Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 7,755
- 11,737
Na iwe hivyo maana si kwa joto hili!Wakuu,
View attachment 3264417
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetoa utabiri wa mvua kubwa katika Mikoa ya Kigoma, Katavi, Tabora, Singida, Dodoma, Simiyu, Mara, Arusha, Manyara, Kilimanjaro, Kagera, Geita, Mwanza na Shinyanga, Tanga, Morogoro, Dar es Salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Mtwara, Lindi, Rukwa, Mbeya, Iringa, Songwe, Njombe na Ruvuma pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.
Aidha Kiwango cha athari zinazoweza kutokea ni wastani, baadhi ya makazi kuzungukwa na maji.
Utabiri huo umetolewa Machi 8, 2025.
Mwaka huu mkuu!Hata hizo probability nazo si zina siku za kutokea!! Nacho maanisha waseme kwamba kuanzia wiki au mwezi na mwaka fulani mvua itaanza kunyesha!!
Sasa kutajiwa mikoa 15 mvua itanyesha ni mwezi ujao au mwaka 2027??
Huu ni uongo kwa kanda ya kati, msimu wa mvua umeisha. Ila kwa pwani msimu ndo unaanza inaweza ikawa kweli.Wakuu,
View attachment 3264417
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetoa utabiri wa mvua kubwa katika Mikoa ya Kigoma, Katavi, Tabora, Singida, Dodoma, Simiyu, Mara, Arusha, Manyara, Kilimanjaro, Kagera, Geita, Mwanza na Shinyanga, Tanga, Morogoro, Dar es Salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Mtwara, Lindi, Rukwa, Mbeya, Iringa, Songwe, Njombe na Ruvuma pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.
Aidha Kiwango cha athari zinazoweza kutokea ni wastani, baadhi ya makazi kuzungukwa na maji.
Utabiri huo umetolewa Machi 8, 2025.
wabahatishahi hawa🤣🤣Sawa sawa, ila hawajasema muda au siku
Kwa kawaida wao huanza na sentensi hii, "utabiri wa hali ya hewa katika kipindi cha masaa 24 ijayo" . Yaani kuanzia wakati huo hadi 24 hours later. Hii hutolewa kwenye vipindi vya kila siku vya radio na televisheni, nk.Sasa husemi ni lini hiyo mvua itanyesha, ni utabiri huo?
Ni almost Tanganyika Jana kibaha ilipiga jarambaWakuu,
View attachment 3264417
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetoa utabiri wa mvua kubwa katika Mikoa ya Kigoma, Katavi, Tabora, Singida, Dodoma, Simiyu, Mara, Arusha, Manyara, Kilimanjaro, Kagera, Geita, Mwanza na Shinyanga, Tanga, Morogoro, Dar es Salaam, Pwani (ikijumuisha visiwa vya Mafia), Mtwara, Lindi, Rukwa, Mbeya, Iringa, Songwe, Njombe na Ruvuma pamoja na visiwa vya Unguja na Pemba.
Aidha Kiwango cha athari zinazoweza kutokea ni wastani, baadhi ya makazi kuzungukwa na maji.
Utabiri huo umetolewa Machi 8, 2025.
Akisema siku na isitokee hutawaamini.Hata hizo probability nazo si zina siku za kutokea!! Nacho maanisha waseme kwamba kuanzia wiki au mwezi na mwaka fulani mvua itaanza kunyesha!!
Sasa kutajiwa mikoa 15 mvua itanyesha ni mwezi ujao au mwaka 2027??