Doto12
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 640
- 1,141
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona secretarybird nilivyoadimika humu jukwaani Kwa majuma kadhaa hukunifungulia uzi Sasa iweje umfungulie To yeye ambaye ameadimika Kwa masaa kadhaa.Huyu mwanafamilia wa Jf To yeye ameadimika yupo wapi?
Ahahaha mkuu mi sinaga hayo..mkuu hi tech uliotumia wallah pm yako itajaa jinsi navyoelewa wanawake wanavyopenda muujiza kazi itakua ni kwako kuwabatiza kwa moto
🤣🤣Kazingua aiseeMbona secretarybird nilivyoadimika humu jukwaani Kwa majuma kadhaa hukunifungulia uzi Sasa iweje umfungulie To yeye ambaye ameadimika Kwa masaa kadhaa.
Acha mambo yako mkuu.
✌️Samehe mara sabini
Tutayasikia mengi mwaka huu au kisa kapunguza kulikes threads zako 😂😂 , Ngoja nipitie comments za wanajamvi huwenda nikapata mwanga wa kujua aliyemficha 😂😂Huyu mwanafamilia wa Jf To yeye ameadimika yupo wapi?
🤭Napita kama sipo,
Yeah...bado sana mkuu
🤣🤣🤣🤦Tutayasikia mengi mwaka huu au kisa kapunguza kulikes threads zako 😂😂 , Ngoja nipitie comments za wanajamvi huwenda nikapata mwanga wa kujua aliyemficha 😂😂
Two sweeters one husband
Yetu macho tu.Yeah...bado sana mkuu
AnatombwaAna To mbaalikweeli yeye
Kumbe upo😃 , nani kakuficha kipenzi chetu cha JF?🤣🤣🤣🤦
🥴Msukuma mmoja hivi...likichuja nitaibuka tu 🤣🤣Kumbe upo😃 , nani kakuficha kipenzi chetu cha JF?