Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Umevutiwa na hilo pajama ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
heheee, na unajua kuringa😁🤣🤣🤣😜
hatuli umri😅Mishangazi unaiweza lakini
Tunatoa mbona...inafuatana na muda ulioomba nipoje....joto la mnyamajike ushawahi liona mkuu😜Mkiombwa mnakataa.
Kwa sababu najua tunafurahishana tu hapa....ni hao hao wataanza nipondea usinglemomheheee, na unajua kuringa😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣hatuli umri😅
🤣🤣itakuwa vyote mkuuKwamba umependa dp au jina[emoji16]..dah kwel bongo bahat mbaya
Eeh hichi kinavumilika bado hakijaonesha userious 🤣🤣 , sasa vijana picha nimetumiwa mimi mnasave kwa simu zenu kwanini nimekuona mshamba_hachekwi 😅Ninacho mkuu
🤣🤣🤣🤣aiseeEeh hichi kinavumilika bado hakijaonesha userious 🤣🤣 , sasa vijana picha nimetumiwa mimi mnasave kwa simu zenu kwanini nimekuona mshamba_hachekwi 😅
hujawazoea tu?Kwa sababu najua tunafurahishana tu hapa....ni hao hao wataanza nipondea usinglemom
nzi kwenye kidonda, fisi kwenye mifupa😁Eeh hichi kinavumilika bado hakijaonesha userious 🤣🤣 , sasa vijana picha nimetumiwa mimi mnasave kwa simu zenu kwanini nimekuona mshamba_hachekwi 😅
Siwezi wazoea ila nawachora tuhujawazoea tu?
ndo mapokeo ya kijamii mkuuSiwezi wazoea ila nawachora tu
Mkuu sio nyege, nielewe nasisistiza tena ni MOYOUkipenda boga upende na uwa lake, Upo tayari au hukujipanga kwa hilo?
Maana baadhi ya njemba za JF mnakuwaga na Genye M'bwatuko kiasi cha kupenda ID
🤣hapo ulitaka kumaanisha nininzi kwenye kidonda, fisi kwenye mifupa😁
😀 hata mie naonahatuli umri😅
Kwa hiyo mkuu umri sio kigezo😂Fanya hima mama. nimeamua niweke wazi ili kila mtu ajue
Peleka ujinga wako hukoPasipo kujali umri wako,
Una watoto wangapi,
Kuna watangulizi wangapi,
Una komwe,
Nakuhakikishia, unatembea na nusu ya moyo wangu, fanya hima nipate ukombozi[emoji257][emoji519][emoji174]
We juz si ulikua unajifanya mtumishi una fanya utabiri kuhusu ccm na Tanzania leo upo huku unatongoza daaah kweli "k" ni balaaaUkipenda huna wivu
Wivu ni ushamba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]