Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Hawajui kuwa huyu ni mke wangu 😂😁Hatariiiii...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajui kuwa huyu ni mke wangu 😂😁Hatariiiii...
Au usikute ni To yeye kakaa Mbeya pazuri anapiga supu huku anajitongoza..!! nyie JF ni hatareeee..!!Huwa wanafanya hivi hivi kuchangamsha Jukwaa mkuu
Zali la mentali..To yeye kuna mtu kakudondokea huku..!!!
😂🤣😁😁Ukweli ni kuwa sina mtu jf wala kitaa....ila Nina watu wanaonichora jf tu
kijana huyu ana nia njema, askizwe na asaidiwe kwa nia njema tu... 🐒Pasipo kujali umri wako,
Una watoto wangapi,
Kuna watangulizi wangapi,
Una komwe,
Nakuhakikishia, unatembea na nusu ya moyo wangu, fanya hima nipate ukombozi🌹🍎💔
Wananichora 🤣🤣🥴Zali la mentali..
Hakikakijana huyu ana nia njema, askizwe na asaidiwe kwa nia njema tu... 🐒
R I P Laigwanan comrade ENL
Asema tu kama anataka nimzalie ili mradi awe baba boraSasa ufunge uzazi, je kama jamaa anataka umzalie sa itakuwaje?
Upo single kwa hyoUkweli ni kuwa sina mtu jf wala kitaa....ila Nina watu wanaonichora jf tu
Umependwa pendeka...usilaze damuWananichora 🤣🤣🥴
Hata mimi unanikana?Ukweli ni kuwa sina mtu jf wala kitaa....ila Nina watu wanaonichora jf tu
Embe Bichi una bahati sana umepata mshangazi wa mishangazi. Ma marioo wanatafuta sana hii mishangazi.Embe bichi komaa kwanza mi ni mshangazi wa mishangazi nitakubemenda bure
Mkuu, nimeamua niseme ukwelUTATENGENEZEWA ZENGWE UPIGWE BAN MWAKA
Mkuu hili nalitambua toka mwanzo, nimeona sio vizuri niizulumu nafisi yanguEmbe Bichi una bahati sana umepata mshangazi wa mishangazi. Ma marioo wanatafuta sana hii mishangazi.