TANZIA TLS wamlilia Wakili Ojare

TANZIA TLS wamlilia Wakili Ojare

UK Government Report.

Pfizer vaccine adverse reactions


Execution date: March 4, 2021


* Blood disorders: 2,033

* Cardiac disorders: 1,032

* Congenital disorders: 3

* Hearing disorders: 713

* Endocrine disorders: 10

* Eye disorders: 1,242 (12 blinds)

* Gastrointestinal disorders: 9,360

* General disorders: 26,391

* Liver disorders: 17

* Immune system disorders: 466

* Infections: 1,863

* Injuries: 393

* Continued Investigations: 965

* Metabolic disorders: 525

* Muscle-tissue disorders: 11,565

* Neoplasms: 20

* Nervous System Disorders: 16,107

* Associated with pregnancy: 29

* Psychiatric disorders: 1,235

* Renal / urinary disorder: 187

* Syst. Reproductive: 338

* Respiratory disorders: 3,575

* Skin disorder: 6,042

* Vascular disorders: 992

* Dead: 212

* Medical and Surgical Procedures: 45

* Coronavirus (COVID-19) vaccine adverse reactions

🚩What's disturbing is this is a weekly report😳

Una maanisha kupotelea kwa mzee baba kwenye lockdown kunaweza kuwa ni mwendelezo wa side effects za chanjo hizi?

Wengine tulidhani ni actual effects za kukosa chanjo?

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Kwani umekwenda kwake ukamkosa!? Au wwe unasubiri hadi umuone kwa Mitandao!?

Kwake ipi ulipokwenda ukamkuta? Chattle, magomeni na chamwino kote kweupe.

Tumekuwa wa kutumiwa salamu akiwa kusikojulikana.

Vipi wewe hajakupa salamu zetu?
 
Chama cha mawakili Tanganyika (TLS) kimepata pigo baada ya aliyekuwa mwanachama cha Chama hicho wakili Loomu Ojare kufariki dunia ghafla akiwa kazini.

Ojare alifariki dunia na kuzikwa nyumbanj kwake mapema skku kadhaa zilizopita baada ya kuugua ghafla akiwa kazini na hivyo kuacha pengo kubwa katika tasnia ya sheria.

Mwenyekiti wa chama cha mawakili wa kujitegemea Kanda ya Arusha Elibariki Maeda akiiwakilisha TLS katika ibada ya kumuaga Ojare alisema kifo cha Ojare ni pigo kwa Chama na wanachama wa chama hicho kwa kuwa alikuwa akishirikiana vizuri na mawakili wenzake

Ojare alizaliwa mwaka 1953 na alifanya kazi kama mwanasheria wa serikali katika maeneo mbalimbali ambapo mwaka 1983 alianza kufanya kazi kama wakili wa kujitegemea hadi umauti unamkuta.

View attachment 1726968
Ni mwendo wa barakoa tu
 
Kwake ipi ulipokwenda ukamkuta? Chattle, magomeni na chamwino kote kweupe.

Tumekuwa wa kutumiwa salamu akiwa kusikojulikana.

Vipi wewe hajakupa salamu zetu?
Magufuli anawapenda wa Tanzania wote,na anawasalimia sana!!
 
Magufuli anawapenda wa Tanzania wote,na anawasalimia sana!!

Kwenye mapenzi moto moto haya na kina Ben wamo? Kina Azory nao je? Je na sisi anaotukwaza kila siku kwa kutunyima chanjo ya gonjwa baya hili nasi tumo?

Yameanza lini mapenzi niuwe haya?
 
Back
Top Bottom