Duh! Hiyo kali aisee. Makete baridi inapozidi sana watu huwasha moto wa mkaa kwenye karai kubwa na waliopo huketi kulizunguka na baadhi yao ku-enjoy chimpumu kwani nacho huwa cha moto.Mnaoona hiyo ni baridi basi hamjafika Yakutsk kule Siberia...
Kule vitu vinawekwa kwenye friji ili visigande.
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
Yah matamba kule mwanzo Kijiji cha mbela Kuna kajoto lakini baridi bado Kali ,kitekelo bado baridi Kali huku ngoje baridi bado Kali, ila sio Kama la kitulo,Matamba ni Kitulo? Nazungumzia Matamba pale penye mji na viunga vyake kabla hujazianza zile kona 54 kuelekea Chimala. Labda Matamba kama Tarafa nakubali. Lakini Kitulo ni Mlimani kule lilipo shamba la mifugo.
Kabisa, sasa ulaya itakuwa kama Africa, maana joto la kufa mtu huko ulaya.😎Sawa,kitakuwa kama Ulaya..Si huwa unaona kwenye mechi huwa kuna vibarafu vinaanguka.
ILI BARIDI IWEPO NI LAZIMA JOTO LIPUNGUE, NDIO MAANA HUTUMIA NYUZI JOTO.Viwango vya joto au viwango vya baridi?
Naam Mkuu; Niliishi pale Iwawa. Kipindi cha Barafu(sio baridi) hutoki kwenda Dombwela au Ndulamo.Yah matamba kule mwanzo Kijiji cha mbela Kuna kajoto lakini baridi bado Kali ,kitekelo bado baridi Kali huku ngoje baridi bado Kali, ila sio Kama la kitulo,
Kitulo na matamba sio mbali kivile hata kwa miguu unakwenda ila baridi Kali ipo kitulo
Kwa Baridi au Trillioni?Ama kweli Mama anaupiga mwingi
Asante sana Mama yetu.
We acha tu siku ya Kwanza unaweza sema mi kesho naondoka ila ukikumbuka majukumu unakomaa, mwisho wa siku na wewe inakuwa nyambudaNaam Mkuu; Niliishi pale Iwawa. Kipindi cha Barafu(sio baridi) hutoki kwenda Dombwela au Ndulamo.
Baridi kali sana lakini mdogomdogo niliizoea na nikapapenda sana Makete.
Ngoja nisogeze safari yangu mbeya kwa muda sitaki kuganda lkn najua bei ya nyama itakuwa juu SanaMamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA), imesema kwamba hali ya baridi itaendelea kuwepo ambapo katika mikoa ya Njombe, Iringa na Mbeya baridi inatarajiwa kufikia viwango vya chini vya nyuzi joto 4°C.
Akizungumza hii leo jijini Dar es Salaam, Mtaalam wa uchambuzi wa hali ya hewa kutoka TMA Rose Senyagwa, amesema hali ya mvua zinazonyesha ni za nje ya msimu ambapo zimetokana na hewa kunyonya unyevunyevu baharini na hivyo kupelekea mvua hizo kunyesha.
Kuhusu hali ya barafu iliyojitokeza hivi karibuni mkoani Njombe, Senyagwa amesema hali hiyo inayofahamaika kama Sikitu inatokana na majimaji ya unyevunyevu kuganda na hivyo kupelekea barafu hizo hali ambayo ni kawaida kunapokuwepo na baridi kalI
Chanzo: EATV
Iko siku nitatembelea tena Makete.We acha tu siku ya Kwanza unaweza sema mi kesho naondoka ila ukikumbuka majukumu unakomaa, mwisho wa siku na wewe inakuwa nyambuda
Mkuu; sema Nyanda za juu kusiniHaya wakazi wa nyanda za juu ni wakati sasa mnunue portable heater yangu used from Japan
110 v
Inatumia umeme v 100
Na mafuta ya taa. Kwa wakati mmoja
Ipo Dar.
Mshangao asubuhi madogo wanaenda na bukta shuleMiaka minne iliyopita nilikuwa na ziara Makete mwezi wa sita na wa saba, hakika kule sio sehemu ya kuishi kabisa. Unafikia Kitulo (wanaita Bustani ya Mungu) hapo ni balaa kwa baridi. Kule wanakuweza wenyewe na kwa sasa kila ikitokea nafasi ya kwenda kule, naipiga chenga