TMDA: Ukitumia antibiotiki na usipokojoa mkojo wenye harufu, jua hiyo ni bandia

Kwahiyo sisi wananchi ili tugundue kama ni feki. Inabidi tuitumie kwanza?? Sasa kama ni madhara yatanikuta kwanza?
 
wasomi wetu bwana .. mama akiwagusa mnahisi kuonewa why mpaka ifike tumboni mtu akojoe ingieni huko zinako uzwa mkazipime kabla ya wananchi kuzitumia mianya ya fake mnaijua sana aah tusije laumu mamlaka ukiguswa.
 
Mimi nimekuelewa vizuri sana.

Asante kwa kutustua.

Lakini imarisheni mifumo ya kuzuia fake zisiingie nchini.
 
Heee hana hata PhD inamana
 
Bongo bhana, unashauriwa u test sumu kwa kuimeza, tena na namlaka husika kabisa.
 
Sio lazima ukojoe, hata ukiibomoa moja ukailamba utajua kama ni fake au?
 
Kwahiyo verification ya dawa ni mkojo na choo? Wadhibiti dawa bandia kabla hazijatufikia kuliko kutufanya miili yetu sehemu za majaribio
 
Yani imagine mtu unaumwa umeandikiwa dawa na kuanza kutumia lakini huponi maumivu yanazidi kumbe sababu dawa fake [emoji15][emoji15]

Jamani Mbona mtihani mkubwa huo.

Zuieni zisiingie nchini bana.
 
Yani imagine mtu unaumwa umeandikiwa dawa na kuanza kutumia lakini huponi maumivu yanazidi kumbe sababu dawa fake [emoji15][emoji15]

Jamani Mbona mtihani mkubwa huo.

Zuieni zisiingie nchini bana.
Wewe na mkurugenzi akili zenu ni sawa.....[emoji23][emoji23][emoji23] Hivi dawa zote tunazotumia end product inatolewa na figo?

Ifike pahala, tuache wataalamu waongee na tuache siasa kwenye taaluma nyeti
 
Hata hivyo katika kunywa dawa kwangu kote dawa ambazo zimekuwa zikitoa harufu kwenye mkojo ni zile zenye kiambata cha Amoxicillin na jamaa zake. Hizo nyingine harufu huwa naihisi mdomoni tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…