Yaaab najuuta kufungua huu uzi[emoji52]Ebu tupishe kwenye mambo ya msingi aiseeee.......
Wewe kadake machozi ya Simba pale Waswanu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kulikoni chief....!!??[emoji15] [emoji15]
Suluhisho hommie ni kusugua goti kwa kukesha na kuomba. Kwa maana wale alionipa baba sijampoteza hata mmoja.Dah....kweli nimeamini..wanaume ukiwa huna heka mababea hawakutaki. Ukitafuta hela ukazipata wanakucheat mchana kweupeeee kisa uko busy kusaka hela
Suluhisho ni nini?
Cc Asprin kwa taarifa
Bcc Sky Eclat Sakayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu uzi hauna afya kama hujawahi kumsikiliza Sheikh Kipoozeo. Hii mizigo haipaswi kuwa na mmoja. Kwani mama yako? Mwanamke mmoja ni mama tu sheikh....
Hebu niwekee clip yake chap.kuna cha kujifunza lazimaHuu uzi hauna afya kama hujawahi kumsikiliza Sheikh Kipoozeo. Hii mizigo haipaswi kuwa na mmoja. Kwani mama yako? Mwanamke mmoja ni mama tu sheikh....
Je niendelee kusaka mapene?