Peleka ukenge huko hiyo kum@ ni yako kama vp ikata uzunguke nayo pumbavu kabsaaMkuu mimi ni mkorofi sana, nitaleta varangati humu kila mtu atabaki kinywa wazi Mwaka Mzima!
Unantafuta ubaya mkuuPasipo kujali umri wako,
Una watoto wangapi,
Kuna watangulizi wangapi,
Una komwe,
Nakuhakikishia, unatembea na nusu ya moyo wangu, fanya hima nipate ukombozi🌹🍎💔
Mke wangu??!!!Trust Me, naweza kuliamsha dude mpaka TCRA wakaamua kuipiga chini JF yenyewe! Asicheze na mkewangu kabisa!
Sijawahi kuwa nabii, mchungaji wala mpiga ramli.We juz si ulikua unajifanya mtumishi una fanya utabiri kuhusu ccm na Tanzania leo upo huku unatongoza daaah kweli "k" ni balaaa
Na wewe una mtaka huyo maza?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ulishaona madume ya mbwa yanavogombania kumpanda mbwa jikeMnanivuruga sasa,mtu ananihitaji nanyi mnafunika tena juu
Umeoa??Sijawahi kuwa nabii, mchungaji wala mpiga ramli.
Bahati nzuri Mungu huwa hana formula ya nani amtumie kufanya anayoyakusudia.
Hehehehe nina haki ya kuchakata bana. Au nakosa haki hiyo kivipi[emoji1787]
Huo ndo unaitwa ulozi.
Naona umekubali yaishe...Sina uzuri ila nimejaaliwa uchangamfu....mshangazi na baridi la mbeya
Mkuu 😂😂😂😂aisee unashawishi😋
Genye mbwatuko😂😂😂Ukipenda boga upende na uwa lake, Upo tayari au hukujipanga kwa hilo?
Maana baadhi ya njemba za JF mnakuwaga na Genye M'bwatuko kiasi cha kupenda ID
mwanamke mwenye haiba muzuri utamjua tu hata kwa mwandikoWatu wanapenda Hadi Id 😂
To yeye kwani anasemaje maana mapenzi ni ya watu wawili . Kweli kama amemridhia ni sawa ila kama hajamridhia sijui aisee huyo bwana basi atampata wa kuridhiana naye .Kwani Unique Flower hajapita hapa bado kutoa yake ya moyoni?
Mkuu mimi sili umri. mimi namtaka yyKwa hiyo mkuu umri sio kigezo😂
MmmmhSina mtu mkuu kiukweli....I will die alone