TMA waeleza uwezekano mdogo nzige kuingia Tanzania

TMA waeleza uwezekano mdogo nzige kuingia Tanzania

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Nzige.jpg

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri wa mwenendo wa hali ya hewa kwa Mikoa ya Kaskazini inayopakana na nchi ya Kenya, ikieleza kuwa kiwango hafifu cha upepo hakiwezi kuhamisha nzige kutoka nchi hiyo kuingia Tanzania.

Hayo yameelezwa leo Jumanne Februari 11, 2020 na meneja wa kituo kikuu cha utabiri cha TMA, Samweli Mbuyaa katika mkutano wa wadau wa hali ya hewa uliofanyika jijini Dar es Salaam.

Mbuya amesema upepo unaovuma sasa ni wa kasi ya kilomita 20 hadi 25 kwa saa na ili nzige wahame unatakiwa kufika kilomita 28 kwa saa.
"Upepo ukitulia nzige huweka makao kwa hiyo kwa sasa kuna kiwango kidogo cha upepo kuja Tanzania na hii ni hali inayotarajiwa kwa siku kumi zijazo yaani kuanzia Februari 11 hadi 21,2020," amesema Mbuya.

Amewataka wataalamu wa sekta husika kufuatilia taarifa ya hali ya hewa ili kuweza kukabiliana na nzige.
Mkurugenzi wa TMA, Agness Kijazi amesema utabiri huo haumaanishi nzige hao wapo nchini Tanzania.

Amesema unalenga mamlaka husika kuchukua tahadhali japo kwa muda huo wa siku kumi za utabiri, kwamba upepo unaweza kuhama usiwe na mwelekeo wa kuja nchini.

"Hawa wadudu ili waruke lazima kuwe na mazingira ya kuruka kwa hiyo taarifa hii inalenga kujiandaa," anasema Mbuya.

Chanzo: Mwananchi
 
Wasubiri Kwanza mahindi yakomae halafu waje tuwafanye msosi
 
Kuna mzee mtumishi mmoja alikuwa anasema "ili ukabiliane na nzige vizuri dawa inatakiwa kupulizwa kwenye mashamba kabla hawajafika ili wakianza kuja na kuanza kula mazao au majani wanakula dawa kisha wanakufa, lakini mkisubili waje ndio muanze kuwapulizia mtakuwa mmeshachelewa kwa sababu hamtawacontrol watawashinda wakitua katika eneo ndani ya masaa mawili eneo hilo litakuwa litakuwa halina majani na kuhamia eneo jingine"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kule Kilimanjaro na maeneo ya Arusha yanayopakana na Kilimanjaro tunasikia Kuna vipepeo zaidi ya 100 milioni.vinaashiria Nini na vinasafirije mbali Kama hakuna upepo wa kutosha kuusafirisha? Je hao vipepeo wengi kiasi hicho wataalamu wa kilimo ni viashiria vya Nini?au ni neema ya kupata mazao mengi kwa watakaolima?
Kwaheri
 
Inamaana nzige wanatembea na kipima upepo? Kuna siku mtatuambia wanasubiri corona iishe ndo waje.
 
jooohs,
We tulia tu humjui jiwe. Atasema kama amewaleta yeye ndo atahangaika. Ila pia tegemea jibu la "Mnataka wakale wapi"
 
nyie leteni siasa tu kwenye masuala sensitive yanayo husu,taifa
 
TMA kama wapiga ramli vile toeni taarifa kamili wenzetu China yule Dr. alitoa onyo khs corona virus walimshika na kumweka ndani ...kilichofuata dunia inajua...sasa na nyie TMA acheni ramli chinganishi mmesomea sasa kwa nn hamji na taari kamili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MARA WAMEONAKA, MARA WAMETOWEKA, MARA WAPO KM 50, MARA UPEPO UMEKWAMISHA WASIJE , MARA ............

MANENO YASHAKUWA MENGI. SISI TUOMBE MUUMBA WETU ATUKINGE TU NA HILO JANGA. AKIKADIRIA UPEPO UWE MKALI KUJA TZ NI DK 0 TU WATAFUNIKA ANGA LETU.

WANANCHI WAACHE MAASWI TU HIYO NDIO DAWA. KAMA MTAENDELEA NA UCHAWI WENU, UGANGA WA KICHAWI, ULEVI, UZINIFU, RIBA, UJAMBAZI, RUSHWA, MIZIKI/NGOMA, CHOCHOTE KTK ADHABU KINAWEZA KUWAPITIA WAKAATHIRIKA WEMA NA WAOVU.

NA WALA SIJUI KTK HIYO MIJIDHAMBI, MTAACHA KIPI KTK HIVYO !! MTIHANI KWELI KWELII.
 
Kule Kilimanjaro na maeneo ya Arusha yanayopakana na Kilimanjaro tunasikia Kuna vipepeo zaidi ya 100 milioni.vinaashiria Nini na vinasafirije mbali Kama hakuna upepo wa kutosha kuusafirisha? Je hao vipepeo wengi kiasi hicho wataalamu wa kilimo ni viashiria vya Nini?au ni neema ya kupata mazao mengi kwa watakaolima?
Kwaheri
Kweli Mkuu, Kilimo cha mwaka huu kitakua na viwavi wengi,source ni mahabara

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri wa mwenendo wa hali ya hewa kwa Mikoa ya Kaskazini inayopakana na nchi ya Kenya, ikieleza kuwa kiwango hafifu cha upepo hakiwezi kuhamisha nzige kutoka nchi hiyo kuingia Tanzania.

Hayo yameelezwa leo Jumanne Februari 11, 2020 na meneja wa kituo kikuu cha utabiri cha TMA, Samweli Mbuyaa katika mkutano wa wadau wa hali ya hewa uliofanyika jijini Dar es Salaam.

Mbuya amesema upepo unaovuma sasa ni wa kasi ya kilomita 20 hadi 25 kwa saa na ili nzige wahame unatakiwa kufika kilomita 28 kwa saa.
"Upepo ukitulia nzige huweka makao kwa hiyo kwa sasa kuna kiwango kidogo cha upepo kuja Tanzania na hii ni hali inayotarajiwa kwa siku kumi zijazo yaani kuanzia Februari 11 hadi 21,2020," amesema Mbuya.

Amewataka wataalamu wa sekta husika kufuatilia taarifa ya hali ya hewa ili kuweza kukabiliana na nzige.
Mkurugenzi wa TMA, Agness Kijazi amesema utabiri huo haumaanishi nzige hao wapo nchini Tanzania.

Amesema unalenga mamlaka husika kuchukua tahadhali japo kwa muda huo wa siku kumi za utabiri, kwamba upepo unaweza kuhama usiwe na mwelekeo wa kuja nchini.

"Hawa wadudu ili waruke lazima kuwe na mazingira ya kuruka kwa hiyo taarifa hii inalenga kujiandaa," anasema Mbuya.

Chanzo: Mwananchi
SUbiri nzige wawamezeshe NDOANO ndio mtatia akili.
 

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri wa mwenendo wa hali ya hewa kwa Mikoa ya Kaskazini inayopakana na nchi ya Kenya, ikieleza kuwa kiwango hafifu cha upepo hakiwezi kuhamisha nzige kutoka nchi hiyo kuingia Tanzania.

Hayo yameelezwa leo Jumanne Februari 11, 2020 na meneja wa kituo kikuu cha utabiri cha TMA, Samweli Mbuyaa katika mkutano wa wadau wa hali ya hewa uliofanyika jijini Dar es Salaam.

Mbuya amesema upepo unaovuma sasa ni wa kasi ya kilomita 20 hadi 25 kwa saa na ili nzige wahame unatakiwa kufika kilomita 28 kwa saa.
"Upepo ukitulia nzige huweka makao kwa hiyo kwa sasa kuna kiwango kidogo cha upepo kuja Tanzania na hii ni hali inayotarajiwa kwa siku kumi zijazo yaani kuanzia Februari 11 hadi 21,2020," amesema Mbuya.

Amewataka wataalamu wa sekta husika kufuatilia taarifa ya hali ya hewa ili kuweza kukabiliana na nzige.
Mkurugenzi wa TMA, Agness Kijazi amesema utabiri huo haumaanishi nzige hao wapo nchini Tanzania.

Amesema unalenga mamlaka husika kuchukua tahadhali japo kwa muda huo wa siku kumi za utabiri, kwamba upepo unaweza kuhama usiwe na mwelekeo wa kuja nchini.

"Hawa wadudu ili waruke lazima kuwe na mazingira ya kuruka kwa hiyo taarifa hii inalenga kujiandaa," anasema Mbuya.

Chanzo: Mwananchi
MAMLAKA YA Hali ya hewa sasa imekuwa MAMLAKA YA Safari za NZIGE!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa utabiri wa mwenendo wa hali ya hewa kwa Mikoa ya Kaskazini inayopakana na nchi ya Kenya, ikieleza kuwa kiwango hafifu cha upepo hakiwezi kuhamisha nzige kutoka nchi hiyo kuingia Tanzania.

Hayo yameelezwa leo Jumanne Februari 11, 2020 na meneja wa kituo kikuu cha utabiri cha TMA, Samweli Mbuyaa katika mkutano wa wadau wa hali ya hewa uliofanyika jijini Dar es Salaam.

Mbuya amesema upepo unaovuma sasa ni wa kasi ya kilomita 20 hadi 25 kwa saa na ili nzige wahame unatakiwa kufika kilomita 28 kwa saa.
"Upepo ukitulia nzige huweka makao kwa hiyo kwa sasa kuna kiwango kidogo cha upepo kuja Tanzania na hii ni hali inayotarajiwa kwa siku kumi zijazo yaani kuanzia Februari 11 hadi 21,2020," amesema Mbuya.

Amewataka wataalamu wa sekta husika kufuatilia taarifa ya hali ya hewa ili kuweza kukabiliana na nzige.
Mkurugenzi wa TMA, Agness Kijazi amesema utabiri huo haumaanishi nzige hao wapo nchini Tanzania.

Amesema unalenga mamlaka husika kuchukua tahadhali japo kwa muda huo wa siku kumi za utabiri, kwamba upepo unaweza kuhama usiwe na mwelekeo wa kuja nchini.

"Hawa wadudu ili waruke lazima kuwe na mazingira ya kuruka kwa hiyo taarifa hii inalenga kujiandaa," anasema Mbuya.

Chanzo: Mwananchi

Mdudu mwenye mbawa anashindwaje kuruka hadi ategemee upepo? Nzige ni jamii ya panzi, mbona panzi wanajirukia tu kila wapendapo? Nashindwa kuamini maelezo haya.
 
Back
Top Bottom