To anyone,,,Application Letter

he he he he he he unatufundisha au nn??cjaona mantiki ya post hii....
 
Dah hivi hii tempo ntapataga kweli au ndio likizo nzima ishakuwa loss...
 
Don; umefanya vizuri kuwa na wazo la kutafuta kazi ili usipoteze muda wakati unasubiri majibu; ushauri wangu usitafute kazi ya malipo (Temporary Employment), maeneo mengi ya kazi hayana upungufu wa namna hiyo hata kuamua kuweka form 6 leavers kazini, hayo mambo yalikuwepo miaka ya 70 ambapo kulikuwa hakuna wataalamu wa kutosha. Bado kuna idadi ya wengi wenye taaluma kutoka vyuo mbalimbali wanatafuta kazi, japokuwa hii haiwezi kuwa kigezo cha wewe kukosa kazi.

Hivyo basi badala ya kutafuta kazi ya kulipwa ningekushauri utafute kazi ya kufanya bila malipo (VOLUNTEER)

VOLUNTEER – Ni Kutoa/kutumia muda wako katika kufanya mambo/jambo ambalo litakuwa na manufaa, lakini bila kutegemea ujira wowote.

FAIDA ZAKE:
Kutumia muda na nguvu zako vizuri
Kukutana na watu tofauti/mbalimbali
Kujifunza kwa njia ya vitendo (learning by doing)
Kuhudumia wengine au jamii inayokuzunguka

Kwa wale wote ambao wanatafuta kazi, tumia fursa hii..(VOLUNTEER)
 

yap brother nimekuelewa sana an thanks for the advice
 

thanks a lot brother,nimekuelewa
 
And jamani kwenye hii post tupo wawili niliyeandika barua na kuna mwingine aliyeandika sms
 
best thing afanye 2 hayo masahisho mbona ni jambo la kawaida sana m2 kukosea na kusaishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…