Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Yeye ni dume, mtoa mada jinsia yako tasavali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🙌🏿Embe Bichi una bahati sana umepata mshangazi wa mishangazi. Ma marioo wanatafuta sana hii mishangazi.
Tuna aibu mkuuDah! Hivi ni sisi wanaume tu ndiyo tunaopenda, au! Mbona sioni nyuzi za wakimama nao kutupenda sisi wakibaba!!
Au wenzetu wana mioyo tofauti na hii ya kwetu!!
Sana yaan🤣🤣🙌🏿Jamii forum kuna drama sana wakuu, [emoji23]
Wakati unaongeza watoto usisahau kua Embe Bichi analo mleta mada,hakuna haja ya kula udongo.🤣🤣🤣Hii dunia ya ajabu sana.....ngoja niongeze watoto nifunge uzazi mie....mapenzi yanaboa
Sina mtu mkuu kiukweli....I will die aloneHata mimi unanikana?
Ulichonifanya nashukuru😒Wakati unaongeza watoto usisahau kua Embe Bichi analo mleta mada,hakuna haja ya kula udongo.
Kwa sasa,sijui jioniUpo single kwa hyo
Kipi hicho?Ulichonifanya nashukuru😒
🙁nashukuru 🥴Kipi hicho?
Malizana na mleta mada kwanza.
😀 😀
Aanze kusema nilimnyandua!Unampenda au unataka ufanye nae mapenzi tu,uje kumwandikia uzi mwingine tena humu
Kuna nini kwani mrembo?🙁nashukuru 🥴
HawachelewiAa
Aanze kusema nilimnyandua!
Hakuna....we bakia hukohuko🙄Kuna nini kwani mrembo?
Komaa uwe embe lililoiva uondoke kwenye kua Embe BichiNikomae wapi sasa, mbona kila kila kiungo changu kimekomaa jamani
Mmhh, mkuu nimekomaa mbonaKomaa uwe embe lililoiva uondoke kwenye kua Embe Bichi