Nadhani kaizungumzia kama utani tu..Unawambiaje watu wa Greenland na Siberia ambako barafu iko full time
Sema sio sehemu ya kuishi wewe
Mimi nimeishi makete ile hali ya hewa kunastawi sana mazao ya ngano,pareto na viazi mviringo .Kuna uzalishaji mkubwa hasa sio utani
Na watu wanaishi kule kuko poa tu mbona
Una roho ya kimaskini sio ya kutafuta utajiri
Unatania? 4 degrees centigrade si ndiyo mtu analima vibaya sana? Ungefika Ulaya, nchi za Scandinavia au Canada ungeweza? Huko kipindi cha winter, hiyo 4 cg watu wanaona ni siku ya joto!Hii Hali Kwa wakulima wanaenda mashambani kweli? Sidhani kama unaweza kupata nguvu ya kulima tena Kwa jembe la mkono
Umasikini unao wewe, mimi sina dhiki hiyoUnawambiaje watu wa Greenland na Siberia ambako barafu iko full time
Sema sio sehemu ya kuishi wewe
Mimi nimeishi makete ile hali ya hewa kunastawi sana mazao ya ngano,pareto na viazi mviringo .Kuna uzalishaji mkubwa hasa sio utani
Na watu wanaishi kule kuko poa tu mbona
Una roho ya kimaskini sio ya kutafuta utajiri
Mkuu nimekaa Njombe kwa muda fulani..yaani wenyeji shuguli wanafanya kama kawaida ni kama hakijatokea kitu hata wewe mgeni ukishazoea unaona kawaida...ukizoea kuna muda hasa mchana unaweza tembea bila sweta.Hii Hali Kwa wakulima wanaenda mashambani kweli? Sidhani kama unaweza kupata nguvu ya kulima tena Kwa jembe la mkono
Kweli kabisa mkuu. Makete pazuri sana hususan kuanzia pale Ikonda, Kisinga, Iwawa, Bulangwa na Iniho. Ukishazoea kuishi kule hutotaka tena kuondoka manake kila aina ya matunda (temperate fruits)na mazao ya chakula unapata bila kusahau kinywaji pendwa cha Ulanzi. Maji yote ni maji baridi hakuna maji ya chumvi na ukitaka eneo lenye joto nenda Matamba karibu na Chimala.Unawambiaje watu wa Greenland na Siberia ambako barafu iko full time
Sema sio sehemu ya kuishi wewe
Mimi nimeishi makete ile hali ya hewa kunastawi sana mazao ya ngano,pareto na viazi mviringo .Kuna uzalishaji mkubwa hasa sio utani
Na watu wanaishi kule kuko poa tu mbona
Una roho ya kimaskini sio ya kutafuta utajiri
Kipimo kinaitwa jotoridi, kwa kiingereza ni temperature. Hivyo tunasema joto limepanda au limeshukaViwango vya joto au viwango vya baridi?
Hiyo kweli ndo itakuwa changamoto. Wakulima wajitahidi kuzingatia maelekezo ya Wataalam ni nini cha kufanya ili walau kupunguza athari zitokanazo na barafu hiyo.Tutarajie mazao kuungua sana hasa viazi chipsi na nyanya
UK moto unawaka kuleTZ tunabadilishana hali hewa na UK sasa.
Hiyo Hali ipo Tangu Juzi wao walikuwa kimya tu Hawa TMA wanachelewa sana kuhabarisha wananchi walitakiwa wawe wanatoa angalizo/taarifa masaa 24/48 kablaMamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imesema kwamba hali ya baridi itaendelea kuwepo ambapo katika mikoa ya Njombe, Iringa na Mbeya baridi inatarajiwa kufikia viwango vya chini vya nyuzi joto 4°C.
Akizungumza hii leo jijini Dar es Salaam, Mtaalam wa uchambuzi wa hali ya hewa kutoka TMA Rose Senyagwa, amesema hali ya mvua zinazonyesha ni za nje ya msimu ambapo zimetokana na hewa kunyonya unyevunyevu baharini na hivyo kupelekea mvua hizo kunyesha.
Kuhusu hali ya barafu iliyojitokeza hivi karibuni mkoani Njombe, Senyagwa amesema hali hiyo inayofahamaika kama Sikitu inatokana na majimaji ya unyevunyevu kuganda na hivyo kupelekea barafu hizo hali ambayo ni kawaida kunapokuwepo na baridi kalI
Chanzo: EATV
Chips na nyanya zinaungua njombeTutarajie mazao kuungua sana hasa viazi chipsi na nyanya
Wewe mkuu umechemka matamba kuna joto, matamba ndio Kituro, huku ndio kilele cha bardi tzKweli kabisa mkuu. Makete pazuri sana hususan kuanzia pale Ikonda, Kisinga, Iwawa, Bulangwa na Iniho. Ukishazoea kuishi kule hutotaka tena kuondoka manake kila aina ya matunda (temperate fruits)na mazao ya chakula unapata bila kusahau kinywaji pendwa cha Ulanzi. Maji yote ni maji baridi hakuna maji ya chumvi na ukitaka eneo lenye joto nenda Matamba karibu na Chimala.
Wanafanya kazi vizuri tu ila wanajijaladia sana kuanzia kichwani mizura hadi nyayoni sox nyingiHii Hali Kwa wakulima wanaenda mashambani kweli? Sidhani kama unaweza kupata nguvu ya kulima tena Kwa jembe la mkono
Hatari sana mkuu nahisi Mimi kama naingia Njombe Leo nitaishia kukaa ndani tuMkuu nimekaa Njombe kwa muda fulani..yaani wenyeji shuguli wanafanya kama kawaida ni kama hakijatokea kitu hata wewe mgeni ukishazoea unaona kawaida...ukizoea kuna muda hasa mchana unaweza tembea bila sweta.
Mimi nilikua naoga maji ya baridi kama yalivyo nilivyozoea na ilikua safi safi tu.
Mtu yeyote anayeangalia hali ya hewa kwenyeb sehemu ambako kuna utajiri halafu anasema sio pa kuishi ana pepo au shetani la umaskini. Wewe ni mmojawapo.Nenda kaombeweUmasikini unao wewe, mi sina dhiki hiyo
Kuombewa ndo nini? Jaribu we na familia yako mi sina dhiki hiyoMtu yeyote anayeangalia hali ya hewa kwenyeb sehemu ambako kuna utajiri halafu anasema sio pa kuishi ana pepo au shetani la umaskini .Wewe ni mmojawapo.Nenda kaombewe
Matamba ni Kituro? Nazungumzia Matamba pale penye mji na viunga vyake kabla hujazianza zile kona 54 kuelekea Chimala. Labda Matamba kama Tarafa nakubali. Lakini Kitulo ni Mlimani kule lilipo shamba la mifugo.Wewe mkuu umechemka matamba kuna joto, matamba ndio Kituro, huku ndio kilele Cha bardi tz
Hapana mkuu. Mazingira na mishemishe zako zitakulazimisha utoke nje tu. Siku za mwanzo ni kweli utaisikia baridi sana lakini kadri muda utakavoenda utazoea na kuiona ni ya kawaida tu. Usiogope.Hatari sana mkuu nahisi Mimi kama naingia njombe Leo nitaishia kukaa ndani tu