feyzal JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 7,683 Reaction score 15,128 Jul 20, 2022 #61 pureView Zeiss said: Hatari sana mkuu nahisi Mimi kama naingia Njombe Leo nitaishia kukaa ndani tu Click to expand... [emoji16]
pureView Zeiss said: Hatari sana mkuu nahisi Mimi kama naingia Njombe Leo nitaishia kukaa ndani tu Click to expand... [emoji16]
feyzal JF-Expert Member Joined Apr 20, 2016 Posts 7,683 Reaction score 15,128 Jul 20, 2022 #62 OSEFUKANY said: Hapana mkuu. Mazingira na mishemishe zako zitakulazimisha utoke nje tu. Siku za mwanzo ni kweli utaisikia baridi sana lakini kadri muda utakavoenda utazoea na kuiona ni ya kawaida tu. Usiogope. Click to expand... Kabisa hata ngozi ukiwa kule na DSM tofauti sana.
OSEFUKANY said: Hapana mkuu. Mazingira na mishemishe zako zitakulazimisha utoke nje tu. Siku za mwanzo ni kweli utaisikia baridi sana lakini kadri muda utakavoenda utazoea na kuiona ni ya kawaida tu. Usiogope. Click to expand... Kabisa hata ngozi ukiwa kule na DSM tofauti sana.