Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Sikuji jaribu... Hata kugusu mtu ambaye ni JF-Expert MemberTena wewe dogo ndio usije jaribu kufanya huu uhuni, unless awe tayari ni demu wako. π π π
Ndio mbinu mnazotumiaga kumbe? π π πDon't take things too personal, au una palilia uonekane gent kwa mlengwa π€£π
Tatizo pm wakiombwa afu tatu hawana uvumilivu, mara mbio mbio jukwaani kushusha uzi.!!Jitahidini kuziweka Wazi, huenda ukapata chaguo lako huku huku
Hata kama hamtafikia Kuoana(Ndoa) lakini baada ya mahusiano utakuwa umepata uzoefu (Experience) π€
Kama Kazini wanataka uzoefu wa miaka 3 na kuendelea vipi ndoani π
Mwenzio akisema babe leo naomba unipee Popokanyea Mbingu, inakuwa faster unaijua πππππ
Mzigua90 unamkondesha Me kule, huku ephen anamdatisha Jamaa, pambaneni na hali zenu [emoji847][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Those aren't my style's bro, na kiufupi love on jf mhh.Ndio mbinu mnazotumiaga kumbe? π π π
Broh Mimi ni Simba Mzee, I know all the tricks. Huwezi Kuta nalia lia humu
Don't take serious broooo..Nitakuua kweli π
Vipi Mzigua90 ulimalizana na Vichekesho ? πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kushuka madude kama hayo.Hahaha uzuri upi kaka
Hahaha.............hawajui ukiwa bahili Wanawake wote wazuri watabaki kuwaita ShemejiTatizo pm wakiombwa afu tatu hawana uvumilivu, mara mbio mbio jukwaani kushusha uzi.!!
Yy inatakiwa ajibu, βMchumba usijali nitakupa hiyo pesa, ila nivumilie kuna mambo yangu hayajakaa sawa. Wewe ni muhimu sana kuliko hiyo afu tatuβ Mtu anakuelewa.
Lakini wenyewe tayari ohh ana njaa, anaomba mpk afu tatu. Kuna muda sisi wanawake tunakupima kwa vitu vidogo tuone uvumilivu wako π
Sijawahi ebu nipe ABCD kumhusuUnamfahamu marehemu Christopher maji ya Tanga Mzindakaya ? Umewahi kumsikia? Kama umewahi basi wewe tulia tu.
πHahahaha.........aliona wenye Mali wamejitokeza hivyo akaamua kula Kona π
Ni wewe bana usizuge πYani niikache ID yangu hii, alafu nikatongoze na ID mpya? That's can't be me π π π .
π π ππ
Ndio babu sisi wanawake tunapenda vitu vya kijinga kijinga km pesa πHahaha.............hawajui ukiwa bahili Wanawake wote wazuri watabaki kuwaita Shemeji
Tena Ukute ameamua kukurusha roho, anatoka mazoezini na ile skin tight halafu nyuma mzigo huo kisha anaweka status
Unaishia kupaliwa na mate tu π€
Na ndege wangu wote wakipeperuka, nahamishia majeshi kwako. Jiandae π πNi wewe bana usizuge π
Na mm nampa shukran zangu za dhati, acha niruke nayo.Ahsante kwa kunifundisha jambo
Mapaka natokwa na machozi π₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίπ₯ΊMama samia anaupiga mwingi mpaka ameruhusu raia kupendana
Unataka uanze kuongea uongo kwamba ulikuwa unamuhonga ππππUnge jua, au basi coz Jobless pro max Sina Cha ku prove siku hizi ππ
No comment πππUnataka uanze kuongea uongo kwamba ulikuwa unamuhonga ππππ