Article 21 ya IGA na uchambuzi wao TLs naunukuu kwa mujibu wa TLS
",Ikitokea kutokuelewana ni vyema mashauriano yakafanyika kwa sheria za Tanzania na sio sheria za kimataifa kwani kuna mkanganyiko kati ya sheria za Tanzania na zile za kimataifa" .Mwisho wa kuwanukuu TLS.
Hata kwa mtoto wa chekechea ukimuuliza,Mtu kaharibu toy lako utaenda kumsemea kwa baba yake au utamsea kwa baba yako?
Ni muwekezaji gani anaweza kubali mashauriano yafanyike kwenye nchi aliyowekeza?.Hakuna muwekezaji mjinga wa kukubali pesa zake zichukuliwe kirahisi rahisi hasa kwenye nchi za Afrika ambazo majaji na mahakimu wanawaogopa wanasiasa
TLs kitendo cha kushauri kesi zifanyike kwa sheria za Tanzania kwenye mikataba ya kinataifa tuna mashaka na aina ya elimu mnayoipata huko law school,Huwa sishangai darasa zima kufeli huko law school kwa staili hii ya uchambuzi
Ulisikia wapi mtu anakuletea dollar zaidi ya mil 50 akataka kesi zisifuate sheria za kimataifa
Rostam Aziz amewekeza Kenya zaidi ya dollar mil 30 kwenye sekta ya gas na nishati lakini kesi zake na kenya kamwe hazifuati sheria za kenya bali sheria za kimataifa,Kumbuka mahakama za Kenya zina uhuru kidogo kuliko mahakama za Tanzania
TLS watambue kwenye biashara za kimataifa zinatumika sheria za kimataifa ,kulazimisha kutumia sheria local ni kufukuza wawekezaji na hakuna muwekezaji mjinga kiasi hicho
JPM alivyoona mambo magumu na Barrick akasaini sheria za haraka haraka kwa kupitia bunge lake lililokuwa linaapisha watu gereji kuwa wawekezaji wote kesi zifanyike Tanzania,Lakini mpaka anaondoka kesi zote zipo kimataifa na wale wote aliokwapua JPM vitu vyao kinguvu Samia anawalipa kutokana na hukumu za kimataifa
#Kataa TLs ,Kataa vibwetere#
Wachambuzi wengi hawajawahi fanya biashara na wala hawajui maana ya sheria za biashara za kimataifa
Angalia Recommendation ya TLs hiyoView attachment 2674685View attachment 2674686
Kwani analazimishwa kuwekeza si akawekeze kwao? Nenda ukawekeze Dubai ama Ulaya kama hutatumia sheria zao! Uwe unafikiria nje ya box mkuu!!Hakuna muwekezaji atakubali mgogoro usifuate sheria za kimataifa
Sheria za kimataifa ndio zinatumika
Wabunge ndio wawakilishi wetu na tuliwapigia kura wameshatuwakilisha na wamekubaliana na vipengele vyote
Bunge ndio taswira ya nchi ,kila mkoa umewakilishwa na tayari tuliowachagua wameshapitisha
Yatupasa kuwapongeza wabunge tuliowachagua sio hao TLS
Acha kuogopa waarabu,Bandari yenyewe ilijengwa na waarabu hiyo
Wewe ndo umechambua km mtoto wa secondary sio wao.Uchambuzi wao kuhusu makubaliano ya serikali ya Tanzania na Emiratrs of Dubai unaleta shaka sana
Vipengele vingi TLs wamechambua kama watu wa sekondari na sio professionals wa business law,Nitaongelea makosa kwenye kila article walizochambua
Article 21 ya IGA na uchambuzi wao TLs naunukuu kwa mujibu wa TLS
",Ikitokea kutokuelewana ni vyema mashauriano yakafanyika kwa sheria za Tanzania na sio sheria za kimataifa kwani kuna mkanganyiko kati ya sheria za Tanzania na zile za kimataifa" .Mwisho wa kuwanukuu TLS.
Hata kwa mtoto wa chekechea ukimuuliza,Mtu kaharibu toy lako utaenda kumsemea kwa baba yake au utamsea kwa baba yako?
Ni muwekezaji gani anaweza kubali mashauriano yafanyike kwenye nchi aliyowekeza?.Hakuna muwekezaji mjinga wa kukubali pesa zake zichukuliwe kirahisi rahisi hasa kwenye nchi za Afrika ambazo majaji na mahakimu wanawaogopa wanasiasa
TLs kitendo cha kushauri kesi zifanyike kwa sheria za Tanzania kwenye mikataba ya kinataifa tuna mashaka na aina ya elimu mnayoipata huko law school,Huwa sishangai darasa zima kufeli huko law school kwa staili hii ya uchambuzi
Ulisikia wapi mtu anakuletea dollar zaidi ya mil 50 akataka kesi zisifuate sheria za kimataifa
Rostam Aziz amewekeza Kenya zaidi ya dollar mil 30 kwenye sekta ya gas na nishati lakini kesi zake na kenya kamwe hazifuati sheria za kenya bali sheria za kimataifa,Kumbuka mahakama za Kenya zina uhuru kidogo kuliko mahakama za Tanzania
TLS watambue kwenye biashara za kimataifa zinatumika sheria za kimataifa ,kulazimisha kutumia sheria local ni kufukuza wawekezaji na hakuna muwekezaji mjinga kiasi hicho
JPM alivyoona mambo magumu na Barrick akasaini sheria za haraka haraka kwa kupitia bunge lake lililokuwa linaapisha watu gereji kuwa wawekezaji wote kesi zifanyike Tanzania,Lakini mpaka anaondoka kesi zote zipo kimataifa na wale wote aliokwapua JPM vitu vyao kinguvu Samia anawalipa kutokana na hukumu za kimataifa
#Kataa TLs ,Kataa vibwetere#
Wachambuzi wengi hawajawahi fanya biashara na wala hawajui maana ya sheria za biashara za kimataifa
Angalia Recommendation ya TLs hiyoView attachment 2674685View attachment 2674686
Huo ni mtazamo wako. Muhimu hatutaki Bandari yetu kuuzwaUchambuzi wao kuhusu makubaliano ya serikali ya Tanzania na Emiratrs of Dubai unaleta shaka sana
Vipengele vingi TLs wamechambua kama watu wa sekondari na sio professionals wa business law,Nitaongelea makosa kwenye kila article walizochambua
Article 21 ya IGA na uchambuzi wao TLs naunukuu kwa mujibu wa TLS
",Ikitokea kutokuelewana ni vyema mashauriano yakafanyika kwa sheria za Tanzania na sio sheria za kimataifa kwani kuna mkanganyiko kati ya sheria za Tanzania na zile za kimataifa" .Mwisho wa kuwanukuu TLS.
Hata kwa mtoto wa chekechea ukimuuliza,Mtu kaharibu toy lako utaenda kumsemea kwa baba yake au utamsea kwa baba yako?
Ni muwekezaji gani anaweza kubali mashauriano yafanyike kwenye nchi aliyowekeza?.Hakuna muwekezaji mjinga wa kukubali pesa zake zichukuliwe kirahisi rahisi hasa kwenye nchi za Afrika ambazo majaji na mahakimu wanawaogopa wanasiasa
TLs kitendo cha kushauri kesi zifanyike kwa sheria za Tanzania kwenye mikataba ya kinataifa tuna mashaka na aina ya elimu mnayoipata huko law school,Huwa sishangai darasa zima kufeli huko law school kwa staili hii ya uchambuzi
Ulisikia wapi mtu anakuletea dollar zaidi ya mil 50 akataka kesi zisifuate sheria za kimataifa
Rostam Aziz amewekeza Kenya zaidi ya dollar mil 30 kwenye sekta ya gas na nishati lakini kesi zake na kenya kamwe hazifuati sheria za kenya bali sheria za kimataifa,Kumbuka mahakama za Kenya zina uhuru kidogo kuliko mahakama za Tanzania
TLS watambue kwenye biashara za kimataifa zinatumika sheria za kimataifa ,kulazimisha kutumia sheria local ni kufukuza wawekezaji na hakuna muwekezaji mjinga kiasi hicho
JPM alivyoona mambo magumu na Barrick akasaini sheria za haraka haraka kwa kupitia bunge lake lililokuwa linaapisha watu gereji kuwa wawekezaji wote kesi zifanyike Tanzania,Lakini mpaka anaondoka kesi zote zipo kimataifa na wale wote aliokwapua JPM vitu vyao kinguvu Samia anawalipa kutokana na hukumu za kimataifa
#Kataa TLs ,Kataa vibwetere#
Wachambuzi wengi hawajawahi fanya biashara na wala hawajui maana ya sheria za biashara za kimataifa
Angalia Recommendation ya TLs hiyoView attachment 2674685View attachment 2674686
Wewe kweli hamnazo!!Uchambuzi wao kuhusu makubaliano ya serikali ya Tanzania na Emiratrs of Dubai unaleta shaka sana
Vipengele vingi TLs wamechambua kama watu wa sekondari na sio professionals wa business law,Nitaongelea makosa kwenye kila article walizochambua
Article 21 ya IGA na uchambuzi wao TLs naunukuu kwa mujibu wa TLS
",Ikitokea kutokuelewana ni vyema mashauriano yakafanyika kwa sheria za Tanzania na sio sheria za kimataifa kwani kuna mkanganyiko kati ya sheria za Tanzania na zile za kimataifa" .Mwisho wa kuwanukuu TLS.
Hata kwa mtoto wa chekechea ukimuuliza,Mtu kaharibu toy lako utaenda kumsemea kwa baba yake au utamsea kwa baba yako?
Ni muwekezaji gani anaweza kubali mashauriano yafanyike kwenye nchi aliyowekeza?.Hakuna muwekezaji mjinga wa kukubali pesa zake zichukuliwe kirahisi rahisi hasa kwenye nchi za Afrika ambazo majaji na mahakimu wanawaogopa wanasiasa
TLs kitendo cha kushauri kesi zifanyike kwa sheria za Tanzania kwenye mikataba ya kinataifa tuna mashaka na aina ya elimu mnayoipata huko law school,Huwa sishangai darasa zima kufeli huko law school kwa staili hii ya uchambuzi
Ulisikia wapi mtu anakuletea dollar zaidi ya mil 50 akataka kesi zisifuate sheria za kimataifa
Rostam Aziz amewekeza Kenya zaidi ya dollar mil 30 kwenye sekta ya gas na nishati lakini kesi zake na kenya kamwe hazifuati sheria za kenya bali sheria za kimataifa,Kumbuka mahakama za Kenya zina uhuru kidogo kuliko mahakama za Tanzania
TLS watambue kwenye biashara za kimataifa zinatumika sheria za kimataifa ,kulazimisha kutumia sheria local ni kufukuza wawekezaji na hakuna muwekezaji mjinga kiasi hicho
JPM alivyoona mambo magumu na Barrick akasaini sheria za haraka haraka kwa kupitia bunge lake lililokuwa linaapisha watu gereji kuwa wawekezaji wote kesi zifanyike Tanzania,Lakini mpaka anaondoka kesi zote zipo kimataifa na wale wote aliokwapua JPM vitu vyao kinguvu Samia anawalipa kutokana na hukumu za kimataifa
#Kataa TLs ,Kataa vibwetere#
Wachambuzi wengi hawajawahi fanya biashara na wala hawajui maana ya sheria za biashara za kimataifa
Angalia Recommendation ya TLs hiyoView attachment 2674685View attachment 2674686
Utaambulia matusi Tu humuUchambuzi wao kuhusu makubaliano ya serikali ya Tanzania na Emiratrs of Dubai unaleta shaka sana
Vipengele vingi TLs wamechambua kama watu wa sekondari na sio professionals wa business law,Nitaongelea makosa kwenye kila article walizochambua
Article 21 ya IGA na uchambuzi wao TLs naunukuu kwa mujibu wa TLS
",Ikitokea kutokuelewana ni vyema mashauriano yakafanyika kwa sheria za Tanzania na sio sheria za kimataifa kwani kuna mkanganyiko kati ya sheria za Tanzania na zile za kimataifa" .Mwisho wa kuwanukuu TLS.
Hata kwa mtoto wa chekechea ukimuuliza,Mtu kaharibu toy lako utaenda kumsemea kwa baba yake au utamsea kwa baba yako?
Ni muwekezaji gani anaweza kubali mashauriano yafanyike kwenye nchi aliyowekeza?.Hakuna muwekezaji mjinga wa kukubali pesa zake zichukuliwe kirahisi rahisi hasa kwenye nchi za Afrika ambazo majaji na mahakimu wanawaogopa wanasiasa
TLs kitendo cha kushauri kesi zifanyike kwa sheria za Tanzania kwenye mikataba ya kinataifa tuna mashaka na aina ya elimu mnayoipata huko law school,Huwa sishangai darasa zima kufeli huko law school kwa staili hii ya uchambuzi
Ulisikia wapi mtu anakuletea dollar zaidi ya mil 50 akataka kesi zisifuate sheria za kimataifa
Rostam Aziz amewekeza Kenya zaidi ya dollar mil 30 kwenye sekta ya gas na nishati lakini kesi zake na kenya kamwe hazifuati sheria za kenya bali sheria za kimataifa,Kumbuka mahakama za Kenya zina uhuru kidogo kuliko mahakama za Tanzania
TLS watambue kwenye biashara za kimataifa zinatumika sheria za kimataifa ,kulazimisha kutumia sheria local ni kufukuza wawekezaji na hakuna muwekezaji mjinga kiasi hicho
JPM alivyoona mambo magumu na Barrick akasaini sheria za haraka haraka kwa kupitia bunge lake lililokuwa linaapisha watu gereji kuwa wawekezaji wote kesi zifanyike Tanzania,Lakini mpaka anaondoka kesi zote zipo kimataifa na wale wote aliokwapua JPM vitu vyao kinguvu Samia anawalipa kutokana na hukumu za kimataifa
#Kataa TLs ,Kataa vibwetere#
Wachambuzi wengi hawajawahi fanya biashara na wala hawajui maana ya sheria za biashara za kimataifa
Angalia Recommendation ya TLs hiyoView attachment 2674685View attachment 2674686
Yes, hao wajinga ndivyo walivyofanya kwenye ule mkataba wa hovyo wa bandari.Let's be seriously kidogo Jamani. Kwa hiyo anayekuja kuvuna Rasilimali zako ndio anakupangia Masharti tena!!.
Lice at his finest!!Uchambuzi wao kuhusu makubaliano ya serikali ya Tanzania na Emiratrs of Dubai unaleta shaka sana
Vipengele vingi TLs wamechambua kama watu wa sekondari na sio professionals wa business law,Nitaongelea makosa kwenye kila article walizochambua
Article 21 ya IGA na uchambuzi wao TLs naunukuu kwa mujibu wa TLS
",Ikitokea kutokuelewana ni vyema mashauriano yakafanyika kwa sheria za Tanzania na sio sheria za kimataifa kwani kuna mkanganyiko kati ya sheria za Tanzania na zile za kimataifa" .Mwisho wa kuwanukuu TLS.
Hata kwa mtoto wa chekechea ukimuuliza,Mtu kaharibu toy lako utaenda kumsemea kwa baba yake au utamsea kwa baba yako?
Ni muwekezaji gani anaweza kubali mashauriano yafanyike kwenye nchi aliyowekeza?.Hakuna muwekezaji mjinga wa kukubali pesa zake zichukuliwe kirahisi rahisi hasa kwenye nchi za Afrika ambazo majaji na mahakimu wanawaogopa wanasiasa
TLs kitendo cha kushauri kesi zifanyike kwa sheria za Tanzania kwenye mikataba ya kinataifa tuna mashaka na aina ya elimu mnayoipata huko law school,Huwa sishangai darasa zima kufeli huko law school kwa staili hii ya uchambuzi
Ulisikia wapi mtu anakuletea dollar zaidi ya mil 50 akataka kesi zisifuate sheria za kimataifa
Rostam Aziz amewekeza Kenya zaidi ya dollar mil 30 kwenye sekta ya gas na nishati lakini kesi zake na kenya kamwe hazifuati sheria za kenya bali sheria za kimataifa,Kumbuka mahakama za Kenya zina uhuru kidogo kuliko mahakama za Tanzania
TLS watambue kwenye biashara za kimataifa zinatumika sheria za kimataifa ,kulazimisha kutumia sheria local ni kufukuza wawekezaji na hakuna muwekezaji mjinga kiasi hicho
JPM alivyoona mambo magumu na Barrick akasaini sheria za haraka haraka kwa kupitia bunge lake lililokuwa linaapisha watu gereji kuwa wawekezaji wote kesi zifanyike Tanzania,Lakini mpaka anaondoka kesi zote zipo kimataifa na wale wote aliokwapua JPM vitu vyao kinguvu Samia anawalipa kutokana na hukumu za kimataifa
#Kataa TLs ,Kataa vibwetere#
Wachambuzi wengi hawajawahi fanya biashara na wala hawajui maana ya sheria za biashara za kimataifa
Angalia Recommendation ya TLs hiyoView attachment 2674685View attachment 2674686
Lice at his finest!!Utaambulia matusi Tu humu
Kama mpaka TLS wanaingia king basi kuna tatizo kubwa la elimu nchi hii
Hivi mimi ninapokupa pesa wewe ndie unanipangia masharti au Mimi ndio inabidi nikupangie masharti
Unataka pesa za mkopo Bank halafu wewe unataka kupanga riba
Nasikia kulikuwa na maandamano ya watu kudai riba za mabenki kushuka
Nimekwishakueleza hapo juu, wewe huna akili za kujadili jambo lolote la maana na mimi, unanipotezea muda wangu.Hakuna muwekezaji atakubali mgogoro usifuate sheria za kimataifa
Sheria za kimataifa ndio zinatumika
Wabunge ndio wawakilishi wetu na tuliwapigia kura wameshatuwakilisha na wamekubaliana na vipengele vyote
Bunge ndio taswira ya nchi ,kila mkoa umewakilishwa na tayari tuliowachagua wameshapitisha
Yatupasa kuwapongeza wabunge tuliowachagua sio hao TLS
Acha kuogopa waarabu,Bandari yenyewe ilijengwa na waarabu hiyo
Nami nilikuwa na mfano mwingine kwa huyo uliyemjibu vizuri...kuna makubaliano kati ya Tanzania na Dubai.
..kwa msingi huo kila upande unatoa mapendekezo / masharti na kama kuna kukubaliana hatua inayofuata ni kutia saini.
..suala hili sio sawa na kwenda kuchukua mkopo benki.
..Dubai wana pesa, Tanzania ina bandari. Kwa msingi huo kila upande lazima utoe masharti yake. Sio sahihi kusema Dubai ndio watupe masharti, na Tanzania tuitikie "amina" kwa kila wanalotaka.
Chawa kwenye ubora wake.Lice at his finest!!
Umekula ugali dagaa?Uchambuzi wao kuhusu makubaliano ya serikali ya Tanzania na Emiratrs of Dubai unaleta shaka sana
Vipengele vingi TLs wamechambua kama watu wa sekondari na sio professionals wa business law,Nitaongelea makosa kwenye kila article walizochambua
Article 21 ya IGA na uchambuzi wao TLs naunukuu kwa mujibu wa TLS
",Ikitokea kutokuelewana ni vyema mashauriano yakafanyika kwa sheria za Tanzania na sio sheria za kimataifa kwani kuna mkanganyiko kati ya sheria za Tanzania na zile za kimataifa" .Mwisho wa kuwanukuu TLS.
Hata kwa mtoto wa chekechea ukimuuliza,Mtu kaharibu toy lako utaenda kumsemea kwa baba yake au utamsea kwa baba yako?
Ni muwekezaji gani anaweza kubali mashauriano yafanyike kwenye nchi aliyowekeza?.Hakuna muwekezaji mjinga wa kukubali pesa zake zichukuliwe kirahisi rahisi hasa kwenye nchi za Afrika ambazo majaji na mahakimu wanawaogopa wanasiasa
TLs kitendo cha kushauri kesi zifanyike kwa sheria za Tanzania kwenye mikataba ya kinataifa tuna mashaka na aina ya elimu mnayoipata huko law school,Huwa sishangai darasa zima kufeli huko law school kwa staili hii ya uchambuzi
Ulisikia wapi mtu anakuletea dollar zaidi ya mil 50 akataka kesi zisifuate sheria za kimataifa
Rostam Aziz amewekeza Kenya zaidi ya dollar mil 30 kwenye sekta ya gas na nishati lakini kesi zake na kenya kamwe hazifuati sheria za kenya bali sheria za kimataifa,Kumbuka mahakama za Kenya zina uhuru kidogo kuliko mahakama za Tanzania
TLS watambue kwenye biashara za kimataifa zinatumika sheria za kimataifa ,kulazimisha kutumia sheria local ni kufukuza wawekezaji na hakuna muwekezaji mjinga kiasi hicho
JPM alivyoona mambo magumu na Barrick akasaini sheria za haraka haraka kwa kupitia bunge lake lililokuwa linaapisha watu gereji kuwa wawekezaji wote kesi zifanyike Tanzania,Lakini mpaka anaondoka kesi zote zipo kimataifa na wale wote aliokwapua JPM vitu vyao kinguvu Samia anawalipa kutokana na hukumu za kimataifa
#Kataa TLs ,Kataa vibwetere#
Wachambuzi wengi hawajawahi fanya biashara na wala hawajui maana ya sheria za biashara za kimataifa
Angalia Recommendation ya TLs hiyoView attachment 2674685View attachment 2674686
MmmmhNimekwishakueleza hapo juu, wewe huna akili za kujadili jambo lolote la maana na mimi, unanipotezea muda wangu.