TMA: Wananchi chukueni tahadhari ongezeko la joto

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Kufuatia taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kuhusiana na ongezeko la joto katika maeneo mbalimbali nchini kunakosababishwa na kusogea kwa jua la utosi, wananchi wameshauriwa kuchukua hatua kukabiliana na athari kutokana na uwepo wa hali hiyo.

Your browser is not able to display this video.
 
Kwa nini mamlaka husika zisichukue hatua za makusudi ili kulirudisha jua kwa juu kidogo? Kwa nini wanaliacha liisogelee dunia kiasi hicho?

This is not fair! Chukueni hatua buana. Mnataka kura zetu za 2025 au hamtaki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…