Mbweni kwenyewe ushuwani kunajaa maji napoWatu mna hasira na wanaoishi mab
Sijui waishio mabondeni waliwakosea nini?
Wakati ndo walipakodi wakubwa wanaosababisha zipatikane hela za kupigwa
ili wapigaji wajenge sehemu nzuri.
Hili somo halitakusaidia kwenye mafuruko, kumbuka maji ya mafuriko yanatembea kwa speed kubwa sana...
Wataalamu wanakwambia huwezi jua lini ujuzi utakusaidia.Hili somo halitakusaidia kwenye mafuruko, kumbuka maji ya mafuriko yanatembea kwa speed kubwa sana...
Hapana siwachukii nawaonea huruma..kwa sbb ni hasara sana kila mwaka unaharibikiwa vitu maji yanaleta uharibifu mkubwa..why ukae mahali pa hivyo? Utasema umejenga nyumba lakini hasara unayopata unaweza jenga chumba kimoja au viwili sehemu salama mnakohamishiwa...Watu mna hasira na wanaoishi mab
Sijui waishio mabondeni waliwakosea nini?
Wakati ndo walipakodi wakubwa wanaosababisha zipatikane hela za kupigwa
ili wapigaji wajenge sehemu nzuri.
Sasa wewe kwani uoni hapo hilo jedwali Lina mbaka tarehe 24 wamesema akuna mvua na tarehe 25 pia WAkati uku zinapiga hatariUtabiri wa tarehe 26 na 27 unaulaumu kwa mvua ya tarehe 25.
Pole Sana mkuu, ulkua mabondeni?Kwa hiyo nianze kusomba vitu! Maana ya juzi ilichokifanya,sijui hata kwa nini nakaa jiji hili. Hapana aise!
Nadhani hiyo Moro Kusini,itagusa Pwani na DarHawajaitaja Dar lakini trust me. Itaputa na kuacha vilio
Shukran sanaMamlaka ya hali ya hewa Tanzania, imetabiri mvua kubwa inyotarajiwa kunyesha tar 27 na 28 Januari 2024. Mvua hizi zimetabiriwa kuwa tarehe 27 Januari 2024 zitanyesha mikoa mitano, Morogoro Kusini, Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe. Aidha kwa siku ya Jumapili Januari 28, 2024 zitanyesha Morogoro Kusini, Lindi, Mtwara, Ruvuma, Njombe, Songwe na Iringa.
View attachment 2882451
View attachment 2882452
Kwa stahili hii,basi Dar yote bonde. Sehemu zote niliziacha nikajua sasa huku safi. Kumbe yale yale tu. Nahisi miundo mbinu mkuu,ila nilikipata cha moto.Pole Sana mkuu, ulkua mabondeni?
Sasa hiv hakuna cha mabonden niliona kwenye video mpaka masaki kimenukaAsante kwa Taarifa.
WATU WA MABONDENI CHUKUENI TAHADHARI
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Usiwadharau,umeshaambiwa wanatabiri ukisubiri inyeshe au wakuthibitishie kama wanavyofanya wenzetu waliojitosheleza kivifaa maji yatakusomba ukiwa umekaa hapo sebuleni kwako.Wanazingua Leo hapo jedwali Alina mvua lakini uku inakita hatariiiiii
Ndio maana umejaa makasiriko, kila post una dislike...Kwa hiyo nianze kusomba vitu! Maana ya juzi ilichokifanya,sijui hata kwa nini nakaa jiji hili. Hapana aise!
Sasa we huon hiyo chat inasema Leo akuna mvua je tungepita na huo utabili wao tukajisahau kutia tahadhali Leo si tungepoteza ndugu wengi zaidi ya Hawa mana hapa tulipo asaivi ni vilio vimetanda na tupo juu ya bwana atuna tena makaziUsiwadharau,umeshaambiwa wanatabiri ukisubiri inyeshe au wakuthibitishie kama wanavyofanya wenzetu waliojitosheleza kivifaa maji yatakusomba ukiwa umekaa hapo sebuleni kwako.
Kwa kutumia ngalawa au chelezo(raft) 😆 😁Duh sasa sokon tutaendaje
Sijaona Dar es Salaam hapo hivyo ngoja niendelee kurekebisha Kibanda changu hapa Bonde la Mpunga Kinondoni ambacho Kilisombwa na Mvua Kubwa ya Weekend iliyopita.Asante kwa Taarifa.
WATU WA MABONDENI CHUKUENI TAHADHARI
KaziKweliKweli/JobTrueTrue