TMA waeleza uwezekano mdogo nzige kuingia Tanzania

TMA waeleza uwezekano mdogo nzige kuingia Tanzania

Msemaji wa hali ya hewa amepewa kibari na mamlaka kubwa kwa hiyo asiwe na wasiwasi ila sisi WABENA tunakula sana sana tunaita #nyanzi hivi anavyotolea utabiri wake hatumwelewi kabisa , ndio kama anawafukuza. Tunatamani kuhamia hata kenya hivyo ni uwezo hatuna.
 
Back
Top Bottom