Makete ni chini ya hii.makete mbona siioni [emoji2]
Nilikuwa natafuta kwa Makusudi Mtu wa Kugombana nae Leo nashukuru nimekupata Pimbi Wewe baada ya Kujileta Mwenyewe.Wanaume wa Dar wakilalamikia baridi la centigrade 20 [emoji23][emoji23], fala nyie watu huko Mbeya wanacheza na 4 na hawalalamiki
😅😅Wanaume wa Dar wakilalamikia baridi la centigrade 20 [emoji23][emoji23], fala nyie watu huko Mbeya wanacheza na 4 na hawalalamiki
Na nyinyi tusiwasikie munalalamika joto jingi, tutawauliza hivyo hivyo.Kwa baridi ipi? Wewe una homa nenda hospital.
Ukiona korodani za wanaume hazijahamia tumboni, hapo hakuna baridi.....Kwa baridi ipi? Wewe una homa nenda hospital.