Hebu rudia kumuangalia vizuri maana wewe nahisi haujamuangalia fresh
dah! mauaji si lazima uuliwe kwa bastola au kisu. hii ni aina nyengine ya mauaji.
Aaaah Wapi! Siwezi kumuangalia tena huyo binti, tena hasa hiyo picha ya mwisho ndo kabisaaaaaa! Yeye anaona karembua kumbe ka JINI MAHABA
mkuu hiki kifaa ni chako mbona unakilengesha kwangu. kuna habari zilizothibitishwa kwamba Cv yako uliyomtumia cheusimangala iko kwenye top ten.Halafu anakwambia lets get it on tonight, klorokwin huyo ndukii
Hiyo sign hapo kwenye paji lake la uso sijui ni FREEMASONS huyu
Cheuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuusiiiii! Daah
hata wewe unamponda huyo mlimbwende!
naona anataka kuwa mke wa pili kwani miaka 50 wote wanawake teyari au kama hana mke kafiwa na mkewe au anahitaji kuongeza wa pili au watatunafikiri tukiacha na urembo...kigezo cha umri nacho kitawaondoa wengi kwenye list!! Kwanini anataka babu, wakati yeye bado binti???!!!
Si dhani kama ni busara kutumia picha ya mtu na kuijaza maneno tena bila idhini yake. Huyu binti na ni PUNGUANI yaani HANA AKILI TIMAMU, Anapatikana Mwanza na anapenda kutembelea maeneo ya Nyakato na Kirumba hasa kwenye Bar. Nikweli ukikutana naye kwa mara ya kwanza atakushangaza kwa mapozi na miondoko yake na hasa jinsi anavyopiga mzinga ingawa hakulazimishi kumpa hela. Anajisifia sana kwamba anapendwa na watu hasa wanaoenda kwa ajili ya kampeni mbalimbali kwamba wanampatia kofia za kuvaa na t-shirt. So sijafurahishwa na jinsi mtoa maada alivyo mpa maneno as if yeye ndo kasema hivyo. Nimelazimika kusema hivyo ili kutoa angalizo kwa wale wasiomfahamu kuwa huyo ni punguani na ukikutana naye usimshangae sana. LAKINI UTAPENDEZWA NA JINSI AMBAVYO ANAPENDA KUKAA SMART.
nataka kuitwa wifi hadi nichoke mwaka huu!
nataka kula pilau la harusi,
nataka kupiga vigelegele hadi koo likauke ndio maana mabinamu zangu especialy those single ones nawaletea vifaa ambavyo najua lazima mtangaze ndoa,mmeshakua watu wazima sasa, hebu oeni, 'uhuni' hauwapendezi tena.
Haya mchumba huyo hapo chini,kajieleza vizuri tu ,msipotangaza ndoa ntajua mna matatizo na itabidi mniambie mna matatizo gani.
NATAFUTA MCHUMBA!!!!!
NATAFUTA MCHUMBA ILA AWE TIYARI KUKUBALIANA NA MASHARTI YANGU
(1) Akubaliane na urembo wangu asinipangie,
(2)Awe na miaka kuanzia 50,
(3)Awe muimbaji,
(4)Asiwe na mke mwingine,
(5)Awe na chapaa za kutosha,
(6)Awe na nyumba ya maana,
(7)Asiwe na mkopo benk,
(8)Awe na gari zaidi ya mbili,
(9)Nikiwa nae asiangalie dadaz za pembeni,
(10)Asiwe na simu za tochi,
(11)Asiwe mnywa tapu tapuzzzz!!
(12)Awe hendi sam boy Na mwisho
(13) AKUBALI KUPIMA KIPIMO KIKUBWA.
Ni mimi wenu mrembo kuliko wote TZ Napatikana Nyakato sokoni (MWANZA)
With thanks to Florah Talent Promotion
Kama hana akili timamu anaweza kujikwatua namna hiyo????
hivi hakuna option ya kuziba picha......manake am having a hard time....kusoma post za chini when i have to scrolll from top
acha utani wewe,kwani anakasoro gani?wewe wa susa sisi twalaNimeshajichokea na maisha ya ukimburu,lakini hapo utanisamehe CM.Maana hata unipe pesa zote za deni la DOWANS kwa sharti la kumuoa huyu bado nitakataa!!!