TLS on intergovernmental agreement between the Government of Tanzania and Emirate of Dubai

TLS on intergovernmental agreement between the Government of Tanzania and Emirate of Dubai

TLS imefanya kazi nzuri sana. Kama hawataelewa hata uchambuzi huu, basi hawa itakuwa hawakuusaini na kuupitisha huu uchafu kwa bahati mbaya au kwa kukosa maarifa, bali walinuia kuliangamiza Taifa.

Na hapo itabidi tuchukue hatua dhidi ya hao waovu wanaotaka kuliangamiza Taifa.

Kama mwanasheria mkuu alishiriki kwenye mkataba huu, baada ya uchambuzi huu, ajiuzulu mara moja au afukuzwe haraka kwa namna yoyote inayotatikana.

Wale vidomodomo wasiojua chochote waje sasa, tuwasikie. Sijui kwa nini mara zote watu ambao huwa wanaipongeza na kuitetea serikali hata kwenye uovu, huwa ni wale ambao wana upeo na akili ndogo!!
Kwa hili andiko la TLS ninaamini kabisa tungekuwa na serious organ kama bunge saa hizi Samia yupo Segerea ama yupo Makunduchi...sijui imekuwaje huyu bibi kasaini huu mkataba tena mwaka jana halafu anauleta bungeni kama sio uhaini nini? halafu kibaya zaidi wabunge wa Magufuli wamemsaliti mtu ambaye kawaingiza bungeni kinguvu. Huu mkataba ni wa kijinga sana na hawa Waarabu wanaweza kudai kupewa hata Tazara na Buguruni iwe sehemu yao ya kuweka makontena.
 
Excellent work of our TLS. We are waiting for legal professional response from the office of our AG on the above issues raised by TLS. Politics and politicians should stay away from this legal professional debate.
CC MSUKUMA, BABU TALE AND KIBAJAJI.
 
Umesahau wao ni wanasheria wasomi!
Hiyo huenda ndo inawatofautisha na wasio wasomi [emoji23]
"Wasomi" wasiojua lugha ya taifa lao. Ya wananchi wao?

Huu usomi maana yake ni nini?

Katika hali ya kawaida hawa ndio wangekuwa mstari wa mbele kuonyesha usomi wao kwa kuwafikishia taarifa zao wananchi katika lugha inayoeleweka na wananchi hao.

Hii haina maana wasitumie hiyo lugha ya kigeni kuendeshea shughuli zao, kama hivyo ndivyo wanaona inafaa.
 
Hao TLS wanatakiwa kuungana na wanasheria na mawakili wengine kufungua kesi mahakamani kuupinga ule mkataba.

Naamini sasa ni wakati wa vitendo, maneno yametosha, hakuna yeyote anayejielewa mwenye kuitambua thamani ya Tanganyika na rasilimali zake, ambaye haoni ubovu wa ule mkataba.

Umefika wakati haki ya mtanganyika na mali zake ikatafutwe mahakamani.
 
Mpaka Kieleweke


Mungu Ibariki Tanzania Mungu Ibariki Afrika
 
Duuuh ningekuwa na uwezo ningeita press kuelezea maumivu ninayoyapata kutokana na maamuzi yanayofanywa na viongozi ,,itoshe tu kusema moyoni nimejawa na chuki na kila aina ya matusi nayazuia yasinitoke kwenye kinywa changu
Mungu Baba tunaomba ulilinde Taifa hili zidi ya hao viongozi wanaofanya maamuzi hatarishi kwa uhai na uhuru wa Watanzania
 
Duuuh ningekuwa na uwezo ningeita press kuelezea maumivu ninayoyapata kutokana na maamuzi yanayofanywa na viongozi ,,itoshe tu kusema moyoni nimejawa na chuki na kila aina ya matusi nayazuia yasinitoke kwenye kinywa changu
Mungu Baba tunaomba ulilinde Taifa hili zidi ya hao viongozi wanaofanya maamuzi hatarishi kwa uhai na uhuru wa Watanzania
Uhuru wa kutoa maoni ya kila mtanzania, ni haki inayotambulika kisheria, ipo kwenye katiba ya JMT 1977.
 
Inashangaza kweli kwa watu kama hawa kutojua umuhimu wa kuwasilisha jambo hili kwa wananchi katika njia rahisi na inayoeleweka.

Hawa watu wanaishi dunia gani hawa, hata wasione umuhimu wa kufanya hivyo?

Kutafsiri taarifa hii inaugumu gani?
Mimi nitaweka uchambuzi wa kiswahili
 
TLS kazi nzuri!Najua Leo angekuwa Rev Mtikila ameshafika mahakamani zamani matamko ni sehemu tu twendeni mahakamani,hivi hatuoni aibu kumkumbuka Mtikila?
 
Inashangaza kweli kwa watu kama hawa kutojua umuhimu wa kuwasilisha jambo hili kwa wananchi katika njia rahisi na inayoeleweka.

Hawa watu wanaishi dunia gani hawa, hata wasione umuhimu wa kufanya hivyo?

Kutafsiri taarifa hii inaugumu gani?
Arrogance- wajivuni wa sheria katika ubora wao
 
Back
Top Bottom