TANZIA TLS wamlilia Wakili Ojare


Una maanisha kupotelea kwa mzee baba kwenye lockdown kunaweza kuwa ni mwendelezo wa side effects za chanjo hizi?

Wengine tulidhani ni actual effects za kukosa chanjo?

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Kwani umekwenda kwake ukamkosa!? Au wwe unasubiri hadi umuone kwa Mitandao!?

Kwake ipi ulipokwenda ukamkuta? Chattle, magomeni na chamwino kote kweupe.

Tumekuwa wa kutumiwa salamu akiwa kusikojulikana.

Vipi wewe hajakupa salamu zetu?
 
Ni mwendo wa barakoa tu
 
Kwake ipi ulipokwenda ukamkuta? Chattle, magomeni na chamwino kote kweupe.

Tumekuwa wa kutumiwa salamu akiwa kusikojulikana.

Vipi wewe hajakupa salamu zetu?
Magufuli anawapenda wa Tanzania wote,na anawasalimia sana!!
 
Magufuli anawapenda wa Tanzania wote,na anawasalimia sana!!

Kwenye mapenzi moto moto haya na kina Ben wamo? Kina Azory nao je? Je na sisi anaotukwaza kila siku kwa kutunyima chanjo ya gonjwa baya hili nasi tumo?

Yameanza lini mapenzi niuwe haya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…