to all my single boyz in here..

to all my single boyz in here..

Mkuu klorokwin lakini mimi mbona naona kama kifaa kimekaa mwake
 
Wakuu nimecheka sana nilikuwa sijaona hii kitu duuuuuuuuuuuu Kloroquin na Hashycool u made my YEARS
 
Hivi zile PM haujarudishiwa bado lol!!!!
hehehe dah! ze fainest bana, mpaka mida hii wameuchuna, lakini tangu ikuje sredi hii nimestopisha PM zote kwanza until faza notis, kaka bora utongoze shoga kuliko kukumbana na hii balaa. mie nazani hii sredi ifungwe tu kwa sababu za kiintelijensia.
 
hivi hakuna option ya kuziba picha......manake am having a hard time....kusoma post za chini when i have to scrolll from top
 
Yaani Hashcool na klorokwini........you guys are funny!!! Nafikiri mnaweza mkaanzisha zekomedi kabisa...heheheh!!!
 
kamanda tuma CV c/o cheusimangala.

1. Hata nikiona PM ya cheusimangala nazimia computer kwenye main switch isikute yuko na huyo terminator one.
2. Mimi nimeoa tayari mkuu hayo mambo nakuachia wewe na hashycool
 
Asante sana mama, ni kweli kuwa i'm single but i'm not searching!
 
eeh kume siku hizi unaitwa saint PM ..eeeh au ni mwingine
Nimeshajichokea na maisha ya ukimburu,lakini hapo utanisamehe CM.Maana hata unipe pesa zote za deni la DOWANS kwa sharti la kumuoa huyu bado nitakataa!!!
 
Urembo gani huo hata kwetu kijijini hatujipambi hivyo. Ila yapo majokeri yanapenda hizo swaga za huyo dada,
 
Back
Top Bottom