Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
mshapoteza jipangeni tena taifa hili siyo la wajinga kama chadema wanaodandia mambo ambayo haya hayana maana wala faida kwa jamii.
Jopo ni lile lile.Hoja ni zile zile.Zimebadilika pande tu.Ametoka Saed Kubenea na kuingia Tanganyika Law Society. Kuna haja ya TLS kuendelea na shauri lao huku kukiwa na uamuzi wa Mahakama hiyo hiyo na jopo hilo hilo juu ya Bunge Maalum la Katiba? Binafsi,sioni haja ya kuendelea na shauri wakati tayari suala la katiba limeshatamkwa kuwa ni suala la kisiasa.
watapoteza tena hata kama wakienda ICC nako mtagongwa tu hata kama mkifanya vipi mtaendele kuaibika.
Unamwambia nani Mkuu?
Umepata kifungua kinywa Mkuu?