Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakiwasha ๐ฅNa nimeshika panga au rungu.. very serious ๐๐๐
Kuna watu wanaishi huko ? Ndio nasikia leoNawaonea huruma sana wakazi wa kule Dar es Salaam sehemu inaitwa Saku Mwisho. Niliwahi kupita huko, kwa kipindi cha mvua ni hatari sana.
Ndio umewastua na hii thread.Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) hawakutupatia taadhari juu ya mvua zilizopiga jana usiku mikoa ya pwani.
Kuna watu zinaweza kua zimewaharibia mali au makazi yao. Kwanini hawakutoa taarifa za awali tuchukue taadhari. Au tuseme rada zao hazikuona?
Mvua zimekuja ghafla from nowhere hadi barabara zinafungwa.
Hawakuwapatia wewe na nani. Tatizo la kutegemea TV za vibanda umizaTMA hawakutupatia taadhari juu ya mvua zilizopiga jana usiku mikoa ya pwani.
Jenga utaratibu wa kuangalia utabiri wa hali ya hewa kwenye taarifa za habari, cnn BBC etc au local channels. Pia kwenye simu yako.Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) hawakutupatia taadhari juu ya mvua zilizopiga jana usiku mikoa ya pwani.
Kuna watu zinaweza kua zimewaharibia mali au makazi yao. Kwanini hawakutoa taarifa za awali tuchukue taadhari. Au tuseme rada zao hazikuona?
Mvua zimekuja ghafla from nowhere hadi barabara zinafungwa.