mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
sema dar inatuharibu,hii sio baridi ya mtu kukosa amani.
yaani eti kabisa naamka asubuhi njmevaa na koti kabisaaa[emoji1787][emoji1787]
oyaaaa subiri ujitwalie gitaa la dalikimoko,hili baridi ni vita ya kiuchumi,walengwa ni vijana ambao ndio taifa la leo,wajichanganye na gitaa wapotelee huko.
yaani eti kabisa naamka asubuhi njmevaa na koti kabisaaa[emoji1787][emoji1787]
oyaaaa subiri ujitwalie gitaa la dalikimoko,hili baridi ni vita ya kiuchumi,walengwa ni vijana ambao ndio taifa la leo,wajichanganye na gitaa wapotelee huko.