TMA yatangaza mvua za siku tatu mfululizo mikoa minane, kuanza leo Disemba 3

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa angalizo la mvua kubwa katika mikoa minane kuanzia leo Jumanne, Desemba 3, 2024.

Mvua hizo katika mikoa hiyo ya Dodoma, Singida, Mbeya, Iringa, Njombe, Rukwa, Songwe na Manyara.

Taarifa hiyo ya TMA iliyotolewa leo Desemba 3, 2024 imetahadharisha wakazi wa mikoa hiyo kuchukua tahadhari kutokana na wingi wa mvua hizo.

"Desemba 4, 2024 angalizo la mvua kubwa limetolewa kwa maeneo machache ya nyanda za juu kusini magharibi mikoa ya Iringa, Njombe, Rukwa na Songwe.

"Kanda ya kati Dodoma na Singida na Mkoa wa Morogoro, athari zinazoweza kujitokeza ni makazi kuzungukwa na maji," inasema TMA.
 
Aroo rekebisha hapo 2014.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…