to all my single boyz in here..

Hebu rudia kumuangalia vizuri maana wewe nahisi haujamuangalia fresh

Aaaah Wapi! Siwezi kumuangalia tena huyo binti, tena hasa hiyo picha ya mwisho ndo kabisaaaaaa! Yeye anaona karembua kumbe ka JINI MAHABA
 
Aaaah Wapi! Siwezi kumuangalia tena huyo binti, tena hasa hiyo picha ya mwisho ndo kabisaaaaaa! Yeye anaona karembua kumbe ka JINI MAHABA

Hiyo sign hapo kwenye paji lake la uso sijui ni FREEMASONS huyu
 
Halafu anakwambia lets get it on tonight, klorokwin huyo ndukii
mkuu hiki kifaa ni chako mbona unakilengesha kwangu. kuna habari zilizothibitishwa kwamba Cv yako uliyomtumia cheusimangala iko kwenye top ten.
 
kwa kuwadokeza tu,hasa wapwa mnaoonyesha dalili nzuri za kukizimikia chombo,
upakaji huo wa wanja ktk picha ya pili maana yake ni,
alichokiunganisha mungu mwanadamu asikitenganishe.
 
Cheuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuusiiiii! Daah
 
nafikiri tukiacha na urembo...kigezo cha umri nacho kitawaondoa wengi kwenye list!! Kwanini anataka babu, wakati yeye bado binti???!!!
naona anataka kuwa mke wa pili kwani miaka 50 wote wanawake teyari au kama hana mke kafiwa na mkewe au anahitaji kuongeza wa pili au watatu
 
Si dhani kama ni busara kutumia picha ya mtu na kuijaza maneno tena bila idhini yake. Huyu binti na ni PUNGUANI yaani HANA AKILI TIMAMU, Anapatikana Mwanza na anapenda kutembelea maeneo ya Nyakato na Kirumba hasa kwenye Bar. Nikweli ukikutana naye kwa mara ya kwanza atakushangaza kwa mapozi na miondoko yake na hasa jinsi anavyopiga mzinga ingawa hakulazimishi kumpa hela. Anajisifia sana kwamba anapendwa na watu hasa wanaoenda kwa ajili ya kampeni mbalimbali kwamba wanampatia kofia za kuvaa na t-shirt. So sijafurahishwa na jinsi mtoa maada alivyo mpa maneno as if yeye ndo kasema hivyo. Nimelazimika kusema hivyo ili kutoa angalizo kwa wale wasiomfahamu kuwa huyo ni punguani na ukikutana naye usimshangae sana. LAKINI UTAPENDEZWA NA JINSI AMBAVYO ANAPENDA KUKAA SMART.
 
Huyu Mchumba mbona kajipulua mpaka uhalisia umepotea ..
Amechoka Binti Cheusimangala umempatia wapi lakini?
 

Kama hana akili timamu anaweza kujikwatua namna hiyo????
 

Thank God nimepenya kwenye kigezo cha umri.........................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…