Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Hawajaitaja Dar lakini trust me. Itaputa na kuacha vilioMamlaka ya hali ya hewa Tanzania, imetabiri mvua kubwa inyotarajiwa kunyesha tar 27 na 28 Januari 2024. Mvua hizi zimetabiriwa kuwa tarehe 27 Januari 2024 zitanyesha mikoa mitano, Morogoro Kusini, Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe. Aidha kwa siku ya Jumapili Januari 28, 2024 zitanyesha Morogoro Kusini, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Njombe, Songwe na Iringa.
View attachment 2882451
View attachment 2882452
[emoji16][emoji16]Mvua inyeshe Lindi,mtwara na MOROGORO isifike DAR? Hapa tuanze kujiandaa na mafuriko tu
Ha ha ha ...mtego huo[emoji4]Mvua inyeshe Lindi,mtwara na MOROGORO isifike DAR? Hapa tuanze kujiandaa na mafuriko tu
Hata huko mbweni ununio wakae mguu sawaAsante kwa Taarifa.
WATU WA MABONDENI CHUKUENI TAHADHARI
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Kwa hiyo nianze kusomba vitu! Maana ya juzi ilichokifanya,sijui hata kwa nini nakaa jiji hili. Hapana aise!Mvua inyeshe Lindi,mtwara na MOROGORO isifike DAR? Hapa tuanze kujiandaa na mafuriko tu
Sijui waishio mabondeni waliwakosea nini?Safari hii wa mabondeni mtahama mtake msitake...
Utabiri wa tarehe 26 na 27 unaulaumu kwa mvua ya tarehe 25.Wanazingua Leo hapo jedwali Alina mvua lakini uku inakita hatariiiiii