Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,165
- 16,791
basi napunguzaUkiendelea hivi mimi ntachizika wallah nakuambia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi napunguzaUkiendelea hivi mimi ntachizika wallah nakuambia
huu wivu kwema lakini??Wimbo nauelewa sana huu.
Nikiusikiliza huwa namuonea wivu alieandikiwa.
acha tu nikutwishe mzigo uangaike naonaomba unayoyapunguza uyahifadhi usiyagawe usiyatupe usimpe ayashike mwengine ukiona huna pa kuhifadhi tafadhali nitwishe mzigo wangu nihangaike nao
Nasisi basi naona wivu akiiWow its a beautiful song/dedication,mko vizurii
Na wewe huu wako wivu pia
Nimeshakata tamaa...Haha mkuu usione wivu jaman utapata wako pia inshallah
we ndo unasema hivyoNa wewe huu wako wivu pia
Hahahah... Kwema kabisa.. Bila shaka.. Hahahah..huu wivu kwema lakini??
Usikate tamaa, ujue kupotea njia ndio kujua njia, mapenzi hayana fundi wala bondia mkuu, utapata wako tena bila kutaraji utakua kama hivi amini hivoNimeshakata tamaa...
Niliokutana nao washauchanachana moyo mpaka nimewanyooshea mikono. Salute!
Nimebaki kujiimbia kawimbo ka Marc anthony ka 'when I dream at night'
sawa mkuuHahahah... Kwema kabisa.. Bila shaka.. Hahahah..
archduke ni zaidi ya umjuavyo eti......hapo kwenye archduke sasa nilishaandika vileeee uzuri nimekumbuka kufuta stay tuned one day nitakuchapisha wallahUnadhani sikufaham?
siku ya pili leo
Nieleweshe baby
Ujitajidi kuzuia usiandike vile