To you Ephen

To you Ephen

Kazama, anamjua? Yani huu mtindo wa kushobokea ID ovyo kuna mtu tutasikia amepigwa pipe.

Yani wanashindwa hata kuomba pm zifunguliwe ili wakamwage sera zao huko, wanaishia kukata viuno majukwaani. Huu ni Uzi kama wa 10 wa dizaini hii.

Itabidi nianzishe kampeni ya kuwaomba wadada wa humu wafungue pm zao, madogo wana weweseka sana.
Wanaweweseka sana kwa kweli. Hii kitu sitawahi kuja kufanya, ni kama unausaliti uanaume wako. Na Dem yoyote smart humu ndani huwezi kumnasa kwa huu ukanjanja.

Nakumbuka kuna manzi mmoja nilimuelewa sana kwa namna alivyokuwa ana-comment kwa staha, nikawa na hisia kali kwamba ni lazima itakuwa pisi ya kwenda, na kwa kawaida Huwa sikoseagi kwenye kubashiri, nikaenda PM nikakuta imefungwa, nikaanza kumvizia kwenye nyuzi, aisee..akawa kila aki-comment naruka nae, akiweka uzi niko nae [emoji28], nikawa namchombeza, namtania na kumuomba afungue PM, siku isiyo na jina nikakuta kanicheki mwenyewe PM.

Aisee ni pini hasa, hadi leo huwa hajui ilikuwaje Hadi akanicheki mwenyewe PM [emoji2], kwahiyo Hawa wanawake wa humu sio wa kuwafungulia uzi kabisa na kuanza kumuwekea jumbe ukidhani ndio utamnasa kwa urahisi, dem anayajielewa ndio humpati kabisaaa [emoji16].

Hako kabinti hadi sasa ni karafiki kangu sana, itoshe tu kusema hivyo manake wabongo hamnaga dogo [emoji23]
 
Wanaweweseka sana kwa kweli. Hii kitu sitawahi kuja kufanya, ni kama unausaliti uanaume wako. Na Dem yoyote smart humu ndani huwezi kumnasa kwa huu ukanjanja.

Nakumbuka kuna manzi mmoja nilimuelewa sana kwa namna alivyokuwa ana-comment kwa staha, nikawa na hisia kali kwamba ni lazima itakuwa pisi ya kwenda, na kwa kawaida Huwa sikoseagi kwenye kubashiri, nikaenda PM nikakuta imefungwa, nikaanza kumvizia kwenye nyuzi, aisee..akawa kila aki-comment naruka nae, akiweka uzi niko nae [emoji28], nikawa namchombeza, namtania na kumuomba afungue PM, siku isiyo na jina nikakuta kanicheki mwenyewe PM.

Aisee ni pini hasa, hadi leo huwa hajui ilikuwaje Hadi akanicheki mwenyewe PM [emoji2], kwahiyo Hawa wanawake wa humu sio wa kuwafungulia uzi kabisa na kuanza kumuwekea jumbe ukidhani ndio utamnasa kwa urahisi, dem anayajielewa ndio humpati kabisaaa [emoji16].

Hako kabinti hadi sasa ni karafiki kangu sana, itoshe tu kusema hivyo manake wabongo hamnaga dogo [emoji23]
Wanapata tabu sana, mfano aliyefungua huu Uzi hajapata hata like toka kwa huyo ephen. Alafu tukiwaambia waache shobo, waende pm hawataki
 
My Dearest Ephen,

As the sun sets on another day, my heart is filled with anticipation and excitement at the thought of seeing you. With each step I take towards you, my love for you grows stronger, like a flame that cannot be extinguished

With every beat of my heart, I yearn to be by your side, to hold you close and to shower you with the love and affection you deserve. Your presence is like a beacon of light in my life, guiding me through the darkness and filling my world with warmth and joy.

As I pen these words, I can't help but smile at the thought of the moments we'll share when we're finally reunited. Whether it's a gentle embrace, a tender kiss, or simply holding hands as we stroll through the streets, every moment spent with you is a gift, and I cherish each and every on

Ephen, you mean the world to me, and I can't wait to wrap you in my arms and show you just how much you are loved. Until then, know that you are always in my thoughts and in my heart, and that I eagerly await the moment when I can hold you close once more

With all my love
Ephen
Aiseeeee
 
Back
Top Bottom