sema dar inatuharibu,hii sio baridi ya mtu kukosa amani.
yaani eti kabisa naamka asubuhi njmevaa na koti kabisaaa[emoji1787][emoji1787]
oyaaaa subiri ujitwalie gitaa la dalikimoko,hili baridi ni vita ya kiuchumi,walengwa ni vijana ambao ndio taifa la leo,wajichanganye na gitaa wapotelee huko.