Arch Barrel
JF-Expert Member
- Feb 1, 2024
- 434
- 1,126
To yeye kuna mtu kakudondokea huku..!!!Pasipo kujali umri wako,
Una watoto wangapi,
Kuna watangulizi wangapi,
Una komwe,
Nakuhakikishia, unatembea na nusu ya moyo wangu, fanya hima nipate ukombozi🌹🍎💔
Kwani wake za watu hawatembei na nusu ya moyo wa mwanaume mwingine? Anaweza asisemem lakini ndjoo vileee..!!!Oya! Huyo mtu ni mkewangu! Kua na heshima!
Unampenda au unataka ufanye nae mapenzi tu,uje kumwandikia uzi mwingine tena humuPasipo kujali umri wako,
Una watoto wangapi,
Kuna watangulizi wangapi,
Una komwe,
Nakuhakikishia, unatembea na nusu ya moyo wangu, fanya hima nipate ukombozi🌹🍎💔
Utanisamehe tu mkuu, tatizo sio mm, moyoOya! Huyo mtu ni mkewangu! Kua na heshima!
Bora umeongea ukweli mkuuUnampenda au unataka ufanye nae mapenzi tu,uje kumwandikia uzi mwingine tena humu
Mkuu mimi ni mkorofi sana, nitaleta varangati humu kila mtu atabaki kinywa wazi Mwaka Mzima!Kwani wake za watu hawatembei na nusu ya moyo wa mwanaume mwingine? Anaweza asisemem lakini ndjoo vileee..!!!
Mkuu, mwanakulitafuta, Mwanakulipata!Utanisamehe tu mkuu, tatizo sio mm, moyo
Nampenda, mapenzi yatategemea mapokeo yake yapojeUnampenda au unataka ufanye nae mapenzi tu,uje kumwandikia uzi mwingine tena humu
Achana nae huyo baby!Bora umeongea ukweli mkuu
UTATENGENEZEWA ZENGWE UPIGWE BAN MWAKAMkuu mimi ni mkorofi sana, nitaleta varangati humu kila mtu atabaki kinywa wazi Mwaka Mzima!
🤣🤣🤣mgibeon Mgibeon....Mungu anakuona ujue🙌🏿Mkuu mimi ni mkorofi sana, nitaleta varangati humu kila mtu atabaki kinywa wazi Mwaka Mzima!
😋😋😋, mkubalie jamaa basi, kutupia ndoano mbele ya public siyo kazi rahisi🤣🤣🤣Hii dunia ya ajabu sana.....ngoja niongeze watoto nifunge uzazi mie....mapenzi yanaboa
Nikomae wapi sasa, mbona kila kila kiungo changu kimekomaa jamaniEmbe bichi komaa kwanza mi ni mshangazi wa mishangazi nitakubemenda bure
Trust Me, naweza kuliamsha dude mpaka TCRA wakaamua kuipiga chini JF yenyewe! Asicheze na mkewangu kabisa!UTATENGENEZEWA ZENGWE UPIGWE BAN MWAKA
Mganga wako sio tapeli. Tunakugombania kama kaswala kamekatiza kwenye zizi la Simba🤣🤣🤣Hii dunia ya ajabu sana.....ngoja niongeze watoto nifunge uzazi mie....mapenzi yanaboa
Sasa ufunge uzazi, je kama jamaa anataka umzalie sa itakuwaje?🤣🤣🤣Hii dunia ya ajabu sana.....ngoja niongeze watoto nifunge uzazi mie....mapenzi yanaboa