TO ALL MEN: Women won't profit you

TO ALL MEN: Women won't profit you

okoyoko

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2014
Posts
2,664
Reaction score
3,641
Hello guys,

Kuna msemo mmoja unasema kuwa "behind every succesful man there is a woman", means kuwa mwanamke huchangia mafanikio ya mwanaume kwa kiasi kikubwa, i believe most of u JF men mmefanikiwa kiasi flani, mko chuo au sekondari, au mmjejiajiri/mnafanya kazi, jiulizeni hapo mlipofikia kuna mwanamke yeyote (wa rika lenu) hata mmoja aliewahi kukupa motisha/advice ili wewe ufanikiwe?

Amini msiamini, hapa duniani mwanamke anaekupenda ni mama yako, hao wasichana wengine unaowashobokea wengi wao wanakupotezea muda, hela, na vision, wanawake wengine ambao kidoogo wanaweza kuwa strength kwako ni wanawake wakubwa waliokuzidi umri eg. female teachers, auntie zako, bibi zako etc

Wanaume, hivi unafaidika nini unapokuwa social media eg instagram, facebook, kazi yako ni kuwatumia dm za mapenzi wadada wazuri wenye makalio makubwa usiowajua? huo muda ungetumia kufikiria who will be the right woman of ur life au kumjulia hali mama yako/or maybe ndugu zako huoni ingekuwa bora zaidi? Wanaume wengi hadi in their 30's wanashindwa hata kujenga nyumba kisa kuendekeza wanawake wasio na maana kwao, as if kwenye lile shimo kuna kitu kipya.

Most if not all women invests almost nothing in relationships, so guys in ur early 17's and 20's ur primary focus and resources ziende kwenye vitu vya msingi zaidi for ur better future.

Wenye nia ya kunielewa watanielewa.
 
Kama si mgogoro wa kimapenzi utakua Umeachwa leo asubuh au unamatatizo ya kiume unatafta soppoters au umekutana na wale wakufilisi kama yono ukashtuka asubuh unashangaa unamiliki smartphone tu ya kuingia jf, Niamin mimi mkuu.
 
Pole sana...
Kila jambo lina uzuri na ubaya...
Naona wewe yamekupata mabaya...


Cc: mahondaw
 
Mapenzi yana run dunia @alikiba
 
Wameupokea ushauri wako ila kuna wanawake wana nyota za hatari anaweza asikupe msaada wwt ila kwa kua nae tuu ndani au ktk mahusiano unafanikiwa.
 
Mleta mada nafikiri unapenda sana kuwajua wanawake kiundani zaidi
Ni jambo zuri
Hii ni thread yako ya pili naisoma unamzungumzia mwanamke
Safi sana
Unanifanya nijue nisiyoyajua
 
Labda nikupe mfano:
mi tangu nasoma primary school nilijiwekea akilini kuwa siji kushindwa kimasomo na msichana yeyote darasani jambo kulikuwa na smart girls wengi hiyo ikanifanya nikawa namafanikio (success) so kwa upande wangu girls wamechangia indirectly kufanikiwa kwangu.
Si lazima huyo chick wa kukufanya ufanikiwe awe upande wako au uwe na mahusiano naye, hata kwa njia za indirect kama hizo mi nahesabu wamechangia mafanikio.
 
Life is more than hayo majumba na hizo mali .....usitulaumu wanaume ndio tumeumbwa hivyo....
Mbwa dume anaweza kusafiri usiku kucha kufuata jike ili akapande na akifika anakosa..kesho tena ukimfungulia tu .huyo anaenda..why??Because life is more than food etc...tumeumbwa tuwe na nyie na unajiona mkamilifu na mwenye amani unapokuwa na mwanamke unaempenda...
 
Back
Top Bottom